Anaejua bus la bei nafuu from Dar to Mwanza

Anaejua bus la bei nafuu from Dar to Mwanza

Sishauri umchukulie la bei nafuu mkuu mwanza to dar ni mbali sana,ni safari inayochosha mno it's better apande luxury tu.. mi naonaga hizi safari ndefu huwa tunazibaka kwanza kusafiri kwa basi au gari lolote ni mtihani,yani safari inakuzodoa..!
Mkuu jipigepige walau umpunguzie machungu ya safari apande luxury.. hayo cheap anaweza kukawia hata kufika shida juu ya shida..😂
 
Sishauri umchukulie la bei nafuu mkuu mwanza to dar ni mbali sana,ni safari inayochosha mno it's better apande luxury tu.. mi naonaga hizi safari ndefu huwa tunazibaka kwanza kusafiri kwa basi au gari lolote ni mtihani,yani safari inakuzodoa..!
Mkuu jipigepige walau umpunguzie machungu ya safari apande luxury.. hayo cheap anaweza kukawia hata kufika shida juu ya shida..[emoji23]

Luxury mwanza ni 120 kwa 80 yy bajet yake ni 50
 
Back
Top Bottom