Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Swali makini sana !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu gani haukipendi katika mfumo wetu wa elimu ? Na kingefaa kibadilishweBavarian8
Hatujawahi kukataa uwepo wa tume huru ya uchaguzi. Hata kwenye katiba mpya ilikuwa agenda. Wenezetu walikataa. Agenda ya tume huru ni pana
IPO wapi hiyo Katiba ambayo nyie wenzenu walipotoka kwenye Bunge la Katiba mliiandika? Kwa nini Bunge limekaa kimya kuhusu mchakato wa hiyo Katiba mpya?Hii siyo sawa na kuhujumu uchumi?Imagine ule mchakato ulivyotumia fedha zetu?Bavarian8
Hatujawahi kukataa uwepo wa tume huru ya uchaguzi. Hata kwenye katiba mpya ilikuwa agenda. Wenezetu walikataa. Agenda ya tume huru ni pana
Akutafute wapi zaid ya hapa..wengi tunataka kujua kuhusu hilo ni vyema ukaeleza hapa hapaHilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
Dude, you seem to be very inept in everything you touch. And honestly speaking, since the dropped you from the cabinet, your mental health is very questionableNAONESHA MSISITIZO 😄😄😄😄😄😄
Mbona unajibu yaliyo mepesi,maswali ambayo yanayogugusa moja kwa moja unayakwepa?NI MTANZANIA TANGU ZAMANI
Hilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
Mkuu tutajie ulimaliza shule ya msingi mwaka gani.Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Huyu ni mroho sana, yuko tayari kufanya lolote baya ili mkono uende kinywani na awapendeze wakubwa zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipenda kitu sio lazima imsaidie mtu, kwani unapovaa jezi ya Chelsea au Man u huwa inatusaidia Nini hata UINGEREZA HUJAFIKA. MIMI NAJIVUNIA UTANZANIA WANGU, HIYO BENDERA YA TAIFA
Kwaajili ya kuvaa skafu?Kumbe wewe ni mzalendo toka siku nyingi
Nilitegemea Muulize Maswali Kwa mh mbunge ..Maswali fikirishi yenye mantiki badala yake mnatoa kashfa na kumwambia cheo dhamana wakati hilo linajulikana...cheo sio cha Milele hata Mengi amekufa ameacha mahela yake hapa hapa Duniani..sasa sijui mlitaka Jamaa awe Waziri Milele??
Kwanini hayo maswali fikirishi usiukize ww?au ndio ile unaulizwa swali na ww unauliza swaliNilitegemea Muulize Maswali Kwa mh mbunge ..Maswali fikirishi yenye mantiki badala yake mnatoa kashfa na kumwambia cheo dhamana wakati hilo linajulikana...cheo sio cha Milele hata Mengi amekufa ameacha mahela yake hapa hapa Duniani..sasa sijui mlitaka Jamaa awe Waziri Milele??