Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Mtaani wanawake kibao wanabeba ujauzito kwa chips mayai na wanazaa na mtoto wanamtupa jalalani ama chooni
Kwa wasiojielewa, nina hakika ukiwa na akili kdg huwezi.mtupa mtoto ukishamshika mikononi, the happiness s/he brings acha kabisa ahata kama ulipewa mimba na kenge lazima umsahau huyo kenge afu unafocus kwa mtoto
 
Anyway, malipo ni kawaida

Why mwaka mzima, najua ni mimba tu akizaa mkataba umeisha unachukua mtoto wako
Asante sana kwa swali zuri,
Nimeweka mwaka mmoja ili angalau mtoto/watoto waweze kupata maziwa ya mama kiafya, pili mwanamke akinyonyesha kiafya inampunguzia hatari ya kupata kansa ya matiti baada ya kujifungua
 
Haya Encubators mjiandae, hesabu ni kama ifuatavyo.

M25 kubaliano
M1 kila mwezi kwa muda wa mimba -M9
20k times miezi 9= kila mwezi laki 6, kwa miezi 9 inakuwa kama 5.4 M

Kunyonyesha 50k per day, mwaka1 so ni 50k *30*12 = inakuwa kama M18

TOTAL PAYMENT = 57,400,000/=


Hahaha halooo
Chukua ujazie wallet 😅

Kula + kulala
 
Kiukweli kabisa kama unahitaji mtoto ama watoto bongo ni rahisi sana kupata wa kukuzalia.. bila hata kutumia hela zote hizo. Milioni 27 nyingi sana kutumia kusaka mtoto mmoja bongo.

Panga appartment kali, weka furniture kalii,, kama huna gari just kodi garii nzuri hata ikiwa vitz ila iwe mpya mpya iwe kama yako.

Then tongoza kawaida tu kwa gia ya kimahusiano..

Demu akija gheto anapoondoka uwe unampa mpa vihela kama 50k kama nauli na matumizi madogo madogo kama vocha usimnyime.

Ndani ya huo mwaka Lazima upate wa kukubebea mimba
 
Kwa wasiojielewa, nina hakika ukiwa na akili kdg huwezi.mtupa mtoto ukishamshika mikononi, the happiness s/he brings acha kabisa ahata kama ulipewa mimba na kenge lazima umsahau huyo kenge afu unafocus kwa mtoto
Ilitokea pale survey karibu na mlalakua...
Bar maid alimzalia boss wake kwakuwa hakuwa na uwezo wa kuzaa... (alimwambia alale na mwanaume flani Ambebee mimba alipwe halafu mtoto akabidhi akishazaliwa.) baada ya kuzaa akaambiwa asijihusishe na mtoto...akalipwa chake akasepa. Yule mama akalea mtoto ( ambae sasa ni mtu mzima) ila mama mzazi wa yule mtoto alikuwa anajulikana. Kifupi yule mama (ambaye ndo aliadoptiwa) hakuwa na mapenzi na yule bibi hata kidogooo.
Bibi (ambae alitoa dau la kununua mtoto) alipofariki yule bar maid ambaye kwa sasa ni mbibi anaishi kwenye nyumba ya aliyenunua mtoto kwa raha zake anafurahia mali za mwanae.
Waliokulia au kuishi survey wanajua hiyo story ya bi mkoroshoni.
 
Kiukweli kabisa kama unahitaji mtoto ama watoto bongo ni rahisi sana kupata wa kukuzalia.. bila hata kutumia hela zote hizo.

Panga appartment kali, kodi garii nzuri hata ikiwa vitz ila iwe mpya pya..

Then tongoza kawaida tu kwa gia ya kimahusiano..

Lazima upate wa kukubebea mimba
Labda mbegu zake ni dhaifu!
Atumie pweza kwa wingi
 
Back
Top Bottom