Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

CCM walizoea vya kunyonga vya kuchinja hawawez....
 
Wanabodi,

Kwanza naomba kukiri, kuwa ninaunga mkono kwa asilimia 100% juhudi za serikali awamu ya 5 kupambana na rushwa, ufisadi, uzembe na ukwepaji kodi, ili mtindo unaotumiwa na Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa, sio!.

Baada ya kukisikia kisanga cha TRA kilichomngoa Kamishna Mkuu na maofisa kadhaa kufuatia sakata la makontena, leo amerudi tena bandarini, na nimekishuhudia kitu anachokifanya, japo anashangiliwa na umati wa watu, lakini anachokifanya ni kuviziana, kutishana, kudhalilishana na kunakwenda kinyume cha utawala bora, yaani good governance!.

Waziri Mkuu anafanya ziara za kushtukiza mahali, huki akiwa na karatasi lenye tuhuma specific, lakini amelificha!, anakwenda kumuuliza mhusika wa pale kuhusu utendaji wa mfumo fulani, anaelezwa kuwa mfumo uko perfect, kisha analiibua hilo kaatasi lenye tuhuma na kuanza kumsomea mhusika mbele ya kadamnasi ya watu, abcd!, mhusika anashindwa kujibu, atasimamishwa kazi, na kama yuko juu ya mamlaka yake, atamchongea kwa rais!.

Hata TRA siku hiyo alikwenda na nondo za makomtena, alipomuuliza Bade, akamjibu details ziko kwa maofisa wangu, ndipo akaibua nondo lake na kumsomea kwenye kadamnasi ili aonekane mjinga!, huku ni kuaibishana, kudhalilishana na kinyume cha good governance!.

Baada ya kutoka bandaini, akaenda TRL na kumuuliza mkurugenzi mkuu, mlikopa bilioni 3 TIB za kufanyia nini?!, kwa nini hamkufanya kile mlichokopea?, akaambiwa tumelipia mishahara, nani aliwapa idhini ya kukopa?!, Mkuugenzi hana jibu na naamini kesho atatangazwa hana kazi!.

Top management angekaa nao ofisini na kuulizana kistaarabu ndio good governance!. Mimi hata home, wife alikuwa na tabia ya kuwafokea ma tx home, mbele ya watoto, nikamkataza!, nikamsisitiza if things are not right, muite pembeni ndipo umseme, sio kumdhalilisha mbele ya watoto!.

Anachofanya Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa ni kuviziana, kudhalilishana na kuabishana bila sababu za msingi!, hili la kuitana na kuanza kuhojiana mbele ya waandishi ili watu wamuone alivyo mkali, ni tabia za ma populist leaders!, Leo nimemuona Magufuli akiongea na wafanyabiashara yuko very humble even cracking some jokes!.

Kama kuna watu wako karibu na Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa, wamwambie anavyofanya sio vizuri, Sio Sawa, Sio Haki, Sio Good Governance!, Ni Udhalilishaji na Kuaibishana tuu!. Akumbushwe kuna kitu kinatwa 'karma' kisije kumshukia!.
Au wewe unaonaje?!, toa maoni yako ni sawa au sio sawa!.
Pasco

Wewe pascal mayalla una weweseka unajua vile vi deal vya PPR ndio mwisho...acha watu wafanye kazi...tumechoka kukumbatia wizi na ufisadi...nyie ndio mnakwamisha maendeleo..na vijikampuni vya kwenye brief case eti PPR.....rubbish....
 
wezi ni sisi na tunahitaji huduma ni sisi
 
Dah! Huyu Magufuli na mwenzie wataua watu kwa mashinikizo ya damu; Yule mzee nilimhurumia sana, kama ni mgonjwa unamuua! Sifa zimewazidi, sasa wanaenda mbali zaidi.
 
Mtoa hoja uwe na hata chembe ya aibu kutoa hoja kama hii, anachofanya Rais wengi wamekikubali. Ungekuwa umesomea uongozi umma kwa level ya juu ungemwelewa Rais ana maana gani kutumia technical hiyo.

Tatizo naloliona kwako si uelewa tu wa taaluma ya uongozi bali hata kuchanganua mambo kidogo kwako ni ngumu.

