moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,151
- 2,979
Wanatengenezwa watu wakatili Sana hapo baadaeKwani vya kienyeji vinamjua Baba Yao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatengenezwa watu wakatili Sana hapo baadaeKwani vya kienyeji vinamjua Baba Yao?
Kwahiyo kinachofanyika na wazungu kila kitu ni sawa.?Hiyo ni sayansi, Ulaya na America ni very common hiyo..
Umesoma comment zote nilizoandika?Mkuu wewe si ulisema jana usiku ungefunga dirisha na kujibu watu ?
Be a man of your own words...
Pitia comment zote, hilo swali nilishatoa ufafanuzimbegu atatowa huyo mwanaume kwa kujichuwa?Kama ndiyo kwanini hadi kupandikiza kwanini wasifanye mapenzi?
Sawa Genius,bt mind u ,usione ukadhaniKwa kukubali tu hii offer inaonyesha huna akili tayari, kwa hiyo swala la akili litowe!!
Umesusa 😒😒😒Sitaki, sherehe hata hunialiki!!!
Unataka nikupeleke wapi hiyo out 😒😒Sitaki, sherehe hata hunialiki!!!
Asante kwa maono hayo, ila kwenye tangazo nimeandika kwamba makubaliano yatasainiwa mahakamani na ustawi wa jamii ili kuepusha mtazamo wa aina hiyo
Njoo PM ndugu,Ongeza dau sifa zote ninazo hapo
👍👍Umalaya tumejifunzia kwa mama yako mzazi. Alitufunza vyema sana hadi tumekuwa ma experts
Wewe umeleta uzi ujadiliwe...pokea both negative and positive comments
Sio out, nyumbani kula pilau.Unataka nikupeleke wapi hiyo out 😒😒
We mwanamke unikome,njaa anayo mamaako , km kizaz chako ulikaangia chips utajiju, naona unashoboka sana na huu uzi, kudandia dandia comments ambazo ni negative,it seems deep inside hii kaz unaitaka ila ndio hivyo vigezo huna.depe tupu acha zako kelele,. pole ,maamuzi ya watu yanakutoa povu ,fata maisha yako . Bila shaka utakuwa zile mbegu fupi,ndo huwa zina shobo sana na maisha ya watu,hasa za jinsia ke.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu njaa ...mkuu njaa zinatoa watu fahamu
HahahaWe mwanamke unikome,njaa anayo mamaako , km kizaz chako ulikaangia chips utajiju, naona unashoboka sana na huu uzi, kudandia dandia comments ambazo ni negative,it seems deep inside hii kaz unaitaka ila ndio hivyo vigezo huna.depe tupu acha zako kelele,. pole ,maamuzi ya watu yanakutoa povu ,fata maisha yako . Bila shaka utakuwa zile mbegu fupi,ndo huwa zina shobo sana na maisha ya watu,hasa za jinsia ke.
Kumbe bado hujapata tu,Atakaetoa yai ni mwanamke atakaebeba ujauzito, ila pia inawezekana yai akatoa mwanamke mwingine.
Kuhusu ujauzito naturally n.k natambua na naheshimu hiyo njia, ila kutokana na sababu ambazo siwezi kuzieleza sitotumia njia naturally.
Hivyo naomba tuelekeze mawazo kama tangazo linavyosema.
Hili wazo jipya ndugu, nimetafakari sana na kufurahi kwa ujasiri wako.Kumbe bado hujapata tu,
Mimi nahitaji Mtoto pia sasa tufanye hivi tupandikize Mapacha mmoja uchukue wewe mwengine nichukue mimi hizo pesa sina shida nazo,
Deal.....?
Kifupi sipend shobo,Hahaha
Umetukana umepata amani. Haya sasa
Changamkia fursa mkuu...
Ushobokewe na nani wewe...Kifupi sipend shobo,
Aftatu kama aftatu 🤣Hela za maandishi ni kubwa
Ishike uone venye utabakiwa na aftatu pasipo kuelewa