YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Lisu akishindwa huu uchaguzi ajiandae chadema watamfanyia vitimbi Hadi akome
Akumbuke Slaa alipogombea akashindwa kilichomkuta pia akumbuke Lowasa aliposhindwa kilichomkuta Mbowe alinusurika sababu ni mkwe wa mwenye chama.Pia akumbuke bya Duni Haji kilichomkuta Baada ya yeye na Lowasa kushindwa uchaguzi
Huu uchaguzi ndio utaamua hatima ya Lisu ndani ya chadema na hatima yake kisiasa
Akumbuke Slaa alipogombea akashindwa kilichomkuta pia akumbuke Lowasa aliposhindwa kilichomkuta Mbowe alinusurika sababu ni mkwe wa mwenye chama.Pia akumbuke bya Duni Haji kilichomkuta Baada ya yeye na Lowasa kushindwa uchaguzi
Huu uchaguzi ndio utaamua hatima ya Lisu ndani ya chadema na hatima yake kisiasa