Wazo zuri sana ndugu, bado sijafanya hitimisho la utekelezaji hivyo wazo lolote bora linaweza kutekelezeka.unaonaje ukimlipa mtu mwingine kwa ajili ya kutoa yai na mbebaji mimba awe mtu mwingine akijifingua tuu chukua watoto walelewe na mtu mwingine special tena awe mtu mzima anaejielewa, maziwa ya watoto jaribu kutafuta kwenye bank za maziwa ya watoto yaliyokamuliwa kutoka kwa wamama wanaonyonyesha watoto wapatiwe hayo maziwa kwa miezi 6 , tena maziwa wapewe kwa kikombe sio chupa .
Yaani wewe uchukue damu yake ( yai lake) ila wewe kumwachia damu yako hutaki huoni kama ur selfish mkuu?? Au unafikiri mama atakuwa hana damu yake wala connection na huyo mtoto??Hili wazo jipya ndugu, nimetafakari sana na kufurahi kwa ujasiri wako.
Ila kwa kifupi haitowezekana kwa sababu tayari mtoto atakua damu yangu hivyo inaweza kuleta sintofahamu baada ya miaka.
Ninaweza kukupa wazo kwamba kama una sifa nilizotaja, fanya kwanza mpango wangu halafu badae mimi nitakusaidia kulipia gharama kufanya IVF kupata watoto wewe na mbegu za mtu mwigine.
Upo sahihi ndugu, ila ndio maana kuna makubaliano na hilo ni jambo la hiari.Yaani wewe uchukue damu yake ( yai lake) ila wewe kumwachia damu yako hutaki huoni kama ur selfish mkuu?? Au unafikiri mama atakuwa hana damu yake wala connection na huyo mtoto??
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini usiseme kwamba itakuwa ngumu koz mtoto atakuwa damu yako wakati pia mama ambae atabeba mimba ataacha damu yake kwako.Upo sahihi ndugu, ila ndio maana kuna makubaliano na hilo ni jambo la hiari.
Wewe unafikiri nini kifanyike katika jambo kama hilo?Lakini usiseme kwamba itakuwa ngumu koz mtoto atakuwa damu yako wakati pia mama ambae atabeba mimba ataacha damu yake kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenichekesha sana, kwako itakua ngumu sababu ni damu yako lakini yai langu litakua rahisi kukuachia sababu...sio damu yangu au?Hili wazo jipya ndugu, nimetafakari sana na kufurahi kwa ujasiri wako.
Ila kwa kifupi haitowezekana kwa sababu tayari mtoto atakua damu yangu hivyo inaweza kuleta sintofahamu baada ya miaka.
Ninaweza kukupa wazo kwamba kama una sifa nilizotaja, fanya kwanza mpango wangu halafu badae mimi nitakusaidia kulipia gharama kufanya IVF kupata watoto wewe na mbegu za mtu mwigine.
Na ni kweli nakubali siyo yeye,hayo ni maamuzi ya njaa! Waswahili wanasema,adui yako muwombee njaa,sijui walikua na maana gani vile!!?[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu njaa ...mkuu njaa zinatoa watu fahamu
Siwezi kukucheki ndugu sababu wazo lako haliwezi kutekelezeka kwangu,Umenichekesha sana, kwako itakua ngumu sababu ni damu yako lakini yai langu litakua rahisi kukuachia sababu...sio damu yangu au?
Haya siku ukiwa tayari utanicheki msimamo wangu utaendelea kua huo.
Naona tumesoma wote AfghanistanDuuuh[emoji848]
Hivi we jamaa uko sawa kweli
Kuna kitu nadoubt[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
We mwanamke unikome,njaa anayo mamaako , km kizaz chako ulikaangia chips utajiju, naona unashoboka sana na huu uzi, kudandia dandia comments ambazo ni negative,it seems deep inside hii kaz unaitaka ila ndio hivyo vigezo huna.depe tupu acha zako kelele,. pole ,maamuzi ya watu yanakutoa povu ,fata maisha yako . Bila shaka utakuwa zile mbegu fupi,ndo huwa zina shobo sana na maisha ya watu,hasa za jinsia ke.
Karibu nduguNipo tayari,.
Ila nimeajiriwa sasa huo ulinzi nitakuwa nao hadi kazini?
Me nilijua ma single maza tuna kazi lakini masingle faza mna kazi zaidiunaonaje ukimlipa mtu mwingine kwa ajili ya kutoa yai na mbebaji mimba awe mtu mwingine akijifingua tuu chukua watoto walelewe na mtu mwingine special tena awe mtu mzima anaejielewa, maziwa ya watoto jaribu kutafuta kwenye bank za maziwa ya watoto yaliyokamuliwa kutoka kwa wamama wanaonyonyesha watoto wapatiwe hayo maziwa kwa miezi 6 , tena maziwa wapewe kwa kikombe sio chupa .
Mimi ni mwanamke 🙏, nimetoa tuu ushauri kwa mtazamo wangu na pia hilo swala kwa nchi zilizoendelea ni rahisi zaidi kwasababu hao surrogate mother wapo na wanauelewa wa kutosha na hayo maziwa halisi ya mama yanapatikana kwa urahisi zaidi. Hata tanzania pia yapo ndo huwa wanapewa watoto njiti.Me nilijua ma single maza tuna kazi lakini masingle faza mna kazi zaidi
Mungu awasaide
Uende huku uombe yai
Urudi huku uombe uterus
Uende kule uombe nyonyo
Urudi tena uombe wa kuvalisha diapers
Bado hujaenda kazini
View attachment 2456839
Asante sana ndugu kwa hizo link, ingawa tayari kuna watu kadhaa wameshajitokeza.Mkuu pitia hizi tovuti wapo watanzania tayari kwa ajili ya hiyo shughuli, peruzi atakaekuvutia wasiliana nae unaweza pia kuextend ukafilter na kenya Pia cha msingi makubaliano.
Surrogate Mothers in Tanzania
Building modern families through surrogacy. Connect with Surrogate Mothers in Tanzania for third party reproduction. Find and contact surrogate moms from around the globe.www.findsurrogatemother.com
Na hii
Surrogate Mother, Egg Donors and Sperm Donors In Tanzania
Find here Surrogate Mother, Egg Donors and Sperm Donors By Location. We are one of the best online Surrogate Mother by location. Select any location and find Surrogate Mother.m.surrogatefinder.com