Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

unaonaje ukimlipa mtu mwingine kwa ajili ya kutoa yai na mbebaji mimba awe mtu mwingine akijifingua tuu chukua watoto walelewe na mtu mwingine special tena awe mtu mzima anaejielewa, maziwa ya watoto jaribu kutafuta kwenye bank za maziwa ya watoto yaliyokamuliwa kutoka kwa wamama wanaonyonyesha watoto wapatiwe hayo maziwa kwa miezi 6 , tena maziwa wapewe kwa kikombe sio chupa .
 
unaonaje ukimlipa mtu mwingine kwa ajili ya kutoa yai na mbebaji mimba awe mtu mwingine akijifingua tuu chukua watoto walelewe na mtu mwingine special tena awe mtu mzima anaejielewa, maziwa ya watoto jaribu kutafuta kwenye bank za maziwa ya watoto yaliyokamuliwa kutoka kwa wamama wanaonyonyesha watoto wapatiwe hayo maziwa kwa miezi 6 , tena maziwa wapewe kwa kikombe sio chupa .
Wazo zuri sana ndugu, bado sijafanya hitimisho la utekelezaji hivyo wazo lolote bora linaweza kutekelezeka.
 
Hili wazo jipya ndugu, nimetafakari sana na kufurahi kwa ujasiri wako.
Ila kwa kifupi haitowezekana kwa sababu tayari mtoto atakua damu yangu hivyo inaweza kuleta sintofahamu baada ya miaka.
Ninaweza kukupa wazo kwamba kama una sifa nilizotaja, fanya kwanza mpango wangu halafu badae mimi nitakusaidia kulipia gharama kufanya IVF kupata watoto wewe na mbegu za mtu mwigine.
Yaani wewe uchukue damu yake ( yai lake) ila wewe kumwachia damu yako hutaki huoni kama ur selfish mkuu?? Au unafikiri mama atakuwa hana damu yake wala connection na huyo mtoto??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili wazo jipya ndugu, nimetafakari sana na kufurahi kwa ujasiri wako.
Ila kwa kifupi haitowezekana kwa sababu tayari mtoto atakua damu yangu hivyo inaweza kuleta sintofahamu baada ya miaka.
Ninaweza kukupa wazo kwamba kama una sifa nilizotaja, fanya kwanza mpango wangu halafu badae mimi nitakusaidia kulipia gharama kufanya IVF kupata watoto wewe na mbegu za mtu mwigine.
Umenichekesha sana, kwako itakua ngumu sababu ni damu yako lakini yai langu litakua rahisi kukuachia sababu...sio damu yangu au?

Haya siku ukiwa tayari utanicheki msimamo wangu utaendelea kua huo.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu njaa ...mkuu njaa zinatoa watu fahamu
Na ni kweli nakubali siyo yeye,hayo ni maamuzi ya njaa! Waswahili wanasema,adui yako muwombee njaa,sijui walikua na maana gani vile!!?[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Umenichekesha sana, kwako itakua ngumu sababu ni damu yako lakini yai langu litakua rahisi kukuachia sababu...sio damu yangu au?

Haya siku ukiwa tayari utanicheki msimamo wangu utaendelea kua huo.
Siwezi kukucheki ndugu sababu wazo lako haliwezi kutekelezeka kwangu,
Pia kumbuka hiyo ni hiari, hivyo hakuna kitu cha ajabu au kushangaza ninapotoa mtazamo wangu.
 
We mwanamke unikome,njaa anayo mamaako , km kizaz chako ulikaangia chips utajiju, naona unashoboka sana na huu uzi, kudandia dandia comments ambazo ni negative,it seems deep inside hii kaz unaitaka ila ndio hivyo vigezo huna.depe tupu acha zako kelele,. pole ,maamuzi ya watu yanakutoa povu ,fata maisha yako . Bila shaka utakuwa zile mbegu fupi,ndo huwa zina shobo sana na maisha ya watu,hasa za jinsia ke.
6413731_img20170919214156_jpeg91129c4607bb0e69a9ed100b200f98d2.jpeg

Wajameni sasa sisi short chassis tumeingiaje hapa,
hapo ni deal la kutupa mtoto tu ukipata u world's embassador si tutakufaz
We achana na hizi mbilikimo kwa comments
Tantalila zetu ndo zimesaidia nyie twiga wa Tanzania muuone uzi

Fanya kuwahi PM utume picha unaona dirisha la usahili limeongezwa maana maombi ni mengi
 
unaonaje ukimlipa mtu mwingine kwa ajili ya kutoa yai na mbebaji mimba awe mtu mwingine akijifingua tuu chukua watoto walelewe na mtu mwingine special tena awe mtu mzima anaejielewa, maziwa ya watoto jaribu kutafuta kwenye bank za maziwa ya watoto yaliyokamuliwa kutoka kwa wamama wanaonyonyesha watoto wapatiwe hayo maziwa kwa miezi 6 , tena maziwa wapewe kwa kikombe sio chupa .
Me nilijua ma single maza tuna kazi lakini masingle faza mna kazi zaidi
Mungu awasaide
Uende huku uombe yai
Urudi huku uombe uterus
Uende kule uombe nyonyo
Urudi tena uombe wa kuvalisha diapers

Bado hujaenda kazini
0EjOZR.gif
 
Me nilijua ma single maza tuna kazi lakini masingle faza mna kazi zaidi
Mungu awasaide
Uende huku uombe yai
Urudi huku uombe uterus
Uende kule uombe nyonyo
Urudi tena uombe wa kuvalisha diapers

Bado hujaenda kazini
View attachment 2456839
Mimi ni mwanamke 🙏, nimetoa tuu ushauri kwa mtazamo wangu na pia hilo swala kwa nchi zilizoendelea ni rahisi zaidi kwasababu hao surrogate mother wapo na wanauelewa wa kutosha na hayo maziwa halisi ya mama yanapatikana kwa urahisi zaidi. Hata tanzania pia yapo ndo huwa wanapewa watoto njiti.
 
Mkuu pitia hizi tovuti wapo watanzania tayari kwa ajili ya hiyo shughuli, peruzi atakaekuvutia wasiliana nae unaweza pia kuextend ukafilter na kenya Pia cha msingi makubaliano.


Na hii

Asante sana ndugu kwa hizo link, ingawa tayari kuna watu kadhaa wameshajitokeza.
 
Back
Top Bottom