Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Ni uhuni tuu na Mila za kishenzi.
Kumuuza Binti yako sio uungwana.
Unataka Mahari Kwa vigezo vipi?
Kama ulimlea Binti yako hata huyo kijana alilelewa na Wazazi wake,
Binti ndio ataje Mahari, Kwa sababu yeye ndiye muolewaji, yeye ndiye MKE mtarajiwa na ndiye mwenye uhitaji wa kuolewa.
Mzazi anataka Mahari Kwa misingi ipi?
Humu ndani kumejaa vijana waliofundishwa na mitandao ya kijamii! Hujui maana ya mahari nyamaza! Hiyo hela unayotoa kwa familia ya binti unayetaka kumuoa ina jina maalumu inaitwa "mahari". Ukilipa mahali unafungulia lidhaa ya wazazi wa binti kumuachilia binti yao kwa baraka zote na muwe na uhakika mtabarikiwa katika ndoa yenu na uzao wenu. Naweza kulinganabisha "mahari" na "sadaka" unayotoa kwa Mungu wako! Kama hujui maana ya sadaka (japo nayo ni hela) huwezi kujua maana ya "mahari". Tafuta kuwa na amani na familia ya binti wakukabidhi binti yao kiroho safi! Tumia busara hata kwa kulipa kidogo kidogo kuliko kushupaa! Ndo nyingi mnazoingia vijana mnaanza kwa laana ndo maana mnashindwa kuishi na wenza wenu! Povu ruksa!
 
Huyu binti inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana, basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi, Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndio ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa Tsh. Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania, mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nilisisitiza kuwa, baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndio huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndio ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil. 6, hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je, nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je, mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau, sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamuona dhahabu.

Basi nikamwambia it's ok, akaolewe na hao wanaomuona dhahabu. Akanichunia siku 3, nikapanga nguo zake akija azichukue, aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

Sitoi mahari, hilo nimekataa. Mtu nimemkuta ameshachakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo, yaani why nikalipe pesa kwao? Wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli, ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye tu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Wewe huna hela wewe!
 
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imek

Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
Huo ujinga hatufanyi, na hatuko tayari kuendekeza tamaduni zilizopitwa na wakati. Kujielewa kwa mwanaume hakupimwi hivyo nyakati hizi.

Utampata Mwanaume mwenye pesa atakubari na kutoa mahari na bado asiwe anayejielewa na mwenye tabia mbovu.

Mahari haina msaada wowote kwa wanandoa, Yani namaanisha haiwasaidii chochote.

Haileti furaha
Haileti upendo
Haileti Amani
Haileti pesa
Haileti Afya
Haileti Elimu n.k

Kwa sasa tunadeal na vitu vyenye faida zinazoonekana na sio simulizi
 
Humu ndani kumejaa vijana waliofundishwa na mitandao ya kijamii! Hujui maana ya mahari nyamaza! Hiyo hela unayotoa kwa familia ya binti unayetaka kumuoa ina jina maalumu inaitwa "mahari". Ukilipa mahali unafungulia lidhaa ya wazazi wa binti kumuachilia binti yao kwa baraka zote na muwe na uhakika mtabarikiwa katika ndoa yenu na uzao wenu. Naweza kulinganabisha "mahari" na "sadaka" unayotoa kwa Mungu wako! Kama hujui maana ya sadaka (japo nayo ni hela) huwezi kujua maana ya "mahari". Tafuta kuwa na amani na familia ya binti wakukabidhi binti yao kiroho safi! Tumia busara hata kwa kulipa kidogo kidogo kuliko kushupaa! Ndo nyingi mnazoingia vijana mnaanza kwa laana ndo maana mnashindwa kuishi na wenza wenu! Povu ruksa!
Wakoloni wanaulizana mlipambana msiwe watumwa WA kuuza binadamu kama nyanya. But now mnauzana vile vile walivyokuwa wanafanya wao kwetu. Mahara ni biashara ya UTUMWA
 
Lipa mahari uchukue mke
Hiyo unayotaka wewe itakuja kukutesa
Kama hujalipa mahari kimira na desturi watoto ni Mali ya kikeni na huna sauti.
Je, utakubali?
Huo utamaduni wa kijinga umepitwa na wakati. Hauna faida yoyote
 
ma.vi yako.. kuoa inahitaji uwe mwanaume uliyekamilika kiakili, hekima na uchumi. ...umekurupukia jambo lililo juu ya uwezo wa akili yako.....jihangaikie machangudoa tu, ndiyo size yako. Kuoa si size yako.

