Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Ananiambia nijipange kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

Na uyu pia anajiita Mwanaume🫤🫤🫤 mahari tu inakushinda kutunza mke na family utaweza?
We mzee watu wanaishi na kutunza familia zao kwa mshahara wa laki na nusu kwa mwezi?!
Ni logic za kipumbavu kuhusisha mahari na uwezo wa mwanaume kutunza familia..
Me naamini km ambazo jamii zetu zimepokea mengi chanya kutoka magharibi pasi na shaka hili nalo la mahari litawafikia na mtaachana nalo
 
Braza sitokupa mawaidha mengi Ila skiza haya mawili vizuri (Nina miaka 9 kwenye ndoa na nipo happy):

1: mjuaji Hana ndoa - inamaana ke kwa kawaida wanaupuuzi mwingi Ila Kama mwanaume to some degree mpe leeway ajiskie tu Ila uwe na red lines anazojua .
Usiwai mwonyesha mke always kuwa akija juu mnapatana juu nyote .
Silence is a powerful weapon .,nenda kwa ndoa zilizokomaa utapata mwanaume akitoa jicho flani ashaeleweka kitambo bila kutumia nguvu ,sauti ,ni respect aliijenga .

2: jifunze kuumpa ke wako nafasi adeke ,dadake katolewa 4.6 M mahari ,anachotafuta ni akaringe na mumewe kuwa anajiweza pia .Usiwe na tabia ya kubana inakuwa mbele ya wenzake hawezi jitambia , kwani millioni 5 utafilisika , Kama ni ya juu mketishe chini mweleweshe Kama mke wako ,Kuna maneno ukitoa ya hekima ,ata uende na na laki 5 atafurahi tu na atakutetea Sana ukweni .

Huku nje tunajitambua Ila kuishi na mtoto wa watu inaitaji hekima Sana ,seek wisdom not pride .
Hyo mismamo ya kijinga umejiwekea utakuja juta
 
Mh......mzee anataka kumalizia nyumba ya wapangaji huyo........
 
Hajanisomeshea. Kamsomesha kwa manufaa yake. Elimu ni ya mwanae. Hainihusu. Nami nimesoma pia. Na kumsomesha ni wajibu wake. Sikusema amsomeshe nije nimuoe.
Mzee binadamu kumuandaa tangu akiwa mchanga mpaka uje mkutane na umuone anafaa sio kaz rahic. Ni kwa neema tu. Hivyo ukiwa Baba mtarajiwa kila wakati kuwa sehemu ya utatuzi sio tatizo. Diplomasia ni muhimu hasa kwenye kila kitu kabla maamuz magumu ukishafikia kuwa na familia Mzee. Mwanaume bora bora ni yule anaetumia akili zaid kuliko hisia.
 
Ungejua nafasi yako kama mwanaume unayetegemea kuanzisha familia itakayokutegema kama mkuu wa kaya kuna vitu ungevitazama kwa jicho la tofauti sana.

Yaani umemchambua binti watu kiasi hicho!? Hapo kisa sio mahari tuu! Hayo maneno yameonyesha ulivyo na roho chungu na mbinafsi.

Kama hakufai si umwache? Au ukiambiwa umwoe bila mahari ndio unamwona mwanamke bora??

Tafuta wakubwa wakueleze maana ya mahari watakuambia Mahari ni kipimo cha kujua kama mwanaume yuko tayari kubeba jukumu la ndoa na familia.

Halafu ukiwa mwanaume ukapangiwa mahari kitendo cha kuikubali tuu ni alama tosha kwamba wewe ni mwanaume mwenye kujielewa, mpambanaji na mpiganaji. Mahari unaweza kulipa yote mahari unaweza lipa kwa awamu.

Halafu, Kama mahari imekushinda utaweza kulea mke na watoto?
chukua maua yako mama D 💐🌼🌸🌻🥀🌺🌷
 
Huyu binti inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi.

Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana, basi tunakubaliana kupeana mapenzi. Siuzi, Sinunui.

Sasa kwenye mahari ndio ananiambia baba yake alimuoza dada yake kwa Tsh. Mil 4.5 yeye alisema bila mil 6 hamwachii. Nikamwambia itakuwa baba yake alikuwa anatania, mzazi mwenye akili timamu hawezi hata waza hilo neno. Akakasirika kuwa namwambia baba yake hana akili timamu.

Ilileta shida. Mimi nilisisitiza kuwa, baba yake hawezi dai mahari hiyo sababu nahisi atakuwa mzee mwenye akili. Wapumbavu ndio huwa wana hizo tabia. Akakomaa sana kuwa huo ndio ukweli na baba yake ana akili sana tu.