Anadhani nchi inaongozwa 'kiprimary school'
 
mwaka 2010 walitutukana kuwa elimu bure haiwezekani Leo wanasema inawezekana bado cement na bati kushuka bei....waendelee kuchimba huko kwenye .adini Luna makontene ya madini husafirishwa kinyemela...bado TANAPA
 
kama uchawi upo basi mganga wa ccm na jk kiboko.kwa miaka yote mkasema elimu bure hadi chuo kikuu haiwezekani!Kumbe makontena ya bandarini pekee hata tusipolima tunaweza kula na kusaza.kagame mate yanamtoka akitazama ramani na kugundua hana bandari.elimu bure hadi chuo kikuu inawezekana kama mapato yakidhibitiwa
Ili uendelee kuwavua chupi na kuzini na watoto wa wenzako.Zaa wako nae umfanye kama unavyowafanyia wa wenzako, usipomvua wewe atavuliwa na wengine kama first law of KARMA inavyosema mpumbavu mkubwa wee.Jinga kabisa.
 
Ndo maana Rais wetu alikuwa anasema chagua Magufuli na siyo chagua CCM. Alikuwa anajua uozo wote wa ccm.

Nitafurahi kwenye baraza lake la mawaziri kama atapiga chini wote waliokuwa wasimamiz wa wizara na wakashindwa kuzuia ufisadi na wengine kushiriki kabisa kwenye huo ufisadi.

Nitashangaa sana kuona kama hawa watu watarudishwa kwenye cabinet ijayo
 
Mtoa hoja uwe na hata chembe ya aibu kutoa hoja kama hii, anachofanya Rais wengi wamekikubali. Ungekuwa umesomea uongozi wa umma kwa level ya juu ungemwelewa Rais ana maana gani kutumia technical hiyo.

Tatizo naloliona kwako si uelewa tu wa taaluma ya uongozi bali hata kuchanganua mambo kidogo kwako ni ngumu.

Kwan hilo lina jipya gn!? mbona Kikwete pia alisemaga ivo ivo?!
Tatizo jingine ni kuanzia lini ndo wanalipa, contena za mwisho au tokea waanze biashara!?
 
Wewe wa wapi? ilala au kilungule? Grace period ipo kila sehem na inaruhusiwa kutumika! wame avoid ile kumkamata mtu halafu akaomba nipeni 3 days nitafute nitalipa! that's why wamepewa siku saba! Mind you kuwa hapa pana wengi ambao makosa yao ni indirect na direct! so within seven days of grace period wanapata mda wa kusolve or kusave! Its two sided thing!
 
Pasco anashindwa kumuhurumia mgonjwa anaekosa dawa kwa sababu watu wamekwepa kodi yeye anamhurumia mzembe na muongo kisa kasemwa hadharani kwa kudanganya hadharani
 
Wanabodi,

Kwanza naomba kukiri, kuwa ninaunga mkono kwa asilimia 100% juhudi za serikali awamu ya 5 kupambana na rushwa, ufisadi, uzembe na ukwepaji kodi, ili mtindo unaotumiwa na Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa, sio!.

Baada ya kukisikia kisanga cha TRA kilichomngoa Kamishna Mkuu na maofisa kadhaa kufuatia sakata la makontena, leo amerudi tena bandarini, na nimekishuhudia kitu anachokifanya, japo anashangiliwa na umati wa watu, lakini anachokifanya ni kuviziana, kutishana, kudhalilishana na kunakwenda kinyume cha utawala bora, yaani good governance!.

Waziri Mkuu anafanya ziara za kushtukiza mahali, huki akiwa na karatasi lenye tuhuma specific, lakini amelificha!, anakwenda kumuuliza mhusika wa pale kuhusu utendaji wa mfumo fulani, anaelezwa kuwa mfumo uko perfect, kisha analiibua hilo kaatasi lenye tuhuma na kuanza kumsomea mhusika mbele ya kadamnasi ya watu, abcd!, mhusika anashindwa kujibu, atasimamishwa kazi, na kama yuko juu ya mamlaka yake, atamchongea kwa rais!.

Hata TRA siku hiyo alikwenda na nondo za makomtena, alipomuuliza Bade, akamjibu details ziko kwa maofisa wangu, ndipo akaibua nondo lake na kumsomea kwenye kadamnasi ili aonekane mjinga!, huku ni kuaibishana, kudhalilishana na kinyume cha good governance!.

Baada ya kutoka bandaini, akaenda TRL na kumuuliza mkurugenzi mkuu, mlikopa bilioni 3 TIB za kufanyia nini?!, kwa nini hamkufanya kile mlichokopea?, akaambiwa tumelipia mishahara, nani aliwapa idhini ya kukopa?!, Mkuugenzi hana jibu na naamini kesho atatangazwa hana kazi!.

Top management angekaa nao ofisini na kuulizana kistaarabu ndio good governance!. Mimi hata home, wife alikuwa na tabia ya kuwafokea ma tx home, mbele ya watoto, nikamkataza!, nikamsisitiza if things are not right, muite pembeni ndipo umseme, sio kumdhalilisha mbele ya watoto!.

