Anaandika Humprey Polepole kuhusu Salamu alizotuma Mbowe kutoka Gereza la Ukonga

Chama cha magaidi wa Ufipa kifutwe tu.
 
Mnatunga hoja au mnajenga hoja?
 
Chadema mmeonywa miaka mingi sana sasa vuneni mlichopanda
 
Pambaneni na hoja ya HP na si HP. Hili la Mnyika hata mimi nilijiuliza saaaana, alikuwa anataka nini?
Bado hamjaacha propaganda za kizee, karne hii ya 21 bado mnatumia mbinu hizo hizo outdated?
 
Bado hamjaacha propaganda za kizee, karne hii ya 21 bado mnatumia mbinu hizo hizo outdated?

unaendeleza yaleyale.... hoja iko mezani.. acha kuingia polini.
 
Kwanza Bongo hakuna mahakama huru,mahakama zote zinafata maagizo ya shetani wa magogoni,
Pili Mbowe kukili kuwa ana kesi ya ugaidi,sio hoja kwani polisiccm wamemkamata kwa tuhuma gani?si za ugaidi.
Na Swala kwamba salamu za Mbowe,kutoka gerezani,kutolewa na mwanae sio hoja,Mzee Mandela alituma salamu kwa wananchi wa SA,kupitia kwa mtoto wake,binti wa miaka 17,kipindi hicho,
Raisi Trump,binti yake alikuwa kama mshauri wake binafsi nje ya fedel government,
Kama Chadema haiwatishi,si muiache ife kama cuf,tlp,nccr?inawakosesha raha
 
Wachumia tumbo tu nyie
 
USITUTOE KWENYE RELI YA MATAMSHI YAKO KUHUSU CHANJO YA KORONA
 
Polepole katibu mwenezi wa ccm aliyeua na kutesa watu wengi zaidi tangu ccm ianzishwe! Pia aliweka rekodi nzuri ya wezi wa kura uliopindukia kuliko miaka yote tangu tupate uhuru!
 
Bwana Chakubamga umeamua kuibukia kwenye unafiki huu baada ya kulikoroga kwa dharau zako kwa mama.

Subiri tu zamu yako ya kunyolewa. Huu unafiki wako safari hii hautakusaidia. Rangi yako tumekwishaijua vizuri.
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Polepole ukimwi umeshafika kwenye ubongo anatafutia pa kufia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…