Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Asante nitalichukua hili
Naona wanaume hapa wanakuzingua tu kwenye majibu ila ukweli ni kwamba huyo sio mpenz ni player tu na atakua na mtu wake. Hana malengo yeyote na wewe ukibeba mimba inakula kwao. ACHANA NAE
 
Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…

Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex

Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda

Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah

Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…

Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia

Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…

Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia

Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa

Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Kwa hiyo unatangaza tujue kuwa huwa mnafanya zinaa?
 
Wewe sez unaona sio kitu cha maana?

Kwenye maisha ya mwanaume sex ni namba moja, ndio kitu cha maana kuliko kitu chochote. Sasa wewe kama unaona sio cha maana utapata shida sana na wanaume.

Mwanaume yoyote aliekamilika huwaza sex kwa siku kila baada ya dakika kadhaa. Vitu vingine vyote hufuata baada ya sex.

Wewe unataka mkikutana muongelee matofali tu, sio?
 
Dada Njoo Inbox tuyajenge. Mimi ninatafuta binti wa miaka 24 - 30. Niwe na mahusiano serious naye.
 
Po
Wewe sez unaona sio kitu cha maana?

Kwenye maisha ya mwanaume sex ni namba moja, ndio kitu cha maana kuliko kitu chochote. Sasa wewe kama unaona sio cha maana utapata shida sana na wanaume.

Mwanaume yoyote aliekamilika huwaza sex kwa siku kila baada ya dakika kadhaa. Vitu vingine vyote hufuata baada ya sex.

Wewe unataka mkikutana muongelee matofali tu, sio?
naona Umebeba hilo tu katika yote niliyo yaongea… hujaona Kama jamaa yeye kunitafuta kwake mara nyingi ni ile amenimiss tuonane tusex.. hatuwezi tu kuongea mambo mengine zaidi ya hilo.. mtu anakaa siku 3 akikutafuta ni I miss you so much sijui nikuone lini nyenyenyenye.. and after sex nikiondoka kwake haniulizi chochote kama nimefika salama anakaa tena hata wiki anajishtukia ndio ananitafuta

Unaona ni sawa Mimi niendelee kumpa anachohitaji halafu mimi hisia zangu hazingatii
 
Kabisa na kuwa anonymous raha sana
Yeah hapa ukimuelezea rafiki yako anayazagaza bora humu Hakuna anaenijua na uzuri matukio kama haya yanafanana na sijatoa code yote sio rahisi mtu kunijua ama kumjua anaezungumziwa
 
Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…

Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex

Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda

Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah

Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…

Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia

Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…

Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia

Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa

Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
mpe Mixx by Yass
 
Hapa umesema huyu ni mwanaume wako wa pili wakwanza alifariki . Hapa nimeona malalamiko yako kwenye uzi mwingine je huyu ulimuhesabu?

Pia october 26 ulikuwa unatafuta kazi ambapo ulisema mlikutana kazini na mahusiani yako ni ya miezi minne. Kwahiyo nayo ni uongo pia

Hapa ulikuwa unalalamika hakupi nauli wakati hapa umesema anakupa nauli tu

Je huyu unayesema alikuambukiza fungus ambaye humataki tena ni mwingine?
Post in thread 'Haijalishi umepania namna gani, waza mara mbili. Hakuna kitu kinauma kama kumeza dawa za ARV kila siku maisha yako yote' Haijalishi umepania namna gani, waza mara mbili. Hakuna kitu kinauma kama kumeza dawa za ARV kila siku maisha yako yote
 
Back
Top Bottom