Anachosema Lissu ni kwamba, Bunge lisivunjwe mwezi wa sita, Rais na Wabunge waendelee hadi Reforms zikamilishwe, ndio uchaguzi mkuu ufanyike

Anachosema Lissu ni kwamba, Bunge lisivunjwe mwezi wa sita, Rais na Wabunge waendelee hadi Reforms zikamilishwe, ndio uchaguzi mkuu ufanyike

Ukitafakari sana, bila kuwa na utando wa kishabiki kichwani, Lissu anaongea kitu cha maana na hapa tayari ameonyesha ku-compromise na CCM.

Pendekezo lake la "No Reforms na Elections" kwa alivyofafanua na nikamuelewa, anasema kwamba, Chadema wako tayari CCM iendelee kuwa madarakani kwa muda ulioongezwa, yaani Samia na Wabunge waendelee kuwa madarakani, hadi Reforms zikamilishwe. Zikishakamilishwa basi ndipo sasa ipangwe Bunge livunjwe lini na Uchaguzi Mkuu ufanyike lini, labda October 2026 badala ya October 2025, au hata October 2027. Yaani Wabunge na Raisi waongezewe kipindi cha mwaka mmoja, hadi miwili ikibidi, ili kufanya Reforms.

Sasa mimi nadhani kwa mtu mwenye kufikiri, hili si wazo baya, ni wazo la mtu mwenye akili na alie tayari kutafakari. Amesha-compromise.

Kwa upande wa pili ina make sense. Kwa nini uingie kwenye uchaguzi ambao unajua unafanyika katika misingi mibovu? Ni vema uahirishe uchaguzi ili urekebishe hiyo misingi mibovu kwanza.

Na hii ni lojiki ya kawaida ya maisha ya kila siku. Nikitaka kusafiri kesho, huku nikitambua gari nitakayotumia ni mbovu itanikwamisha njiani, basi ni vema nicheleweshe safari ili gari irekebishwe kuliko kusema ngoja niende tu nitafanya cha kufanya huko mbele. Unaweza ukafia njiani.

Sasa CCM msipoelewa hili nyie ni wakorofi na mnafanya makusudi kwa sababu hamtaki Reforms

Hebu Wasira katika busara za uzee wake atuambie ubaya wa hili wazo ni nini?
Kama itaongezwa mwaka mmoja sawa ila rais atakaye shinda iwe ni miaka minne kufidia huo mmoja....sema genge la raia feki aliwezi kukubali chochote cha maana kifanyike tanzania ..ndiyo linalo kwamisha maendeleo nchini
 
Nikuulize, haya maamuzi ya maandamano ili kupeleka mbele uchaguzi ni maamuzi ya chama kupitia TAL au maamuzi ya TAL kupitia chama?

Unajua, TAL hata awe na akili kuliko binadamu wote, linapokuja suala la maamuzi bila kushirikisha akili za wengine kuna Tundu hataziona na atapigiwa hapo hapo kwenye hilo tundu.
Ki-demokrasia, yeye kama kiongozi anawazo, ni wajibu wake kuwa na mawazo ya kuwaongoza watu wake Chadema, sasa suala ni kama wazo lake litakubaliwa na wana Chadema wote. Hivyo suala la kufanya maandamano bado linabaki mikononi mwa wana Chadema wote, hata kama limeanza na TAL. Hiyo ndio demokrasia.
 
Ukitafakari sana, bila kuwa na utando wa kishabiki kichwani, Lissu anaongea kitu cha maana na hapa tayari ameonyesha ku-compromise na CCM.

Pendekezo lake la "No Reforms na Elections" kwa alivyofafanua na nikamuelewa, anasema kwamba, Chadema wako tayari CCM iendelee kuwa madarakani kwa muda ulioongezwa, yaani Samia na Wabunge waendelee kuwa madarakani, hadi Reforms zikamilishwe. Zikishakamilishwa basi ndipo sasa ipangwe Bunge livunjwe lini na Uchaguzi Mkuu ufanyike lini, labda October 2026 badala ya October 2025, au hata October 2027. Yaani Wabunge na Raisi waongezewe kipindi cha mwaka mmoja, hadi miwili ikibidi, ili kufanya Reforms.

