Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Waswahili acheni hayo mambo ya sijui bond,duniani kote iyo ni biashara inafanyika watu wanapiga pesa wanaendelea na maisha yao,ndo mana wanataka mwny akili timamu sio nyie wehu mliojitokeza umu kupinga hili swala
Nadhani kwenye familia yako lazima kuna mama, dada, shangazi, mama wakubwa na wadogo ambao sio wehu and they need the money too, so wapelekee tangazo wapate the 25m
 
Ile feeling unayoipata kwa kumtizama mtoto na vimacho vyake hasa wakati wa breast feeding, moment za mtoto ukimbusu , mtoto akiwa anakuchekea tabasamu lisilo feki, ayayayaya afu after a year, you let her go huku sheria ikikubana for only 25m hapana kwa kweli ingawaje pesa tunazitaka
That sweet love, pure love toka kwa mwanao..... 25 million ndogo sana🤣
 
Unadhani ni rahisi kubeba mimba miezi 9 kisha usijihusishe na mtoto?
Kwako huenda sio rahisi, usiwasemee watu ndgu.

Kuna dada alijifungua na akamnyonga mtoto wake ili akaendelee kujiuza(au hujaisikia hii habari). Vipi hujaisikia ile mama kaua watoto wake wawili kwa kuwanyonga?? Vipi hao walibeba miezi mingapi mkuu??
Sasa hao wawili watashindwa kuzaa na kupewa M25??
 
Kwako huenda sio rahisi, usiwasemee watu ndgu.

Kuna dada alijifungua na akamnyonga mtoto wake ili akaendelee kujiuza(au hujaisikia hii habari). Vipi hujaisikia ile mama kaua watoto wake wawili kwa kuwanyonga?? Vipi hao walibeba miezi mingapi mkuu??
Sasa hao wawili watashindwa kuzaa na kupewa M25??
Ndomaana nikasema sharti lake la mwanamke asiwe na magonjwa ya akili linamkwambisha
You have to some psychopathic tendencies to do this business
 
Am next in line in this thing. 💀💀 I will do mine in few years to come . Mungu Asaidie tu nifike bei .
 
Ectolife ndio unahitaji wala usihangaike na mwanamke akuzalie bali subiri kuna artificial womb na wanafyatua watoto 30,000 kwa mwaka kwenye laboratory moja

Wanasema watu hawaongezeki sana na itafika kipindi tutakosa wafanyakazi

Sijui China atatengeneza machine cheap kidogo na mimi ninunue?

Elon Musk mwenyewe ana lea watoto 9 ambao hajawazaa yeye

View attachment 2454774View attachment 2454775
Watoto wa Elon sio wake???
 
Back
Top Bottom