Anachofanya Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa ni kuviziana, kudhalilishana na kuabishana bila sababu za msingi!, hili la kuitana na kuanza kuhojiana mbele ya waandishi ili watu wamuone alivyo mkali, ni tabia za ma populist leaders!, Leo nimemuona Magufuli akiongea na wafanyabiashara yuko very humble even cracking some jokes!.

Kama kuna watu wako karibu na Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa, wamwambie anavyofanya sio vizuri, Sio Sawa, Sio Haki, Sio Good Governance!, Ni Udhalilishaji na Kuaibishana tuu!. Akumbushwe kuna kitu kinatwa 'karma' kisije kumshukia!.
Au wewe unaonaje?!, toa maoni yako ni sawa au sio sawa!.
Pasco
Inawezekana ukawa na hoja nzuri, ila kwa hali ilivyo sasa waache wasafishe kwanza hali ikishatengamaa ndio tutakumbushana huo ustaarabu unaouhubiri.
 
dah! hivi ni kweli uwezo wako wakuelewa na kufikiri ndio umeishia hapo? au ili mradi umepinga? ulitaka afanyeje au asemeje?

Uongozi ni busara na mbinu. Jiongeze!
 
Mtoa hoja uwe na hata chembe ya aibu kutoa hoja kama hii, anachofanya Rais wengi wamekikubali. Ungekuwa umesomea uongozi wa umma kwa level ya juu ungemwelewa Rais ana maana gani kutumia technique hiyo.

Tatizo naloliona kwako si uelewa tu wa taaluma ya uongozi bali hata kuchang

anua mambo kidogo kwako ni ngumu.

Mdau using'ate maneno,issue ni kwamba wamepewa siku saba walipe sasa mambo ya uongoz wa umma yanatoka wapi hapo?kukwepa kodi ni kosa kisheria,anayekwepa kodi anapaswa kufanywaje?sasa labda tusaidiane hapa Sheria inampa siku saba mkwepa kodi?na akishalipa aachwe?mbona mnataka kuleta porojo nyiiiingi zinatoka wapi tena,
 
Pasco, pasco, pasco umenichekuesha sana unapofananisha uendeshaji wa nchi na familia yako. Naomba nikuombee msamaha kuwa uliteleza katika makala yako hii. Vyote unavyotaka vifanyike vilishafanyika huko nyuma bro. Na havikuleta tija. Kunakiongozi aliyependa kubembeleza kama kikwete? Sasa jiulize style yaki ilisaidia kitu? Kwenye leadership bro kuna different leadership styles na kila mtu anayo ya kwake. Na kwa maoni yangu style ya kinamagufuli ndio inatufaa sisi watanzania. This time it is all about results. Kasome historia yako ya wakina kennedy walivyopambana na mammafia.
 
Hivi uozo uliopo penye taasisi hizi mbili ni wa kuuliza!watu wamezoea kufanya kazi kwa mazoea maadili ya kazi hayafuatwi kisha watu wanataka wabembelezwe alie toa mfano wa jerry rawlings namuunga mkono watu wanakufa mijini na vijijini kwa kukosa dawa muhimu kisha mtu anataka tuwabembeleze wazembe wasio na haya wala huruma na binaadamu wenzao!Pasco kwa hili tumetofautiana ndg yangu kuna watu wanaishi maisha ya ajabu sana hapa kama hawapo tanzania.
 
Wewe wa wapi? ilala au kilungule? Grace period ipo kila sehem na inaruhusiwa kutumika! wame avoid ile kumkamata mtu halafu akaomba nipeni 3 days nitafute nitalipa! that's why wamepewa siku saba! Mind you kuwa hapa pana wengi ambao makosa yao ni indirect na direct! so within seven days of grace period wanapata mda wa kusolve or kusave! Its two sided thing!

hizi ndo chai sasa,hadi jana amewaambia ni dhahiri walikwepa kodi,so sheria inasemaje kwa mkwepa kodi?
 
dah! hivi ni kweli uwezo wako wakuelewa na kufikiri ndio umeishia hapo? au ili mradi umepinga? ulitaka afanyeje au asemeje?

Uongozi ni busara na mbinu. Jiongeze!

Sasa busara si kufuata sheria jamani,mtu amekwepa kodi busara gani zaid ya kufata sheria,maana washtakiwe na kodi walipe ikiwezekana na.mali zitaifishwe,naona kwenye hili la kodi mnapindisha utaratibu makusudi
 
Back
Top Bottom