Anaandika Humprey Polepole kuhusu Salamu alizotuma Mbowe kutoka Gereza la Ukonga

Anaandika Humprey Polepole kuhusu Salamu alizotuma Mbowe kutoka Gereza la Ukonga

Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.

Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.

Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.

Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.

Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.

All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.
Bwana na Hon. Polepole elimu yako isikutoroke ukiiona kwa macho yako.
Kutuhumiwa kwa ugaidi siyo kwamba wewe ni gaidi. Tuhuma siyo hukumu!!!!!!!!!!!
Wangapi mliwaonea enzi zako na mwendazake leo hii wameachiwa kwa kesi zao kufutwa baada ya kuona hazina mashiko.
Polepole enzi na nyakati zako nina hakika zimepita zimebaki za kushughulikia jimbo la kuteuliwa sorry maalum.
 
Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.

Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.

Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.

Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.

Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.

All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.
Pole pole ukitaka kuwa mshindi kwenye kamali ni baada ya kushinda acha kucheza ondoka na kibunda,sasa wewe unaendelea kucheza wata puna kile ulicho pats na utaenda sakula akiba yako yote.Ccm ina lundo la watu wapo poleni wanasubiri fursa wewe nashukuru mungu kwa ulicho pata kaanzishe miradi umlee familia yako kuendelea kupiga domo nisawa kuendelea na kamali fursa aliye kupa Magufuli hutapata tena na ndiyo una fade out usipo jipanga shauri yako ukione ulikuwa umewadharau na unawafokea sasa wao wanakufokea hiyo ni alarm principle ya maisha huwa hayarudi nyuma acha domo ndugu unaonekana kituko sasahivi
Mara umeongea hiki ukawachefua ccm mara leo umewachafua chadema kesho utawachefua ndugu zako wa ukoo
 
Polepole umeshachemka acha kujipendekeza, katika siasa fanya makosa yote ila usifanye grave mistake, tayari umeshasomwa, ukiweza fanya kama Nape, tembelea magoti hadi ikulu, twit hazitasaidia.
 
Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.

Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.

Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.

Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.

Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.

All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.
Wengine wakiongea mnasema wanaingilia uhuru wa mahakama!
Na we umemsemea 'mama'; kwani bado ni msemaji mkuu wa chama au wa rais? Kama sio, mbona unashangaa mtoto kumsemea 'baba' yake? Kwenu uhuru wa kujieleza (freedom of expression) ni kwa CCM tu!
Kuna siku mtaelewa kwamba freedom of speech ni haki ya Binadamu WOTE isiyozimwa kwa bunduki.


Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.

Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.

Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.

Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.

Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.

All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.
Keenan amemwambia Polepole ashike adabu zake!
 
Jaribuni kukifuta chadema ili tugawane fito vizuri yani mtutawale kiseng. Halafu na sehemu yetu ya kutolea dukuduku muifute jaribuni mfurahie
Wazalendo, Cuf na vyama kibao bado wapo, usifikirie Chadema ndio wapinzani peke yao.
 
Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.

Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.

Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.

Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.

Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.

All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.
Hapa Polepole ametenda kama mbunge wa rais. Alishanisikitisha sana kwa kuanza kujirekodi viclip anajichekesha huku akidai anafurahi majukumu yamepungua. Nilibaki najiuliza yeye kama mbunge wa rais anapata wapi nguvu za kusema amjukumu yamepungua ilhali rais ana mambo mengi ya kufafanua kwa wananchi kupitia wapunge wake? Naona karudi ofisinini sasa.
 
Polepole yuko geti kuu anasubiri teke mgongoni tutaona utaelekea wapi?
 
Kibanga anajaribu kujipendekeza kwa chama chake ili asishuhulikiwe mbinu zilezile za waunga mkono juhudi kwamba ukitaka ufanikiwe au upate teuzi Basi mtukane mbowe na chadema utateuliwa kuwa DC sasa kibanga amepigwa biti na chongolo hivyo anatafuta sympathy na kudivert attention ili asishuhulikiwe.
Jibu hoja zake, ambazo zimedhihirisha udhaifu wa katibu wa sasa wa Chadema, John Mnyika, tuliousema toka mwanzo!

Kuna tofauti kubwa kati ya kufikiria na kuyapangilia maneno na kule kufikiria na kupangilia hoja za maana jukwaani. The Mnyika anajua kufikiria na kupangilia maneno jukwaani lakini amekosa kufikira na kupangilia hoja jukwaani.
 
Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.

Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.

Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.

Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.

Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.

All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.
Kwa hiyo ulitaka chadema wakae kimya kwa uongo uliosemwa na Mwenyekiti wenu, ni kesi ipi Mbowe alifunguliwa mwezi wa tisa, hao waliosemwa walihukumiwa na wanatumikia vifungo ni mahakama gani iliwahukumu?Chama hakiwezi kukaa kimya kuhalalisha uongo uliosemwa
 
Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.

Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.

Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.

Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.

Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.

All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.
Lini kaanza kumuita mama yetu mpendwa?
 
Likely scenario: CCM wanajua wazi kuwa yule Mama yao Samia Hassan Suluhu hana ubavu wa kupambana na CADEMA 2025; hata alivyo tu hawezi kuongea, hawezi hata kutunga hoja. Fikiria, JPM alipwaya vile kwa Lissu, Samia ataweza? Totally impossible, sasa CCM wanaanza long propaganda battle, kutafuta kila uongo kuhalalisha kila kitu, Uongo unaosemwa na CCM sasa hivi very systematic, umepangwa, ni strategy.

Wakiongea mara mia Mbowe ni Gaidi mwishowe wananchi wata kubali, ndiyo huu mtindo wa utawala, 60 years CCM wametufikisha hapa, badala ya maendeleo ni kutafuta mbinu watawale milele, hapo wameishiwa, alishindwa JPM, tuone huyu mama anategemea nini. Mbowe ni mbali sana.

Westerners wataweka sanctions,mama inaelekea kishaambiwa asijali, kuna nchi ile, iliyofanya Zimbabwe iwe banana republic ndiyo inampa kicwa huyu mama.

But not now, watanzania wa sasa siyo wale wa 1947. New generation!

Mbowe na team waliafanya makosa makubwa sana kudhani ati huyu mtu afadhalikuliko JPM . Kamgeuka JPM ambaye alikuwa Makamu na kila kitu walikuwa wanafanya pamoja, she is satanic in nature! Un trustable, ukimwamini huyu ujuwe wewe IQ lazima below 50, na ndiyo watanzania wengi.
It seems you lack the capacity to critically analyse the content of character of Chadema leadership. Things will come calling.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.

Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.

Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.

Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.

Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.

All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.

Vipi Corona, jiwe kesha mvusha?
 
Back
Top Bottom