Sasa mimi nadhani kwa mtu mwenye kufikiri, hili si wazo baya, ni wazo la mtu mwenye akili na alie tayari kutafakari. Amesha-compromise.

Kwa upande wa pili ina make sense. Kwa nini uingie kwenye uchaguzi ambao unajua unafanyika katika misingi mibovu? Ni vema uahirishe uchaguzi ili urekebishe hiyo misingi mibovu kwanza.

Na hii ni lojiki ya kawaida ya maisha ya kila siku. Nikitaka kusafiri kesho, huku nikitambua gari nitakayotumia ni mbovu itanikwamisha njiani, basi ni vema nicheleweshe safari ili gari irekebishwe kuliko kusema ngoja niende tu nitafanya cha kufanya huko mbele. Unaweza ukafia njiani.

Sasa CCM msipoelewa hili nyie ni wakorofi na mnafanya makusudi kwa sababu hamtaki Reforms

Hebu Wasira katika busara za uzee wake atuambie ubaya wa hili wazo ni nini?
Mkuu nmeishia kusoma hapo juu uliposema lissu yuko tyr ku compomise. MAelwzo yako yooote mbona kama umbea na mipasho ya taarabu. Unaonaje ukaweka ushahidi wa video au quote ya maelezo ya lissu au chochote kiww quote kusindikiza uzi usionekane kama mvaa dela au mtoto wa elf2 unayeishi manzese na unaleta habari za vijiweni na ni chawa
 
Kama itaongezwa mwaka mmoja sawa ila rais atakaye shinda iwe ni miaka minne kufidia huo mmoja....sema genge la rsia feki aliwezi kukubali chochote cha maana kifanyike tanzania ..ndiyo linalo.kwamisha maendeleo nchini
Utakuwa ume complicate sana marekebisho madogo ya muda mfupi ya katiba. Haina neno, hata baada ya mwaka wa kumwongezea muda raisi atakaechaguliwa akae miaka ile ile mitano. Ni kweli kwamba ikiwa Samia ndie atakaekuwa raisi basi atakuwa raisi kwa miaka 4 + 1 + 5 au 4+2=5
 
Mkuu nmeishia kusoma hapo juu uliposema lissu yuko tyr ku compomise. MAelwzo yako yooote mbona kama umbea na mipasho ya taarabu. Unaonaje ukaweka ushahidi wa video au quote ya maelezo ya lissu au chochote kiww quote kusindikiza uzi usionekane kama mvaa dela au mtoto wa elf2 unayeishi manzese na unaleta habari za vijiweni na ni chawa
Soma mahojiano ya Lissu leo. Kuwa kwako laggard na current affairs kusifanye wale walio up to date wanachosema kiwe story za mitaani. Rekebisha screws za kichwani kwako
 
Ukitafakari sana, bila kuwa na utando wa kishabiki kichwani, Lissu anaongea kitu cha maana na hapa tayari ameonyesha ku-compromise na CCM.

Pendekezo lake la "No Reforms na Elections" kwa alivyofafanua na nikamuelewa, anasema kwamba, Chadema wako tayari CCM iendelee kuwa madarakani kwa muda ulioongezwa, yaani Samia na Wabunge waendelee kuwa madarakani, hadi Reforms zikamilishwe. Zikishakamilishwa basi ndipo sasa ipangwe Bunge livunjwe lini na Uchaguzi Mkuu ufanyike lini, labda October 2026 badala ya October 2025, au hata October 2027. Yaani Wabunge na Raisi waongezewe kipindi cha mwaka mmoja, hadi miwili ikibidi, ili kufanya Reforms.

Sasa mimi nadhani kwa mtu mwenye kufikiri, hili si wazo baya, ni wazo la mtu mwenye akili na alie tayari kutafakari. Amesha-compromise.

Kwa upande wa pili ina make sense. Kwa nini uingie kwenye uchaguzi ambao unajua unafanyika katika misingi mibovu? Ni vema uahirishe uchaguzi ili urekebishe hiyo misingi mibovu kwanza.

