MrsPablo1
JF-Expert Member
- Jun 9, 2013
- 1,073
- 1,941
unaonaje ukimlipa mtu mwingine kwa ajili ya kutoa yai na mbebaji mimba awe mtu mwingine akijifingua tuu chukua watoto walelewe na mtu mwingine special tena awe mtu mzima anaejielewa, maziwa ya watoto jaribu kutafuta kwenye bank za maziwa ya watoto yaliyokamuliwa kutoka kwa wamama wanaonyonyesha watoto wapatiwe hayo maziwa kwa miezi 6 , tena maziwa wapewe kwa kikombe sio chupa .