Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Kwendraaaa 25mil ni kidogo, mimi bado niko fresh sijazaa huwezi nipanua tumbo kw pesa ndogo hivyo.
Ahaaaaaa ati mtoto akizaliwa ndo mwisho kumuona baada ya mwaka? Hakuna mzazi wa vile.
Ahaaaaaa ati kipindi cha mimba awe anaishi kwa baba watoto? Ahaa watafanya tu labda baba huyo kama hana nguvu za kiume.wendo ndo sababu anataka kupandikiza.

Ni kwakuwa ni chai hakuna mbongo wa kukubali kuchukuliwa mtoto.

All the the best dadazi.

Nenda pm bibie maneno mengi ya nini?!
 
Akiitajika mwanaume kwa ajili ya mbegu mniite maana nnazo nyingi ,toto likitoka ni full hendisamu na jiniasz, nimekaa pale naendlea kula korosho na juis ya tikiti
 
Tajiri na mali zake maskini na wanae
Huu msemo umenikumbusha mbali.. Mazaa alipenda kutuambia hivi ni baada ya maneno kua mengi kutoka kwa ndugu zake kua anazaa hovyo kwetu tupo 7 tumebaba kwenye kijumba chetu hadi tumekua.

Aunt aliokua anasema hivi yeye alizaa watoto 2 tu (sasa wote wameshaolew) yupo mkiwa na jumba lake hata housegirls hawadumu... anamsumbua maza kila siku ampe mdogo wangu mmoja wa kike akae nae mimi na bro hatutaki sikia hiyo habari TAJIRI NA MALI ZAKE MASIKINI NA WANAE.
 
IVF kirefu chake ni In Vitro Fertilization.
IVF ni jambo la kurutubisha kwa kuunganisha mbegu za uzazi za mwanamme na yai la uzazi la mwanamke maabara, baada ya hapo zoezi linalofatia ni kupandikiza ujauzito kwa mwanamke kwa njia ya sindano kisha ujauzito utaendelea kukua kama kawaida kwa mda wa miezi tisa kisha mwanamke atajifungua kawaida.

IVF haihusishi kukutana kimwili kati ya mwanamke na mwanaume bali mwanaume anatoa mbegu kwa kujichua au punyeto na mwanamke anatolewa yai lililopevuka maabara na wataalamu baada ya hapo ndio ujauzito unapandikizwa kwa mwanamke,
Ni njia safi na salama na haihusishi operation kubwa na haina hatari yeyote kwa mwanamke.

Sasa anahitajika mwanamke au msichana katika zoezi hilo,

MALIPO
Moja malipo ni milioni 25 ambayo yatasainiwa kisheria mahakamani na ustawi wa jamii.
Pili kila mwezi atalipwa milioni moja kama malipo ya motisha kwa mda wa miezi tisa ya ujauzito, malipo hayo ni nje ya ile milioni 25.
Tatu kila siku atalipwa elfu ishirini kama gharama ya chakula kulea mimba kwa mda wa miezi tisa ya ujauzito.
Nne atalipwa shilingi elfu hamsini kila siku kama gharama ya chakula baada ya kujifungua kwa mda wa mwaka mmoja kipindi ananyonyesha.
Tano gharama zote za hospital kwa mama kipindi cha ujauzito, mama na mtoto baada ya kujifungua zitagharamiwa na baba wa mtoto/watoto

MASHARTI
Moja ujauzito utalelewa sehemu aliyopo baba wa watoto.
Mbili hauruhusiwi kisheria kutangaza kwa mtu yeyote kama una ujauzito labda wazazi wako tu, na wazazi wakiambiwa nao wataelimisha kuhusu hili sharti.
Tatu baada ya kujifungua, mtoto/watoto wakifikisha mwaka mmoja utawakabidhi kwa baba yao.
Nne baada ya kukabidhi mtoto/watoto hautoruhusiwa kisheria na kibinadam wewe ndugu zako au rafiki zako kuwaona mtoto/watoto kwa namna yeyote kipindi chote cha maisha yenu hapa duniani.
Tano hautoruhusiwa kuwa na mahusiano ya aina yoyote na baba wa watoto kabla na baada ya kujifungua mtoto/watoto.
Sita awe tayari kulea ujauzito akiwa jijini dar es salaam.

SIFA ZA MWANAMKE/MSICHANA ANAEHITAJIKA.
Moja awe na afya nzuri, asiwe na magonjwa ya akili, pili asiwe na magonjwa ya zinaa ikiwemo ukimwi.
Pili awe mtanzania kutoka kabila na dini yeyote.
Tatu awe mrefu, mrefu sana atapewa upendeleo.
Nne awe mwembamba, akiwa mnene isiwe unene mkubwa sana.
Tano awe na umri wa kati ya miaka 25 hadi 35.
Sita awe mweupe au maji ya kunde asiwe mweusi sana.

Asanteni.
Pia kwa mwana Jamii Forum mwenye ndugu, rafiki au jirani mwenye hizo sifa naomba mnisaidie kusambaza hili tangazo.
Asante tena.

Vigezo na masharti kuzingatiwa
Kiki za kijinga

Hiyo pesa kwanini usiwekeze kwenye kilimo cha karanga nachingwea shamba ekari moja kukodi shilingi elfu 60.
 
Asante kwa maoni ndugu
Ila naomba ujue kwamba si kila mtu duniani anaamini dini na utamaduni.
Watu wengine wanaamini katika Technolojia kama suluhisho la matatizo yao
Acha uhuni,wewe mbona hukuzaliwa kwa hiyo Moet?

Nature can't change!, Nyie ndy wale vijana wa hovyo umarekani mwingi kumbe kwenu Nanyumbu kisa tu Umefika chicago

I tell you heshimu utamaduni wako na nature yako acha kujifanya msomi uchwara wakati ww ni pure mdendeule wa mbinga
 
Ectolife ndio unahitaji wala usihangaike na mwanamke akuzalie bali subiri kuna artificial womb na wanafyatua watoto 30,000 kwa mwaka kwenye laboratory moja

Wanasema watu hawaongezeki sana na itafika kipindi tutakosa wafanyakazi

Sijui China atatengeneza machine cheap kidogo na mimi ninunue?

Elon Musk mwenyewe ana lea watoto 9 ambao hajawazaa yeye

View attachment 2454774View attachment 2454775
Watoto watatoka mafala mafala kama ma broiler yanatotoleshwa kwa mashine 😂😂
 
Acha uhuni,wewe mbona hukuzaliwa kwa hiyo Moet?

Nature can't change!, Nyie ndy wale vijana wa hovyo umarekani mwingi kumbe kwenu Nanyumbu kisa tu Umefika chicago

I tell you heshimu utamaduni wako na nature yako acha kujifanya msomi uchwara wakati ww ni pure mdendeule wa mbinga
Asante kwa maoni ndugu, ila mimi sio muhuni
 
Back
Top Bottom