Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,479
- 2,877
Pascal Mayalla, Mkuu Pasco,
Umemwaga nondo za ndani sana mkuu.
Ila ninawaza kwa sauti, mpaka leo nina mashaka makubwa sana kama waliohusika na tukio na TL ni vijana wa kitengo.
Maana kwa jinsi jamaa ambavyo hufanya kazi na once the job is done it's hard to trace the footprints, nina maswali risasi 30+; unless kama kazi hii ilifanywa amateurs; unless kama kulikuwa na motive ya kuifanya mission hii isifanikiwe.
Ila masuala ya clean-up yapo toka agano la kale. SAULI mfalme wa kwanzs Israel amewahi kutumwa kwa taifa la amaleki kufanya "ethnic cleansing". It happened hakutii.
Kwa kuwa ndiyo mifumo ya kazi na watu wamekula viapo, basi "let them do what they were sworn in to do"
Otherwise Paskali una ujasiri wa ajabu sana kufunguka mambo ambayo watu wengi huongea kwa mafumbo ila wewe bana unaita koreo ni koreo na sio kijiko kikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemwaga nondo za ndani sana mkuu.
Ila ninawaza kwa sauti, mpaka leo nina mashaka makubwa sana kama waliohusika na tukio na TL ni vijana wa kitengo.
Maana kwa jinsi jamaa ambavyo hufanya kazi na once the job is done it's hard to trace the footprints, nina maswali risasi 30+; unless kama kazi hii ilifanywa amateurs; unless kama kulikuwa na motive ya kuifanya mission hii isifanikiwe.
Ila masuala ya clean-up yapo toka agano la kale. SAULI mfalme wa kwanzs Israel amewahi kutumwa kwa taifa la amaleki kufanya "ethnic cleansing". It happened hakutii.
Kwa kuwa ndiyo mifumo ya kazi na watu wamekula viapo, basi "let them do what they were sworn in to do"
Otherwise Paskali una ujasiri wa ajabu sana kufunguka mambo ambayo watu wengi huongea kwa mafumbo ila wewe bana unaita koreo ni koreo na sio kijiko kikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app