Ntiluseswa
JF-Expert Member
- Oct 22, 2021
- 659
- 2,250
okHabari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
Amina mpendwa wangu! Hakika yataka macho ya rohoni kutoka kwa Mungu.
Huu utafiti wa behavioural traits in the contemporary dimensions ni burudani sanaHabari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
Inawezekana kuna namna nyingi za kupata mume au mke kwa hio natafakari baadhi ya hizo namna mfano kibinadamu zaidi, Kimungu zaidi, kimtazamo binafsi zaidi, kimtizama wa Mungu zaidi, na mengineyo kwa hio huwa naendelea kufanya utafiti hasa those wishes za vigezo on perspectivesUnamaanisha nini?
Yote kati yote mwenza mwema atoka kwa Bwana(Mungu), haijalishi utakutana naye vipi au wapi bila msaada wa Mungu huwezi kumpata mwenza mwema. Vinginevyo utajilisha upepo tu na baada ya muda mfupi utajilaumu kwa maamuzi ya kuoa au kuolewa.Inawezekana kuna namna nyingi za kupata mume au mke kwa hio natafakari baadhi ya hizo namna mfano kibinadamu zaidi, Kimungu zaidi, kimtazamo binafsi zaidi, kimtizama wa Mungu zaidi, na mengineyo kwa hio huwa naendelea kufanya utafiti hasa those wishes za vigezo on perspectives
Sawia kbsa best wishes, vipi hujapunguza idadi ya watoto?Yote kati yote mwenza mwema atoka kwa Bwana(Mungu), haijalishi utakutana naye vipi au wapi bila msaada wa Mungu huwezi kumpata mwenza mwema. Vinginevyo utajilisha upepo tu na baada ya muda mfupi utajilaumu kwa maamuzi ya kuoa au kuolewa.
umesema una mtoto mmoja si unajua wadada sometimes wanafake idadi ya watotoAsante!
Unamaanisha nini kusema sijapunguza idadi ya watoto?
Washauliza mbonaKuna wahuni watauliza
" Uyo baba wa mtoto wako Yuko hai?
"Kama amekufa kaburi lilijengewa tunaweza kwenda kuliona au lilisombwa na mvua ya mafuriko? " [emoji3]
Kuna bigexo mnawela sijui hamjui au m ajua...mfano...kazi au asiwe na ndoa au shughuli ya kumuingizia kipato? Huyo Mwanaume do you think he is there waiting to provide tu....what are going to offer him in return? Mnakosea mno. Nowdays Men hatuhitaji stubborn woman Hasa kwenye demandingHabari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.