baby zu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,816
- 4,770
Waende ufilipino tu maana kazi hiz wameanza kitambo, ingawaje kuna watu wenye mioyo migumu hata kwa 10 m watakubaliHela ndogo sana halafu masharti debe
In short sacrifice hazilingani na benefits
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waende ufilipino tu maana kazi hiz wameanza kitambo, ingawaje kuna watu wenye mioyo migumu hata kwa 10 m watakubaliHela ndogo sana halafu masharti debe
In short sacrifice hazilingani na benefits
Acha kukatisha watu tamaa wakati dada zetu wanapiga Abortion kila siku sasa kipi Bora hapo kugain mil 25 na kuendelea kutoa Mimba ?Waende ufilipino tu maana kazi hiz wameanza kitambo, ingawaje kuna watu wenye mioyo migumu hata kwa 10 m watakubali
Hahaha wapo watakaoendaWaende ufilipino tu maana kazi hiz wameanza kitambo, ingawaje kuna watu wenye mioyo migumu hata kwa 10 m watakubali
Kule labor sasa😂😂😂😂 ukifa, vipengele vya contract vinasemajeHela ndogo sana halafu masharti debe
In short sacrifice hazilingani na benefits
Na biashara tunafunguaHiyo hela nikiipata si namalizia kibanda naweka na full furniture...
Bado natafakari
😂 😂 😂Ingekuwa milioni 500 ningejilipua...
Hakuna hata life insurance...Kule labor sasa😂😂😂😂 ukifa, vipengele vya contract vinasemaje
Umalaya tumejifunzia kwa mama yako mzazi. Alitufunza vyema sana hadi tumekuwa ma expertsHizo Mimba mnazozitoa huwa mnalipwa sh ngapi? Mala* wa JF mnavituko sana
wachache watakaofikilia hiloIle feeling unayoipata kwa kumtizama mtoto na vimacho vyake hasa wakati wa breast feeding, moment za mtoto ukimbusu , mtoto akiwa anakuchekea tabasamu lisilo feki, ayayayaya afu after a year, you let her go huku sheria ikikubana for only 25m hapana kwa kweli ingawaje pesa tunazitaka
Nimewaza mume atavyokua anamshawishi mke , nenda zile milion za mwezi tunaeka kwenye biashara😂😂😂😂 hiz 25/tunajenga, afu 20 za chakula utakula kumi kwa siku na mimi nakula kumi, ntaamia karibu na utakapokuepo ili niwe nakuona ona na ntakua kama kaka, na mimba lazima impende kaka yako ( mume) 😂😂😂Na biashara tunafungua
Naona umekuja na ile I'd yako nyingine...hahahaMalaya bwana ni watu wa ajabu wanadnarau mil 25 lakini kila siku Mtu anakufata Pm ili umuwashe kwa 10k !???
Ingekuwa milioni 500 ningejilipua...
Mimi ndio nimeleta uzi dada, ila sijaandika comment uliyo quote.Umalaya tumejifunzia kwa mama yako mzazi. Alitufunza vyema sana hadi tumekuwa ma experts
Wewe umeleta uzi ujadiliwe...pokea both negative and positive comments
ShoooogaNa biashara tunafungua