Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

Namkubali Fid ila kwa Roma aiseeee jamaa anajua sana
Hata mimi sisemi roma mbovu, ni kati ya wanahip hop wakali hapa tz ninaowakubali mimi.

Tusimuangalie huyu fid wa ole ole, tuanze na yule fid wa huyu na yule, fid.com. mwanza mwanza, albamu ya vina mwanzo kati na mwisho, i am professional, ielewe mitaa, neno na kuendelea.
 
Kwani hajawahi kuimba nyimbo za Aina hiyo ?
 
"Hawaamini kuwa na kiba au diamond WAWILI, wanachotaka nikumshusha mmoja na mwingine awe DILI"


Mkuu wabongo ndivyo walivyo, ni roho mbaya zimewajaa. Kwani hatuwezi kutambua ubora wa watu bila kutaka mmoja awe chini ya mwingine.

Kuna watu sijui wakoje.
 
"Albino wa Moroco" anamaanisha nini......ni nani huyo?
 
We kamatiaaa chini,
Mi nakamatiaaa ndinga,
Na ukikamatiaa mpini,
Si utakamatiaaa mimba.
mtasahau tu kuhusu sekeseke la "nanhii" za mtaa la juz'kati......hata kwa lazima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1544]
 
Kwa wenzetu huko majuu fid q wangemuweka katika level ya pekee yake, historia yake katika muziki, kudumu kwake katika gemu.. Na tukubali tu fid na roma wana mistari mikali ila fid yuko hatua kadhaa mbele ya roma.
Fid q.com
August 13
Usinikubali haraka
Propaganda
Ielewe mitaa

Kwangu mimi Roma hana ngoma inayozizidi hizo ngoma apo
 
Leta mgambo,leta wajedaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…