Anaandika Humprey Polepole kuhusu Salamu alizotuma Mbowe kutoka Gereza la Ukonga

Anaandika Humprey Polepole kuhusu Salamu alizotuma Mbowe kutoka Gereza la Ukonga

nimelala nimeamka mpaka sasa nakunywa zangu kahawa bado sijaona mtu yeyote amejibu hoja za Polepole (HP) nitachoona mpaka sasa mnamshambulia na kumtukana tu Polepole (HP)...

Inawezekana Polepole akawa na matatizo yake kama mnavyojaribu kutuaminisha lakini wengine tunahitaji kuona majibu ya hoja zake...kuanzia hii ya Mnyika na ile ya ndugu wa chairman kuaddress masuala ya chama wakati chama kina afisa habari wake..
 
Makamanda tujibu hoja tuache kushambulia mtoa hoja...
 
Sasa kama member wa familia amepewa ujumbe na Mbowe alipomtembelea gerezani kuna ubaya gani kushare na jamii kuhusu salamu hizo?
Alitaka hadi ujumbe utolewe na Mrema au Makene?
Huyo Polepole binafsi sijui kama ana akili za ujana au za uzee maana naona always he is useless kwenye kila asemacho.!
 
Wewe ni mpuuzi umelikoroga kwenu huko unatafuta pa kutokea,tulia Dawa ikuingie ya chadema yanakuhusu nini ili hali ngoma yenu hamjaimaliza
 
Mbunge wa viti maalumu anaohopa kuvuliwa ubunge,baada ya jana chongolo kuwaambia dawa yao iko jikoni.
 
Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.

Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.

Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.

Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.

Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.

All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.
CHADEMA NI SACCOS YA MBOWE ANA HAKI YA KUMTUMA MTU YOYOTE KUZUNGUMZIA SACCOS YAKE CHADEMA WAHUNI KAMA WAHUNI WENGINE TU
 
Likely scenario: CCM wanajua wazi kuwa yule Mama yao Samia Hassan Suluhu hana ubavu wa kupambana na CADEMA 2025; hata alivyo tu hawezi kuongea, hawezi hata kutunga hoja. Fikiria, JPM alipwaya vile kwa Lissu, Samia ataweza? Totally impossible, sasa CCM wanaanza long propaganda battle, kutafuta kila uongo kuhalalisha kila kitu, Uongo unaosemwa na CCM sasa hivi very systematic, umepangwa, ni strategy.

Wakiongea mara mia Mbowe ni Gaidi mwishowe wananchi wata kubali, ndiyo huu mtindo wa utawala, 60 years CCM wametufikisha hapa, badala ya maendeleo ni kutafuta mbinu watawale milele, hapo wameishiwa, alishindwa JPM, tuone huyu mama anategemea nini. Mbowe ni mbali sana.

Westerners wataweka sanctions,mama inaelekea kishaambiwa asijali, kuna nchi ile, iliyofanya Zimbabwe iwe banana republic ndiyo inampa kicwa huyu mama.

But not now, watanzania wa sasa siyo wale wa 1947. New generation!

Mbowe na team waliafanya makosa makubwa sana kudhani ati huyu mtu afadhalikuliko JPM . Kamgeuka JPM ambaye alikuwa Makamu na kila kitu walikuwa wanafanya pamoja, she is satanic in nature! Un trustable, ukimwamini huyu ujuwe wewe IQ lazima below 50, na ndiyo watanzania wengi.
Una akili timamu?Kwani unawaza kupitia tundu la chini?
 
Mwambieni hawamtaki huko... Anaanza kujikosha.
 
Pole, Pole Pole. Hukutaka kwenda polepole kama jina lako lilivyo. Umeshawaudhi wenzio ccm sasa unajaribu kujikosha kwa kutumia ussue ya Mbowe. Unatamani ungekuwa bado msemaji wa chama chako lakini unajua "imetoka hio".

Sasa unazungumzia Chadema kama nani kwenye ccm wakati wewe sio msemaji tena lakini hapo hapo unasema ndugu yake Mbowe hastahili kusema lolote kuhusu Mbowe?