Muda ukaenda imefika seriously kwenda jitambulisha. Now in a serious tone anasema niandae kama Mil. 6, hivi ili hata akishusha basi iwe 5.4

Nlimuuliza hiyo Mil 5 nalipia nini kwake? Je, nimemkuta bikra? Akainamisha kichwa chini. Je, mashine yake ina regulate joto au ni adjustable? Yaani ana nini ambacho ni special kwangu. Akaanza ugomvi nimemdharau, sababu nimeshakaa naye sana kuna ambao wanamuona dhahabu.

Basi nikamwambia it's ok, akaolewe na hao wanaomuona dhahabu. Akanichunia siku 3, nikapanga nguo zake akija azichukue, aondoke. Siku hiyo kaja amefura sana. Nikajua kaja kubeba mizigo yake. Wala. Anataka tuzungumze nilimwambia mimi kiukweli siendi kutoa mahari kwao. Sioni sababu. Kama yupo tayari kuwa nami nitaenda jitambulisha na zawadi nitabeba ila mahari siendi toa. Kama hakubaliani na hilo abebe mizigo yake tu aende.

Sitoi mahari, hilo nimekataa. Mtu nimemkuta ameshachakatwa sana tu. Namtolea mahari iweje? Halafu acha hilo jambo, yaani why nikalipe pesa kwao? Wanawake ambao wapo tayari niwalete home tuishi wengi tu? Yeye ana nini maalum? Nampenda ni kweli, ila siendi mimi mlipia pesa ili kuendelea kulana naye.

Nitatoa zawadi kwa wazazi na ndugu zake. Zawadi si lazima na haina kiwango. But mahari No. Si yeye tu hata mwingine akija. Akitaka tukubaliane kuishi hataki akatafute mwingine.
Hujielewi, na kwa izi akili zako hustahili kuishi na mwanamke.

Kama hutaki kutoa mahari jiandae kuwa Upinde au kaoe mzaramo mahari unapeleka ata msaafu tu.

Man up.!!
 
Hata huyo manzi yake atakuwa ameshamuona yeye ni kipepeo
I wish nijue kama Bi mkubwa wake aliolewa kwa mahari or not tusijekua tunamuonea bure

otherwise Mungu atusaidie wanaume maana tunazidi kupukutika kwa kasi ya 5G..!!
 
I wish nijue kama Bi mkubwa wake aliolewa kwa mahari or not tusijekua tunamuonea bure

otherwise Mungu atusaidie wanaume maana tunazidi kupukutika kwa kasi ya 5G..!!
Naomba niulize, hivi kwanini unasema wanaume wanapungua, kwakigezo kipi labda chief???
 
kwenye Familia yetu dada zangu [zaidi ya 5] washaolewa na hakuna alieolewa na mahari chini ya millioni 5 Cash.!! Ukijumlisha na kishika uchumba ni zaidi ya 6M, apo bado elfu 10 kumi za vijana zaidi ya 10, Blanket Kubwa la Wazazi, Vitenge vya Mashangazi zaidi ya 5, Sufuria Kubwa la Kupikia n.k

mtoa Mada njoo apa ututhibitishie kuwa wewe sio Upinde otherwise.. Man Down.!!! Need Back up
 
Fala wewe fanya kazi, tafuta pesa, huyo mwanamke kwa atakayokuja kukufanyia maishani ni zaidi ya mara milioni moja ya hako ka mahali kako.
Ndio atoe mahari ya 6m? Wakuu mnawaza vizuri kweli?

Hata kama ni kutafuta pesa, ndio atafute 6m kwa ajili ya mahari tu? Kuweni serious basi aisee!
 
Mambo ya mahari yanazungumzika.
Nenda wewe na mshenga wako akazungumze na wakwe zako.
Halafu mahari hailipwi yote mtakapokubaliana.
Halafu hiyo 6M sio pesa ya kutisha kijana,kaza mattyakko duniani hakuna kitu cha bure au rahisi kikawa na ubora.

Otherwise jiunge na CHAPUTA kule hakuna mahari ni sabuni/lotion yako tu mambo Murua.
6m sio hela ya kutisha kutoa mahari? Humu jf kuna watu matajiri sana dah!
 
Mkuu haya maneno ya "haina TV ndani"kama umemwambia Kweli huyo kizibo,basi ujengewe sanamu Pale bandarini.Dp world wakifika walikute.
 
Back
Top Bottom