Ana Mimba yangu, ila nimeoa na sitaki mtoto nje ya ndoa

Jibu hili ndio litafata 😂😂🤣 hata mie aliniambia atalea mwenyewe ila anataka kunipeleka ustawi wa jamii wanawake wana mbinu sana za kutuingiza kwenye 18!
 
Jibu hili ndio litafata [emoji23][emoji23][emoji1787] hata mie aliniambia atalea mwenyewe ila anataka kunipeleka ustawi wa jamii wanawake wana mbinu sana za kutuingiza kwenye 18!
Umempima mtoto mkufunzi?
 
Nikuulize Suala moja tu, kama ulikuwa hutaki mtoto wa nje ilikuwaje ukatembea nje tena pekupeku?
 
Haaa haaa pole , kuna mwingine kaletewa mtoto kahudumia baadaye kama kashituka vile kumwambia twende ustawi ili tukapime mwanamke kalala mbele [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Haaa haaa pole , kuna mwingine kaletewa mtoto kahudumia baadaye kama kashituka vile kumwambia twende ustawi ili tukapime mwanamke kalala mbele [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Wanawake wana hila nyingi, hasa huyu wangu naona anahisi kupitia mtoto amenipata, umebaki mwezi mmoja ajifungue lazima nimpime mtoto
 
Mimi chekundu au cheusi kinaenda kujulikana ndani ya week hii maana nimepewa taarifa demu kaenda hospital kujifungua.
 
Jibu hili ndio litafata [emoji23][emoji23][emoji1787] hata mie aliniambia atalea mwenyewe ila anataka kunipeleka ustawi wa jamii wanawake wana mbinu sana za kutuingiza kwenye 18!
Unaweza kuta mpo 3 anawachezea shega [emoji23][emoji23] anakula kote kote, hiyo yakukwambia atakupeleka ustawi anakutishia nyau haa haa haa, pole

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
yaani maelezo yako ni kama picha la kihindi vile,
 
Mzee baba hapa inavyoonekana mkeo ndo kila kitu yaani kifupi ww ni Marioo kwake.. sasa uoga wako Ni huu msala utakuharibia kwa mkeo[emoji28][emoji28]
Kwani kumheshimu mke ndiyo umarioo? Au kwasababu ni Mme mke hana sauti wala kuheshimiwa duu!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…