Na hii ni lojiki ya kawaida ya maisha ya kila siku. Nikitaka kusafiri kesho, huku nikitambua gari nitakayotumia ni mbovu itanikwamisha njiani, basi ni vema nicheleweshe safari ili gari irekebishwe kuliko kusema ngoja niende tu nitafanya cha kufanya huko mbele. Unaweza ukafia njiani.

Sasa CCM msipoelewa hili nyie ni wakorofi na mnafanya makusudi kwa sababu hamtaki Reforms

Hebu Wasira katika busara za uzee wake atuambie ubaya wa hili wazo ni nini?
Wazo ZURI lilij
Ukitafakari sana, bila kuwa na utando wa kishabiki kichwani, Lissu anaongea kitu cha maana na hapa tayari ameonyesha ku-compromise na CCM.

Pendekezo lake la "No Reforms na Elections" kwa alivyofafanua na nikamuelewa, anasema kwamba, Chadema wako tayari CCM iendelee kuwa madarakani kwa muda ulioongezwa, yaani Samia na Wabunge waendelee kuwa madarakani, hadi Reforms zikamilishwe. Zikishakamilishwa basi ndipo sasa ipangwe Bunge livunjwe lini na Uchaguzi Mkuu ufanyike lini, labda October 2026 badala ya October 2025, au hata October 2027. Yaani Wabunge na Raisi waongezewe kipindi cha mwaka mmoja, hadi miwili ikibidi, ili kufanya Reforms.

Sasa mimi nadhani kwa mtu mwenye kufikiri, hili si wazo baya, ni wazo la mtu mwenye akili na alie tayari kutafakari. Amesha-compromise.

Kwa upande wa pili ina make sense. Kwa nini uingie kwenye uchaguzi ambao unajua unafanyika katika misingi mibovu? Ni vema uahirishe uchaguzi ili urekebishe hiyo misingi mibovu kwanza.

Na hii ni lojiki ya kawaida ya maisha ya kila siku. Nikitaka kusafiri kesho, huku nikitambua gari nitakayotumia ni mbovu itanikwamisha njiani, basi ni vema nicheleweshe safari ili gari irekebishwe kuliko kusema ngoja niende tu nitafanya cha kufanya huko mbele. Unaweza ukafia njiani.

Sasa CCM msipoelewa hili nyie ni wakorofi na mnafanya makusudi kwa sababu hamtaki Reforms

Hebu Wasira katika busara za uzee wake atuambie ubaya wa hili wazo ni nini?
[/QUOTE
Kumekucha
Tena kweupe pee jamani.
 
Ukitafakari sana, bila kuwa na utando wa kishabiki kichwani, Lissu anaongea kitu cha maana na hapa tayari ameonyesha ku-compromise na CCM.

Pendekezo lake la "No Reforms na Elections" kwa alivyofafanua na nikamuelewa, anasema kwamba, Chadema wako tayari CCM iendelee kuwa madarakani kwa muda ulioongezwa, yaani Samia na Wabunge waendelee kuwa madarakani, hadi Reforms zikamilishwe. Zikishakamilishwa basi ndipo sasa ipangwe Bunge livunjwe lini na Uchaguzi Mkuu ufanyike lini, labda October 2026 badala ya October 2025, au hata October 2027. Yaani Wabunge na Raisi waongezewe kipindi cha mwaka mmoja, hadi miwili ikibidi, ili kufanya Reforms.

Sasa mimi nadhani kwa mtu mwenye kufikiri, hili si wazo baya, ni wazo la mtu mwenye akili na alie tayari kutafakari. Amesha-compromise.

Kwa upande wa pili ina make sense. Kwa nini uingie kwenye uchaguzi ambao unajua unafanyika katika misingi mibovu? Ni vema uahirishe uchaguzi ili urekebishe hiyo misingi mibovu kwanza.

