Maji marefu hakuwa lolote zaidi ya utapeli uliopindukia..alipeleka gari yake anayoipenda kwa fundi fulani maeneo fulani..
Yule fundi alimbadlishia spea zote nzima akamuekea feki na gari haikutembea na maji marefu alikuja na kuanza kupigana ngumi na yule jamaa!!akapigwa akaona aibu akaondoka hata polisi hakwenda.na yule jamaa yupo hadi sasa hivi na gerej yake amezeeka tuu.
Nina mengi yakufahamu hapa nitapita baadae kusoma vizuri!
Walikuja lambalamba kijijini kwetu 2001,piga manyanga mpaka msikitini wakatoa mapembe 2,walivyo wahuni walikuwa wanasali humo humo kabla hawajatoa[emoji23][emoji23][emoji23],hapa nikaanza kuhusu kekundu.
Ada yao ilikuwa wakifika kwako unawapa 1100,kisha unasubiri kudhaliliswa[emoji28],nilikuwa kijana mdogo kiasi kushtuka utapeli ule lakini walezi wangu walikataa kulipa 1100 wakisema kama vipi waingie humo ndani kama nia yao ni kutoa uchawi,wakakataa mpaka wapewe 1100[emoji23][emoji23]
Siku hizi mambo yakikunyookea unaitwa Freemasons.
Tz bila utii wa sheria si ya zama hizi tu, ni tangu kitambo kumbe. WaTz roho mbaya sana!Ujinga kama huu serikali ilikuwa inauruhusu tu.
Waganga wanapita nyumba kwa nyumba watu nyomi wanawafata nyuma eti unakuja kutolewa vitu.
Ukiwa hauna pesa za kuwapa waganga watu wanakuchangia(ili uaibike)
Binafsi nilikuwa nashangaa sana kivipi serikali inaruhusu watu kudhalilishana na kushushiana utu.
Dah umenikumbusha enzi hizo!Ujinga kama huu serikali ilikuwa inauruhusu tu.
Waganga wanapita nyumba kwa nyumba watu nyomi wanawafata nyuma eti unakuja kutolewa vitu.
Ukiwa hauna pesa za kuwapa waganga watu wanakuchangia(ili uaibike)
Binafsi nilikuwa nashangaa sana kivipi serikali inaruhusu watu kudhalilishana na kushushiana utu.
Huku Pwani hiyo pesa ungechangiwa na watu ili mtolewe vitu muaibike.Walikuja lambalamba kijijini kwetu 2001,piga manyanga mpaka msikitini wakatoa mapembe 2,walivyo wahuni walikuwa wanasali humo humo kabla hawajatoa[emoji23][emoji23][emoji23],hapa nikaanza kuhusu kekundu.
Ada yao ilikuwa wakifika kwako unawapa 1100,kisha unasubiri kudhaliliswa[emoji28],nilikuwa kijana mdogo kiasi kushtuka utapeli ule lakini walezi wangu walikataa kulipa 1100 wakisema kama vipi waingie humo ndani kama nia yao ni kutoa uchawi,wakakataa mpaka wapewe 1100[emoji23][emoji23]
Dah umenikumbusha enzi hizo!
Jamaa alikuwa ni mtu wa mikwara hatari.Maji marefu hakuwa lolote zaidi ya utapeli uliopindukia..alipeleka gari yake anayoipenda kwa fundi fulani maeneo fulani..
Yule fundi alimbadlishia spea zote nzima akamuekea feki na gari haikutembea na maji marefu alikuja na kuanza kupigana ngumi na yule jamaa!!akapigwa akaona aibu akaondoka hata polisi hakwenda.na yule jamaa yupo hadi sasa hivi na gerej yake amezeeka tuu.
Walikuwa wanapita mpaka kwenye nyumba za wachungaji kilinishangaza sana.Enzi za ujinga
Ilishatokea lilipokuwa duka letu mjini hpa picha linaanza raia wanatutuhumu ushirikina, siwakachangishna wakamleta manyaunyau, raia ka ote.Unauza Karanga alafu kuna mjinga mmoja kijiweni anasema unauza mavi ya mbuzi alafu wakibisha anatafutwa mganga, wengi WA waganga ni wahuni, matapeli na wakupangwa, anakuja anathibitisha kweli zile Karanga ni mavi ya mbuzi. Kwa kufanya Michezo Yao ya kiini macho
Mengine ni uongo na mengine ni ukweli, waswahili wanasema lisemwalo lipo, nimefanya uchunguzi binafsi nimegundua kweli wapo ambao wanafanya biashara za vyakula, wanatumia uchawi wa kuweka vitu vichafu kwenye chakula, ili kuvuta wateja, hata sokoni nyama za buchani nyingi si halisi Robert Heriel Mtibeli GrahamsKama ukila hivyo vyakula na hupati madhara basi ni salama.
Wakati naishi Mabibo hostel kuna mgahawa nilikuwa naenda kupata chakula, baadaye nikaja kusikia eti wanatumia maji ya hedhi kupikia chakula Chao kitamu.
Lakini sikujali wala nini, maana sikuwahi kupata shida yeyote ya tumbo wala nini? π
Mara nyingi huwa ni Fitina za washidani wa Kibiashara
Kumbe tunakula vingi vichafu ππMengine ni uongo na mengine ni ukweli, waswahili wanasema lisemwalo lipo, nimefanya uchunguzi binafsi nimegundua kweli wapo ambao wanafanya biashara za vyakula, wanatumia uchawi wa kuweka vitu vichafu kwenye chakula, ili kuvuta wateja, hata sokoni nyama za buchani nyingi si halisi Robert Heriel Mtibeli Grahams
Kizazi kijacho kitatushangaa sana kwa jinsi watu wanavyopigwa na hawa mitume na manabii.Ni kama hawa manyaunyau wachungaji wa upako
Cocacola yenyewe asili yake ni kuzimu, nia ya shetani ni kwamba akilisha wanadamu ivo vitu vichafu,watu watakua wagumu kumpokea Yesu, na wakristo wa kweli wrudi dhambini wasimtumikie Mungu ipasavyo, kuharibu mwili kidogo kidogo na kuleta magonjwa k v kisukari, kensa, kuwalisha watu damu za watu bila kujua ivo kuwatendesha dhambi watu bila watu wenyewe kujua GrahamsKumbe tunakula vingi vichafu ππ
Kwahiyo kinywaji gani kinafaa kumpatia Mchungaji akija kunitembelea.Cocacola yenyewe asili yake ni kuzimu, nia ya shetani ni kwamba akilisha wanadamu ivo vitu vichafu,watu watakua wagumu kumpokea Yesu, na wakristo wa kweli wrudi dhambini wasimtumikie Mungu ipasavyo, kuharibu mwili kidogo kidogo na kuleta magonjwa k v kisukari, kensa, kuwalisha watu damu za watu bila kujua ivo kuwatendesha dhambi watu bila watu wenyewe kujua Grahams
Kizazi kijacho kitatushangaa sana kwa jinsi watu wanavyopigwa na hawa mitume na manabii.