Chama chako kimeshakujua wewe ni kigeugeu. Kama ulivyowageuka Wapinzani na Watanzania kuhusu Katiba Mpya, hivyo hivyo umewageuka wenzio kwenye chama chako sasa. Huaminiki. Na dawa yako inachemka. Badala ya kushukuru ulipewa ubunge wa kuteuliwa umemgeuka aliyekuteua. Ndio maana nakwambia:- Pole Polepole, jifunze kwenda polepole !!

Sent from my SM-J120H using JamiiForums mobile app
 
Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.

Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.

Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.

Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.

Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.

All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.
Kwanini huyo Babu kijana asijikite kwenye mambo yake na Gwaj Boy, ya kupinga chanjo?! Au anataka kupoteza hoja baada ya chama kumtaka awe na adabu?!
 
Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.

Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.

Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.

Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.

Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.

All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.
Mbona tena anaanza kujikomba komba kama mjamzito wakati yeye he is no longer mwenezi wa chama taifa. Polepole haijui CCM kama vile aliaminisha jamii. He just learnt everything from his position otherwise ni mweupe wa siasa za CCM.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Nilipokuwa Katibu Mwenezi wa CCM tuliwaambia watanzania wawe makini na CHADEMA, tuliwaambia wawe makini na chama kinachoendeshwa kisanii kwa hoja mpechempeche na propaganda nyepesi, muda ni mwalimu mzuri, leo ukweli unajianika na CHADEMA wanaumbuka. Chama kimepoteza mvuto, Press zisizo na tija kila kukicha, tunakosea sana kukiita Chama kikuu cha Upinzani.

Nilisikiliza press ya rafiki yangu Mnyika kufuatia mahojiano ya Mama yetu mpendwa Samia na BBC, hadi mwisho wa press yake sikuelewa alilenga kusema nini, analalamika Rais kaingilia Uhuru wa Mahakama, while Rais alisema 'la mahakamani sio lake', halafu hapohapo anasema wanamuomba Rais afute kesi ya Mbowe, kama sio kuchanganyikiwa ni nini? Wasimshinikize Rais wetu kuingilia Uhuru wa Mahakama ili wapate la kusema. Tumewashtukia.

Leo Mwenyekiti nae katoa Boko la mwaka kutokea Ukonga, jambo la ajabu kuhusu salamu za Mbowe ni kwamba CHADEMA wana msemaji na viongozi wengine, lakini taarifa kwa Wanachama inatolewa na James Mbowe, Mwanafamilia asiye na cheo pale ufipa, Ndio maana tuliimba sana kuwa CHADEMA ni Saccos ya Bwana yule. Chama hakina taratibu, kinaendeshwa kama magenge ya mihadarati (Cartels) ya huko Mexico. Si bora kifutwe tu.

Halafu hawa watu walisema Mbowe kakamatwa kwasababu ya Katiba Mpya, kumbe Mbowe mwenyewe anajua walinzi wake walikamatwa mwaka mmoja uliopita, amekiri kwa maneno yake, Swali la kujiuliza ni moja tu, kama kweli Mbowe hakuhusika na Ugaidi kwanini CHADEMA hawajawahi kuzungumzia issue ya walinzi wa Mbowe kukamatwa hata siku moja? Kama kweli Mbowe hakuhusika, hao walinzi wake wangetetewa kama Dreva wa Lisu na Mdude kwanzia walipokamatwa.

Akili za kuambiwa changanya na zako, IGP Sirro aliwashauri wanachama wa CHADEMA waende wakamuulize Mwenyekiti wao kuhusu kesi inayomkabili, lakini wakakaidi halafu wakalipa watu wakaandamane Mahakamani, wakadhibitiwa, sasa leo Mbowe kupitia salamu zake kakiri kutambua kesi, kakiri anakabiliwa na kesi ya Ugaidi, nguvu za kusema Mbowe sio gaidi zinatoka wapi? Wamezoea kupinga kila kitu sasa wanapinga hadi msimamo wa Mwenyekiti wao.

All in All, Bwana yuke kachemka kutuma salamu ambazo zinakinzana na madai ya wanachama wa chama chake na chembechembe za kadharau uongozi wa Chama chake kwa kumpa taarifa Mwanae (Mtoto wa ndygu yake) wakati wakina John Mrema hawana cha kufanya, wanazurura tu kwenye bar za Mikocheni.

 
Back
Top Bottom