Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Kwa tanzania hii hakuna ambae M6 kwake anaona ndg,except maza mkubwa na mwigulu,tuliobak wote tunaithamini M6 kwa ukubwa wake,usitudanganye kwa njia ya keyboard kwmb kwako M6 ni kinyonge

Pole weee
 
kunywa soda kwa Mangi hapo misimamo hii ndo tunaitaka akigoma achana nae jipige kifuani sema mimi ni kidume wa baba yangu
 
Mimi nimetoka kwenye mti? Nani anampa mahari mzazi wangu kuniandaa toka nikiwa mchanga mpaka nimekuja kuonek nayeye
Subir uolewe Mzee kama unataka mzazi wako apewe mahar. Unaweza kuamua kubadili mfumo sio mbaya
 
Kuna wazazi wavivu wa kutafuta wanadhani watoto wao ni machimbo ya dhahabu. Pamoja na yote unasema umekuta ameshachakatwa, je wewe hujachakata?
 
Mahari Huwa haimalizwi hata walitaka billion unatanguliza advance.
Baba yangu hadi Leo ajamaliza mahari ya mama yangu na anawatukuu

Mama yangu mkubwa alipewa mia yake iliyobakia [emoji23].
Siku moja mumewe kampa 300 akamuuliza ya nini eti anamkumbusha kuwa anamalizia lile deni la mahari ya 300 aliyotakiwa kumlipia miaka hiyo…. Uduanzi kweli.
Kila mtu alicheka ila mzee alikuwa serious kabisaaaa
 
Umebaki wewe kuolewa nikutolee m5
 
Pole weee
Yan km Mo Dewji anaithamini mia tano kwa kutengeneza bidhaa za bei ndg kias icho kwa utajiri wake sembuse ww mchimba chumvi unaetusumbua humu JF eti unambie M6 kwako si kitu,izo standard zitakuja kuwatoa pumzi manina
 
Is it normal mwanaume unakataa kumtolea mwanamke mahari mkuu??
We ndo unafanya tukutilie mashaka itakua hao jamaa walokuja kuoa dada zako walikukaza na ww kwa tamaa ya pesa za wanaume, mwanaume kamili unaepambana kujijenga kwa future yako na familia huwez kutoa M6
 
We ndo unafanya tukutilie mashaka itakua hao jamaa walokuja kuoa dada zako walikukaza na ww kwa tamaa ya pesa za wanaume, mwanaume kamili unaepambana kujijenga kwa future yako na familia huwez kutoa M6
Kwaiyo we upinde unataka mahari itolewe sh ngap?
 
Yan km Mo Dewji anaithamini mia tano kwa kutengeneza bidhaa za bei ndg kias icho kwa utajiri wake sembuse ww mchimba chumvi unaetusumbua humu JF eti unambie M6 kwako si kitu,izo standard zitakuja kuwatoa pumzi manina

Tafuta pesa ili uweze kuelewa milioni 6 ni heshma na upendo. Ukishazipata utajua upendo ni kutoa
Unalialia na milioni 6 unavyowaza kuitoa maisha yako yote utaweza kununua diapers na maziwa wewe🙄🙄
 
Mimi hata nisingefika mbali pale aliposema "Wengine wanamuona dhahabu" kwahiyo nilipe mahali ya 6Mil kwasababu ya wengine?!😫
Wanawake wanafeli wapi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…