Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

Kwa kifupi nimependa jinsi unavyojibu maswali kwa lugha nzuri bila kupanic. Maswali mengi ni ya kejeli na kutia hasira, lakini umeweza kumudu. Hongera sana.

Natamani siku Mzee wa nje ya box nae ajitokeze humu, hakika patawaka. Maana Kigwa bana hanaga swalia mtume, jinsi unavyokuja ndio jinsi anavyo kutawanya

Sent using Jamii Forums mobile app
HK hapawezi humu labda aje na id ambayo si verified
 
Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.

View attachment 1365715

Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Mkuu kwanza pole kwa miangaiko ya kila siku na nakushukuru kwa kutupa nafasi ya kukuuliza maswali.

Mimi binafsi sina swali lakini nina ombi.

Nakuomba uchukue nafasi hii kutuomba msamaha wananchi kwa mauaji, utekaji na uhalifu uliotokea kipindi ulicho kuwa waziri wa mambo ya ndani.

Kumbuka, wizara hii inasimamia usalama wa wananchi.

Natanguliza shukrani.

Nimeposti tena nahisi kama ulilipita.
 
URAIS SIO NDOTO ZA MTU BALI NI HITAJI LA WAKATI NA HITAJI LA WATU . HIVYO HII SIO AGENDA KWA SASA. NIULIZE KUHUSU IRAMBA
Iramba Magharibi inaenda na Kitila Mukumbo, sijui umejipangaje? Yaani umefikia hatua ya kuandaa kigenge cha ushangiliaji kwenye mikutano ya ndani? Aibuu hii!
 
Yes, HILI NI TATIZO, HII NI HOJA YA MSINGI.

Tar 20 tulikuwa na mjadala mpana SINGIDA, TATIZO HILI LINAWEZA KUPUNGUA KWA KUWEKEZA KWENYE MODERNIZATION OF PRODUCTION PRICESS MIKOANI KWETU, ILI SHUGHULI ZA UZALISHAJI ZITOE FAIDA ZINAZOLIPA HIVYO ZITENGENEZE AJIRA. HIVYO TULIKUWA NA RCC. TULICHAKATA SANA.

BUT AJIRA NI TATIZO NA NI MADA PANA SANA, HAINA JIBU MOJA
Post #55 umekwepa kujibu Rudi uipitie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro Mwingulu nakukubali sana nikikumbuka
1. Mswada wa kupandisha ushuru bandarini 100% ukiwa naibu Waziri wa fedha
2.Mashine za EFD ukiwa naibu Waziri wa Frdha
3.Uchaguzi wa kalenga baada ya msiba wa Waziri Mgimwa
4.Uchaguzi wa Igunga bada ya Rostam kuachia jimbo
5.Ulipo shindwa kujibu swali uliloulizwa na Spaka Mama Makinda kama ngombea wa ubunge wa Afrika Mashari swali lilikua ni kwanini muungano wa Afrika Mashari ulivunjika.
Siku alipoona suluhu ya hoja zilizopo kwenye bajeti ya upinzani ni kuitupa hotuba ile ndipo nilipoona hafai kuwa kiongozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hana lolote huyo anapima upepo tu labda mwenzetu mgen na hawa wachumia tumbo
Ameomba aulizwe maswali ajibu, sasa ninyi mmekomaa na 'misuto'. Wakati mwingine tumuulize kwa staha, huenda kuna mamho anataka kuyatolea ufafanuzi. Sidhani kwa staili hii ya mashambulizi anaweza kuwa kwenye nafasi nzuri kujibu.

Lakini pia tutambue kuwa siasa ni mabadiliko. Hakuna aliyedhani leo Simbachawene atakuwa hapo alipo. Haitoshangaza kuona Mwigulu, Nape na wengine wa aina yao wakirejea kwenye Baraza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo inaitwa halafu tengeneza, ulimtengenezea zengwa then ukajifanya mtatuaji...mkuu tuhuma zote unazotupiwa ndio TASWIRA yako mtaani.
Usibeze haya yasemwayo bali jirekebishe.
Ninajua uwezo wako kiakili.
Ninajua busara zako.
Lakini ulikubali kutumiwa vibaya.

NINAKUSHAURI KUWA KUANZA MOJA SIO UJINGA.
jitokeze hadharani omba msamaha, Watanzania ni watu wa Mungu, watakusamehe na watakuamini tena.
Aise Kati ya watu wanaonishukuru ni LWAKATARE, ONGEA NAYE UPATE UKWELI. ANAUJUA NA ANAJUA NILIMSAIDUAJE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.

View attachment 1365715

Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa

Hivi mh huwa unahudhuria nyumba za ibada?

Acha ushabiki na upenzi wa kisiasa.....hivi ni kweli wewe hufaham aliyempiga Tundu Lissu risasi?
Faham kuwa kuna nguvu inayoitwa MUNGU.
Mwigulu uogopi nguvu ya Mungu kwa kutosema ukweli kwa watanzania kuhusu aliyempiga Lissu risasi?
 
Back
Top Bottom