Nilijua utamjibu kwa staha na ustaarabu, kumbe majibu yako ni yale yale ya hovyo?HATA MOJA HUNA TAARIFA NALO, NITAFUTE ANA KWA ANA NIKUELEZEE. AU WAONE VIONGOZI WAKO WA CHADEMA.
Umemnyoosha akambilia ku-edit!Kwa nini unaandika kwa kutumia herufi kubwa namna hiyo? Huna netiquette?
HK hapawezi humu labda aje na id ambayo si verifiedKwa kifupi nimependa jinsi unavyojibu maswali kwa lugha nzuri bila kupanic. Maswali mengi ni ya kejeli na kutia hasira, lakini umeweza kumudu. Hongera sana.
Natamani siku Mzee wa nje ya box nae ajitokeze humu, hakika patawaka. Maana Kigwa bana hanaga swalia mtume, jinsi unavyokuja ndio jinsi anavyo kutawanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha woga eleza humuhumu JF tutakuelewa au subiri ujeuieleze mahakama chini ya kiongozi shupavu Tundu Lissu.Hilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
Mkuu kwanza pole kwa miangaiko ya kila siku na nakushukuru kwa kutupa nafasi ya kukuuliza maswali.Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Iramba Magharibi inaenda na Kitila Mukumbo, sijui umejipangaje? Yaani umefikia hatua ya kuandaa kigenge cha ushangiliaji kwenye mikutano ya ndani? Aibuu hii!URAIS SIO NDOTO ZA MTU BALI NI HITAJI LA WAKATI NA HITAJI LA WATU . HIVYO HII SIO AGENDA KWA SASA. NIULIZE KUHUSU IRAMBA
Post #55 umekwepa kujibu Rudi uipitieYes, HILI NI TATIZO, HII NI HOJA YA MSINGI.
Tar 20 tulikuwa na mjadala mpana SINGIDA, TATIZO HILI LINAWEZA KUPUNGUA KWA KUWEKEZA KWENYE MODERNIZATION OF PRODUCTION PRICESS MIKOANI KWETU, ILI SHUGHULI ZA UZALISHAJI ZITOE FAIDA ZINAZOLIPA HIVYO ZITENGENEZE AJIRA. HIVYO TULIKUWA NA RCC. TULICHAKATA SANA.
BUT AJIRA NI TATIZO NA NI MADA PANA SANA, HAINA JIBU MOJA
Siku alipoona suluhu ya hoja zilizopo kwenye bajeti ya upinzani ni kuitupa hotuba ile ndipo nilipoona hafai kuwa kiongoziBro Mwingulu nakukubali sana nikikumbuka
1. Mswada wa kupandisha ushuru bandarini 100% ukiwa naibu Waziri wa fedha
2.Mashine za EFD ukiwa naibu Waziri wa Frdha
3.Uchaguzi wa kalenga baada ya msiba wa Waziri Mgimwa
4.Uchaguzi wa Igunga bada ya Rostam kuachia jimbo
5.Ulipo shindwa kujibu swali uliloulizwa na Spaka Mama Makinda kama ngombea wa ubunge wa Afrika Mashari swali lilikua ni kwanini muungano wa Afrika Mashari ulivunjika.
Ameomba aulizwe maswali ajibu, sasa ninyi mmekomaa na 'misuto'. Wakati mwingine tumuulize kwa staha, huenda kuna mamho anataka kuyatolea ufafanuzi. Sidhani kwa staili hii ya mashambulizi anaweza kuwa kwenye nafasi nzuri kujibu.
Lakini pia tutambue kuwa siasa ni mabadiliko. Hakuna aliyedhani leo Simbachawene atakuwa hapo alipo. Haitoshangaza kuona Mwigulu, Nape na wengine wa aina yao wakirejea kwenye Baraza.
Aise Kati ya watu wanaonishukuru ni LWAKATARE, ONGEA NAYE UPATE UKWELI. ANAUJUA NA ANAJUA NILIMSAIDUAJE
Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Hawezi sema chochote ndiyo kichaka chao
Me nakushukuru kwa kujibu maswali kwa utulivu bila kuhamaki pamoja na kwamba hayawarudhishi wengi, mengine yoooote wanayokutuhumu watanzania wenzao utajijua wewe na Mungu wako.
Sent using Jamii Forums mobile app