Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Wote tuliona comments zako humu za kujisifu kuwa kwa kubeba maboksi USA umeweza kumiliki apartments Masaki na Msasani. Leo unakana maneno yako mwenyewe!? Kweli binadamu wanafiki.
Hahahaa wewe lazima huwa nakukereketa sana.
Hahahaa I mean, huachi kunifuatilia.
Mbaya zaidi uko delusional.
Una hallucinate mambo halafu unajishawishi hadi unajiaminisha kuwa ndo ya kweli.
Hivi nikikwambia uthibitishe kuwa kweli niko USA utaweza?
Huko USA alinipeleka mamako?
Mpuuzi ni mamako alokuzaa.
Mburukenge wewe.
Shangaa wewe mkuu... Au labda aliandikiwa..
Nirudishe Ignore List, umenitoa lini?? Sasa kuna umuhimu gani wa kuniweka Ignore List??
Aya nirudishe usije pigwa Ban ukakosa kuwadanganya mburulaz..
Watu wanafisadi nchi unaleta ubwege wa ustatarabu kama ulizoea kula vya bure sasa imekula kwako shame on you!
Hahahaa wewe lazima huwa nakukereketa sana.
Hahahaa I mean, huachi kunifuatilia.
Mbaya zaidi uko delusional.
Una hallucinate mambo halafu unajishawishi hadi unajiaminisha kuwa ndo ya kweli.
Hivi nikikwambia uthibitishe kuwa kweli niko USA utaweza?
Huko USA alinipeleka mamako?
Mpuuzi ni mamako alokuzaa.
Mburukenge wewe.
Wananchi tunataka kuona uozo uliopo serikalini LIVE. Maana sio wote tunaweza kufika kwa wakati mmoja na kubaini uozo ndani ya serikali...hivyo acha mwakilishi wetu (PM) atuonyeshe uozo uliopo serikalini. Sasa ikiwa wewe una tatizo na media...basi huo ni mjadala mwingine. Ila wananchi wengi tunapenda kuona uozo wa taasisi zetu za serikali kupitia media na namna gani hatua zinachukuliwa ili kuondoa uozo ndani ya serikali. The Boss mpongeze tu PM.
Pasco ,
Huyo Majaliwa anatumwa tu. Mwenyewe Magufuli.
Na kama hamjaeweza kumsema Magufuli alipolipangia bunge jinsi ya kufanya tafrija, kitu ambacho hana mamlaka nacho kikatiba ( checks and balances haziruhusu), huyo Waziri Mkuu kivamia mashirika ya umma, kitu ambacho ana mamlaka nacho, hamtaweza hata pa kuanzia.
Wote tuliona comments zako humu za kujisifu kuwa kwa kubeba maboksi USA umeweza kumiliki apartments Masaki na Msasani. Leo unakana maneno yako mwenyewe!? Kweli binadamu wanafiki.
Weka hapa niliposema nina apartments Masaki na Msasani.
Unashindwa nini kuweka?
Good governance my foot. Maneno meeeengi. Si ungesema tu "tunaonekana vichwamaji tulioahidiwa mabadaliko feki na Lowassa, na sasa aibu inatusuda kwa kushuhudia mabadiliko halisi"? Nani atarajie pongezi kwa ninyi mliokuwa mnamsujudia Lowassa. Na sasa Lowassa halisi anaanza kujulikana kupitia kwa washikrika wake wa karibu akina Awale. Mliimba sana "kama fisadi mpelekeni jela basi" sasa kilio chenu kinasikilizwa na kutekelezwa.
Unataka awataarifu "jamani ee, nakuja kukagua kuhusu upotevu wa makontena. Naomba mniandalie taarifa kamili."?
Ni mtu mwenye matatizo ya akili tu anaweza kuhoji utendaji kazi wa Majaliwa ilhali habari ya msingi ni upotevu wa MAKONTENA ELFU MBILI NA UPUUZI. Nazungumzia makontena as containers za kubebea cargo bandarini sio kontena za take away.
Nendeni zenu huko, hamna hoja, hamha mpya, mnaugulia maumivu tu. Who cares fisadi akiumbuliwa if it helps kupambana na ufisadi? The end justifies the means. Unadhani angeenda kuwachekachekea kama JK tungefahamu kuhusu upotevu huo wa makontena?
Yes, alikuwa na facts lakini alichofanya ni kupata other side of the story kutoka kwa wahusika. La muhimu ni kukamata mhalifu na sio jinsi alivyokamatwa. Msituletee utetezi kama ule wa JK kuhusu HAKI ZA BINADAMU ZA MAFISADI.
Ushauri mwepesi: Lowassa alishindwa urais kabla ya siku ya kura.Tulijaribu sana kuwafumbua macho mkatuona hamnazo. Sasa mnakula jeuri yenu. Choice ni nyepesi, subirini 2020 kama hamwezi kuungana nasi katika operesheni ya kutumbua majipu.
By the way, kelele za chura hazimzuwii ng'ombe kunywa maji.
+1-404-671-2465
Wewe endelea kupiga boksi hapo Atlanta.. Ila upuuzi na mbwembwe za kudanganya watu humu uache
Utakuja kuaibika tukiletea uzi wa kuchangia maiti yako irudi Tanzania man.. Jina ulilojijengea humu JF na maisha unayoishi wala sio..
Pasco ,
Huyo Majaliwa anatumwa tu. Mwenyewe Magufuli.
Na kama hamjaweza kumsema Magufuli alipolipangia bunge jinsi ya kufanya tafrija, kitu ambacho hana mamlaka nacho kikatiba ( checks and balances haziruhusu, I haven't seen an article on this), huyo Waziri Mkuu kuvamia mashirika ya umma, kitu ambacho ana mamlaka nacho, hamtaweza hata pa kuanzia.