Donasian kabengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 791
- 405
We ndo chakubanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA NI SACCOS YA MBOWE ANA HAKI YA KUMTUMA MTU YOYOTE KUZUNGUMZIA SACCOS YAKE CHADEMA WAHUNI KAMA WAHUNI WENGINE TUNilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.
Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.
Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.
Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.
Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.
All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.
Una akili timamu?Kwani unawaza kupitia tundu la chini?Likely scenario: CCM wanajua wazi kuwa yule Mama yao Samia Hassan Suluhu hana ubavu wa kupambana na CADEMA 2025; hata alivyo tu hawezi kuongea, hawezi hata kutunga hoja. Fikiria, JPM alipwaya vile kwa Lissu, Samia ataweza? Totally impossible, sasa CCM wanaanza long propaganda battle, kutafuta kila uongo kuhalalisha kila kitu, Uongo unaosemwa na CCM sasa hivi very systematic, umepangwa, ni strategy.
Wakiongea mara mia Mbowe ni Gaidi mwishowe wananchi wata kubali, ndiyo huu mtindo wa utawala, 60 years CCM wametufikisha hapa, badala ya maendeleo ni kutafuta mbinu watawale milele, hapo wameishiwa, alishindwa JPM, tuone huyu mama anategemea nini. Mbowe ni mbali sana.
Westerners wataweka sanctions,mama inaelekea kishaambiwa asijali, kuna nchi ile, iliyofanya Zimbabwe iwe banana republic ndiyo inampa kicwa huyu mama.
But not now, watanzania wa sasa siyo wale wa 1947. New generation!
Mbowe na team waliafanya makosa makubwa sana kudhani ati huyu mtu afadhalikuliko JPM . Kamgeuka JPM ambaye alikuwa Makamu na kila kitu walikuwa wanafanya pamoja, she is satanic in nature! Un trustable, ukimwamini huyu ujuwe wewe IQ lazima below 50, na ndiyo watanzania wengi.
Utachanja huchanji?Naungana na MH. Polepole
Kwanini huyo Babu kijana asijikite kwenye mambo yake na Gwaj Boy, ya kupinga chanjo?! Au anataka kupoteza hoja baada ya chama kumtaka awe na adabu?!Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.
Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.
Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.
Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.
Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.
All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.
Naungana na MH. Polepole
Mbona tena anaanza kujikomba komba kama mjamzito wakati yeye he is no longer mwenezi wa chama taifa. Polepole haijui CCM kama vile aliaminisha jamii. He just learnt everything from his position otherwise ni mweupe wa siasa za CCM.Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.
Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.
Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.
Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.
Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.
All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.
Hajui kuwa nafasi yake ya usemaji mkuu wa chama ilishapita.Dawa yako ipo jikoni.
Mbona unajichanganya?
Wewe ni msemaji wa chama?
Muda ukifika mwambie aje asome tena haya
Hivi jamaa 2025 ataenda jimbo gani?Naungana na MH. Polepole
So what?Polepole taarifa zako ktb mkuu wako anazo
Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.
Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.
Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.
Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.
Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.
All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.