Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF


Nenda pm bibie maneno mengi ya nini?!
 
Akiitajika mwanaume kwa ajili ya mbegu mniite maana nnazo nyingi ,toto likitoka ni full hendisamu na jiniasz, nimekaa pale naendlea kula korosho na juis ya tikiti
 
Tajiri na mali zake maskini na wanae
Huu msemo umenikumbusha mbali.. Mazaa alipenda kutuambia hivi ni baada ya maneno kua mengi kutoka kwa ndugu zake kua anazaa hovyo kwetu tupo 7 tumebaba kwenye kijumba chetu hadi tumekua.

Aunt aliokua anasema hivi yeye alizaa watoto 2 tu (sasa wote wameshaolew) yupo mkiwa na jumba lake hata housegirls hawadumu... anamsumbua maza kila siku ampe mdogo wangu mmoja wa kike akae nae mimi na bro hatutaki sikia hiyo habari TAJIRI NA MALI ZAKE MASIKINI NA WANAE.
 
Kiki za kijinga

Hiyo pesa kwanini usiwekeze kwenye kilimo cha karanga nachingwea shamba ekari moja kukodi shilingi elfu 60.
 
Asante kwa maoni ndugu
Ila naomba ujue kwamba si kila mtu duniani anaamini dini na utamaduni.
Watu wengine wanaamini katika Technolojia kama suluhisho la matatizo yao
Acha uhuni,wewe mbona hukuzaliwa kwa hiyo Moet?

Nature can't change!, Nyie ndy wale vijana wa hovyo umarekani mwingi kumbe kwenu Nanyumbu kisa tu Umefika chicago

I tell you heshimu utamaduni wako na nature yako acha kujifanya msomi uchwara wakati ww ni pure mdendeule wa mbinga
 
Watoto watatoka mafala mafala kama ma broiler yanatotoleshwa kwa mashine 😂😂
 
Asante kwa maoni ndugu, ila mimi sio muhuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…