Na hii ni lojiki ya kawaida ya maisha ya kila siku. Nikitaka kusafiri kesho, huku nikitambua gari nitakayotumia ni mbovu itanikwamisha njiani, basi ni vema nicheleweshe safari ili gari irekebishwe kuliko kusema ngoja niende tu nitafanya cha kufanya huko mbele. Unaweza ukafia njiani.

Sasa CCM msipoelewa hili nyie ni wakorofi na mnafanya makusudi kwa sababu hamtaki Reforms

Hebu Wasira katika busara za uzee wake atuambie ubaya wa hili wazo ni nini?
Sio compromise na ccm bali mtego wa dola huo!Yaani muda upite halafu Rais aambiwe katiba haitambui seriakli yako!!patachimbika!!
 
Anatoa mawazo yasiyowezekana kufanikika anadhani CCM ni wajinga kiasi hicho yy kama hawez uchaguzi 2925 aususie wengine wale
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 CCM wakubali maridhiano ambayo yatawaondoa wao meza kuu😄???
Sidhani kama litakuwa jambo rahisi.
 
huyo mpumbavu wenu mwambieni awaambie hao mabwana zake kule Ulaya nchi hii inaongozwa kwa mujibu wa sheria na taratibu siyo kwa upuuzi wake huo.
Nafikiri wazee wetu walikuwa na busara kuzuia Watoto kuongea kwenye mijadala ya watu wazima.Nafikiri kwenye huu mjadala wewe ni mtoto ni vyema uwaachie watu wazima wajadili.
 
Ukitafakari sana, bila kuwa na utando wa kishabiki kichwani, Lissu anaongea kitu cha maana na hapa tayari ameonyesha ku-compromise na CCM. Nimesikiliza mahojiano yake kwa makini sana.

Pendekezo lake la "No Reforms na Elections" kwa alivyofafanua na nikamuelewa, anasema kwamba, Chadema wako tayari CCM iendelee kuwa madarakani kwa muda ulioongezwa, yaani Samia na Wabunge waendelee kuwa madarakani, hadi Reforms zikamilishwe. Zikishakamilishwa basi ndipo sasa ipangwe Bunge livunjwe lini na Uchaguzi Mkuu ufanyike lini, labda October 2026 badala ya October 2025, au hata October 2027. Yaani Wabunge na Raisi waongezewe vipindi vyao vya sasa, labda mwaka mmoja, hadi miwili ikibidi, ili kufanya Reforms.

Sasa mimi nadhani kwa mtu mwenye kufikiri, hili si wazo baya, ni wazo la mtu mwenye akili na alie tayari kutafakari. Amesha-compromise.

Kwa upande wa pili ina make sense. Kwa nini uingie kwenye uchaguzi ambao unajua unafanyika katika misingi mibovu? Ni vema uahirishe uchaguzi ili urekebishe hiyo misingi mibovu kwanza.

Na hii ni lojiki ya kawaida ya maisha ya kila siku. Nikitaka kusafiri kesho, huku nikitambua gari nitakayotumia ni mbovu itanikwamisha njiani, basi ni vema nicheleweshe safari ili gari irekebishwe kuliko kusema ngoja niende tu nitafanya cha kufanya huko mbele. Unaweza ukafia njiani.

Sasa CCM msipoelewa hili nyie ni wakorofi na mnafanya makusudi kwa sababu hamtaki Reforms

Hebu Wasira katika busara za uzee wake atuambie ubaya wa hili wazo ni nini?

Angalia pia: https://www.jamiiforums.com/data/video/5939/5939319-d39f72b02cc4e8f343ca921586c9ac51.mp4
CCM wakigima kufanya reforms katika huo mwaka mmoja au miwili napo itakuwaje?

Waongezewe miaka miwili mingine bila uchaguzi?

Na hapo napo wakikataa tena?
 
Nimelisoma. Nachoona Lissu anataka Samia n bunge la CCM waongezewe muda ili tupate katiba mpya. Sielewi kwa nini anataka utawala wa CCM uongezewe muda.
Sasa usichoelewa nini hapo, au wewe hiyo katiba mpya huitaki?
 
