Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana!Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
Uko grateful na ulichonacho. That's greatIpo ya kunitosha kukalia!
Ila mim nna mashne ndefu,nzito na Nene,je utanvumilia???,Nshawah kutoa doz kwa mwanamke mmoja hiv mpaka alinkimbiIpo ya kunitosha kukalia!
Miaka 40-50 halafu asiwe na mume.......hahahahaha...unatania aisee. Au unatafuta mgane? Alikuwa singo tu anakusubiri wewe eti??!!Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
Kwahiyo ww chakula cha ndoa kwako si muhimu kwa maana hio?Pole sana kwa changamoto unayoipitia. Kwangu mimi, "Mume ni mwanaume mwenyeuwezo wa kumpenda mkewe na kuongoza familia yake".
Anatafuta mume, sio mbwa dume, hahaaaPoa ngoja niwahi huko Pm na Cv zangu nijaribu bahati yangu
Sio kweli, kuna watu wapo serious sana na wanachokiandika, yes kuna baadhi they are looking 4 financial support lakini kuna wanawake wengine wana uwezo na hawana tamaa za pesa zenu, only thing wanachohitaji ni true love.Changamoto Sana wanachoandika sicho wanachohitaji Wala kumanisha. In short they are looking for financial support nothing else
Una mishe gani hapo mjini?Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
Bikra ipi hapo ?Nataka mke, mm nina umri wa miaka 40 na mkristo
Sifa za mke.
Awe na umriwa miaka 30 awe bikra
By Mamlaka
Bikra ipi hapo ?
Maana kwa umri wa miaka 30 mwanamke umkute na bikra hata moja ni kitu hakiwezekani