Hata huyo unayehangaika naye ni changu tu. Binti anayejitambua asiye changudoa hawezi kukubali kukaa unyumba na mbwa kama wewe
Sawa utatuonesha mume wako tumfahamu. Na tumuulize kama alikukuta Bikra
 
Mahari inashida gani?! Nipe sababu za msingi ili ifutwe leo.
Ingekua na maana ungekua ni utaratibu wa dunia nzima,ila magharibi mwa dunia hakuna uo utaratibu tena wao wny vipato vya kati,ila huku ambako mtu yuko na mwanamke miakaa miwili wanaishi wote wanaamua kurasimisha kwa ndoa mzazi anataka mahari,Ilitakiwa jamii ijue mtoto wa kiume akitaka kuoa ni heshima kwa familia ya binti na kwake pia,means hakuna haja ya mahari bali sherehe ya kumuaga binti atleaast inamake sense
 
Kaka yangu Kiranga naomba usome hapa. The real meaning of mahari na sio kukaa mnawaharibu vijana eti wakimbie mahari

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi bado mnaishi maisha ya kijima hamjamaliza hata shida za kula mavi na kupata kipindupindu siwezi kutegemea muweze kuelewa hii dhana.

Ila baba yenu Nyerere aliielewa, akajaribu kuwafundisha, naona hamjaelewa somo.

"Nyerere Describes Bride Price as "evil" in Posthumous Bio".

 
Nyinyi bado mnaishi maisha ya kijima hamjamaliza hata shida za kula mavi na kupata kipindupindu siwezi kutegemea muweze kuelewa hii dhana.

Ila baba yenu Nyerere aliielewa, akajaribu kuwafundisha, naona hamjaelewa somo.

"Nyerere Describes Bride Price as "evil" in Posthumous Bio".

Mimi nilikuelewa muda sana mkuu.

Hii kitu kwasasa haina umuhimu unaotajwa hapa.
 
Nyinyi bado mnaishi maisha ya kijima hamjamaliza hata shida za kula mavi na kupata kipindupindu siwezi kutegemea muweze kuelewa hii dhana.

Ila baba yenu Nyerere aliielewa, akajaribu kuwafundisha, naona hamjaelewa somo.

"Nyerere Describes Bride Price as "evil: in Posthumous Bio".

Nyerere neno lake na misimamo yake sio sheria. Kwanza ilitokana na mambo aliyekumbana nayo.

But alipinga Ila kipindi anamuoa Maria alilipa mahari.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilikuelewa muda sana mkuu.

Hii kitu kwasasa haina umuhimu unaotajwa hapa.
Katika jamii zetu, wanawake wengi wanapenda kujiuza, na baba/kaka/wajomba zao wanapenda kuwauza.

That is the long and short of it.

Msikilize Mwanafalsafa wangu Mbaraka Mwinshehe anaelezea sakata.

 
Ni akili za kipuuzi sana. Sisi tunaamini mtu anasomeshwa apate ufahamu mkubwa. Hawa wazazi wanaotaka waje kulipwa ndo kuendeleza mawazo ya kimaskini. Kusomesha ni wajibu wa mzazi. Na asitegemee aje kulipwa. Elimu ni ya mtoto wake si yangu. Why nije kuilipia?
Kabisa mkuu na hiyo elimu yake itamnufaisha yeye mwenyewe na wanae atakao wazaa.
 
Back
Top Bottom