Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Katika jamii zetu, wanawake wengi wnapenda kujiuza, na baba/kaka/wajomba zao wanapenda kuwauza.

That is the long and short of it.
Mi nadhani ule undugu unamaana zaidi ya mahari.
Nina mama mdogo wangu kaolewa mwaka wa 3 huu njemba haijtoa mahari, lakini yule mtu anavyojitoa kwenye familia utadhani sisi ni familia moja na yeye.

Kuna mwingine alishinikizwa sana atoe mahali, alipotoa akatokomea huko hata simu hapigi ni kama tulimuuza ndgu yetu.
 
Hizi jamii zilizoweka mahari zenyewe zinaelewa kwamba mahari ni ujinga.

Ndiyo maana watu kibao huwa hawamalizi kulipa mahari. Wanaweka ahadi tu.
 
Hii ina logic kubwa sana. Si mliniuzia tukamalizana. Ni kama ukienda kununua TV baada ya hapo unaendelea kuhangaika na mwenye duka wa nini? Mlishamalizana. Hii comment yako iwekewe lamination.
 
Uwezo upo. Ila sitolipa hiyo mahari. Nanunua nini?
 
Sawa utatuonesha mume wako tumfahamu. Na tumuulize kama alikukuta Bikra
wewe hangaika na machangu tu. unatafuta bikra kwa machangudoa? una akili ya hovyo sana wewe. You are a discgrace to your own parents
 
wewe hangaika na machangu tu. unatafuta bikra kwa machangudoa? una akili ya hovyo sana wewe. You are a discgrace to your own parents
Kwa hiyo wewe huna bikra ni changudoa? Sasa kwa nini unataka uoelewe kwa mahari. Kuendekeza uchangudoa wako hadi kwenye kuolewa? Asiye changudoa hahitaji kulipwa pesa kuwa na uhusiano.
 
wewe hangaika na machangu tu. unatafuta bikra kwa machangudoa? una akili ya hovyo sana wewe. You are a discgrace to your own parents
Discgrace ndo neno gani dada? Msiwe na hasira. Jamaa kaongea. Fact namuunga mkono. Wewe kaolewe na atakayekutolea mahari. Akununue. Na usitake mtaji kupitia K
 
yote kwa yote mahari ya mil 6 ndefu hela haiokotwi aisee
 
Kwanini ndoa halali iwe gharama?. Hii inachochea vijana waendelee kuingia dhambini
 
Na uyu pia anajiita Mwanaume🫤🫤🫤 mahari tu inakushinda kutunza mke na family utaweza?
 
Sihitaji watu waje kunipangia utaratibu wangu. Namchambua ndiyo sababu sioni sababu ya kutoa hiyo mahari. Mfano wewe mwanaume mwenye akili aje akutolee mahari iweje? NAKATAA KUTOA MAHARI, NAKATAA KUHONGA.
haha hiki sio cha arusha labda cha Malawi hiki kichungi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…