Nadhani kwenye familia yako lazima kuna mama, dada, shangazi, mama wakubwa na wadogo ambao sio wehu and they need the money too, so wapelekee tangazo wapate the 25mWaswahili acheni hayo mambo ya sijui bond,duniani kote iyo ni biashara inafanyika watu wanapiga pesa wanaendelea na maisha yao,ndo mana wanataka mwny akili timamu sio nyie wehu mliojitokeza umu kupinga hili swala
Mfano dada ana vigezo vyote hapo na maisha yamempiga akijitokeza akakubali ilo dili dada anapata mtaji wa kujiinua kimaisha na jamaa anapata hitaji lake la mtoto sasa ubaya uko wapi hapo?Inawezekana ila Sio nzuri
That sweet love, pure love toka kwa mwanao..... 25 million ndogo sana🤣Ile feeling unayoipata kwa kumtizama mtoto na vimacho vyake hasa wakati wa breast feeding, moment za mtoto ukimbusu , mtoto akiwa anakuchekea tabasamu lisilo feki, ayayayaya afu after a year, you let her go huku sheria ikikubana for only 25m hapana kwa kweli ingawaje pesa tunazitaka
Why do you ❤️ me?Nadhani kwenye familia yako lazima kuna mama, dada, shangazi, mama wakubwa na wadogo ambao sio wehu and they need the money too, so wapelekee tangazo wapate the 25m
Ubaya upo kwa mtoto kukua bila malezi ya mamaMfano dada ana vigezo vyote hapo na maisha yamempiga akijitokeza akakubali ilo dili dada anapata mtaji wa kujiinua kimaisha na jamaa anapata hitaji lake la mtoto sasa ubaya uko wapi hapo?
Malezi ya mama sio guarantee ya malezi bora kwa mtoto kuna kesi za wakina mama wengi tu kuwafanyia matukio ya kikatili watoto waoUbaya upo kwa mtoto kukua bila malezi ya mama
Kwako huenda sio rahisi, usiwasemee watu ndgu.Unadhani ni rahisi kubeba mimba miezi 9 kisha usijihusishe na mtoto?
Hao wanaongea tu kinafiki mkuu. Mleta uzi namuombea apate hitaji la moyo wake.Malezi ya mama sio guarantee ya malezi bora kwa mtoto kuna kesi za wakina mama wengi tu kuwafanyia matukio ya kikatili watoto wao
Safi kabisa ni makubaliano tu mkuu.Wewe mfano mie ni dume tu nitampatia Ila kama akifika 100 ml .
Na anunue gari Mercedes Benz hata toleo lakati mie nitamfikiria Nakadori unasemaje ??
Ndomaana nikasema sharti lake la mwanamke asiwe na magonjwa ya akili linamkwambishaKwako huenda sio rahisi, usiwasemee watu ndgu.
Kuna dada alijifungua na akamnyonga mtoto wake ili akaendelee kujiuza(au hujaisikia hii habari). Vipi hujaisikia ile mama kaua watoto wake wawili kwa kuwanyonga?? Vipi hao walibeba miezi mingapi mkuu??
Sasa hao wawili watashindwa kuzaa na kupewa M25??
Weee ndo muhusika? Kama ni kweli je ako erect?Hilo halitowezekana ndugu, hata mkataba hauruhusu hilo jambo.
Ndio nduguWeee ndo muhusika? Kama ni kweli je ako erect?
Watoto wa Elon sio wake???Ectolife ndio unahitaji wala usihangaike na mwanamke akuzalie bali subiri kuna artificial womb na wanafyatua watoto 30,000 kwa mwaka kwenye laboratory moja
Wanasema watu hawaongezeki sana na itafika kipindi tutakosa wafanyakazi
Sijui China atatengeneza machine cheap kidogo na mimi ninunue?
Elon Musk mwenyewe ana lea watoto 9 ambao hajawazaa yeye
View attachment 2454774View attachment 2454775
Statistically speaking ni % ngapi?Malezi ya mama sio guarantee ya malezi bora kwa mtoto kuna kesi za wakina mama wengi tu kuwafanyia matukio ya kikatili watoto wao
Mbona Debbie Rowe aliweza?Kwanza huu ni unyanyasaji.
Ujitolee kubeba mimba na usiruhusiwe kuwaona wanao baada ya kuwakabidhi.
Pili uhame kwako uje kukaa na mtu usiyempenda na sio mpenzi wako kivyovyote aqqh