Ukitafakari sana, bila kuwa na utando wa kishabiki kichwani, Lissu anaongea kitu cha maana na hapa tayari ameonyesha ku-compromise na CCM. Nimesikiliza mahojiano yake kwa makini sana.

Pendekezo lake la "No Reforms na Elections" kwa alivyofafanua na nikamuelewa, anasema kwamba, Chadema wako tayari CCM iendelee kuwa madarakani kwa muda ulioongezwa, yaani Samia na Wabunge waendelee kuwa madarakani, hadi Reforms zikamilishwe. Zikishakamilishwa basi ndipo sasa ipangwe Bunge livunjwe lini na Uchaguzi Mkuu ufanyike lini, labda October 2026 badala ya October 2025, au hata October 2027. Yaani Wabunge na Raisi waongezewe vipindi vyao vya sasa, labda mwaka mmoja, hadi miwili ikibidi, ili kufanya Reforms.

Sasa mimi nadhani kwa mtu mwenye kufikiri, hili si wazo baya, ni wazo la mtu mwenye akili na alie tayari kutafakari. Amesha-compromise.

Kwa upande wa pili ina make sense. Kwa nini uingie kwenye uchaguzi ambao unajua unafanyika katika misingi mibovu? Ni vema uahirishe uchaguzi ili urekebishe hiyo misingi mibovu kwanza.

Na hii ni lojiki ya kawaida ya maisha ya kila siku. Nikitaka kusafiri kesho, huku nikitambua gari nitakayotumia ni mbovu itanikwamisha njiani, basi ni vema nicheleweshe safari ili gari irekebishwe kuliko kusema ngoja niende tu nitafanya cha kufanya huko mbele. Unaweza ukafia njiani.

Sasa CCM msipoelewa hili nyie ni wakorofi na mnafanya makusudi kwa sababu hamtaki Reforms

Hebu Wasira katika busara za uzee wake atuambie ubaya wa hili wazo ni nini?

Angalia pia: https://www.jamiiforums.com/data/video/5939/5939319-d39f72b02cc4e8f343ca921586c9ac51.mp4
Huyo ndio Lissu. Huleta njia pasipio na njia.
Kama wao wameanua Samia aebdelee basi hakuna haja ya kujarakisha uchaguzi.

Samia huyo huyo asogeze Mbele Lakini Katiba Mpya ipatikane.

Wao wamadai tatizo muda. Sasa Jibu hilo hapo wamepewa.
 
CCM wakigima kufanya reforms katika huo mwaka mmoja au miwili napo itakuwaje?

Waongezewe miaka miwili mingine bila uchaguzi?

Na hapo napo wakikataa tena?
Jibu la tundu Lissu ni kwa wale wanaodai wako Tayari kwa Katiba Mpya ispokuwa muda ndio kikwazo.

Lakini kwa wanafiki hilo bado litakuwa gumu kwao
 
Ki-demokrasia, yeye kama kiongozi anawazo, ni wajibu wake kuwa na mawazo ya kuwaongoza watu wake Chadema, sasa suala ni kama wazo lake litakubaliwa na wana Chadema wote. Hivyo suala la kufanya maandamano bado linabaki mikononi mwa wana Chadema wote, hata kama limeanza na TAL. Hiyo ndio demokrasia.
Ukimsikiliza kwenye clip yale ni mawazo au maamuzi?
 
Ila mimi naona yanazungumzika tu na jeshi kukaa pembeni ikiwa na wao wanaona kabisa lengo ni kuleta utulivu.
Tatizo lipo kwa hivyo vyombo na vyenyewe vinaogelea kwenye hii Loophole ya katiba Mbovu.

Chahali hupenda kusema ni Symbiosis
 
Katiba hairuhusu!

Pia hana instruments za kulazimisha hicho anachokitaka.
Na haiwezekani kuwa na consensus ya "extent" ya hiyo reform anayoiimba!

Asisahau amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA sio RAIS wa Tanzania!
Tangu 2022 mnaimba hivyo hivyo Na ngonjera za Katiba Mpya haitoshi.
Sitashangaa
 
Back
Top Bottom