- Thread starter
- #181
Ndio ninamuelewa shida yeye hanielewi anaelewa kidude changuHapo uko poa.
Nimekuelewa ,yaani unamuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ninamuelewa shida yeye hanielewi anaelewa kidude changuHapo uko poa.
Nimekuelewa ,yaani unamuelewa
Naona wanaume hapa wanakuzingua tu kwenye majibu ila ukweli ni kwamba huyo sio mpenz ni player tu na atakua na mtu wake. Hana malengo yeyote na wewe ukibeba mimba inakula kwao. ACHANA NAE
Kwa hiyo unatangaza tujue kuwa huwa mnafanya zinaa?Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…
Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex
Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda
Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah
Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…
Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia
Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…
Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia
Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa
Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Vyovyote utakavyoelewaKwa hiyo unatangaza tujue kuwa huwa mnafanya zinaa?
naona Umebeba hilo tu katika yote niliyo yaongea… hujaona Kama jamaa yeye kunitafuta kwake mara nyingi ni ile amenimiss tuonane tusex.. hatuwezi tu kuongea mambo mengine zaidi ya hilo.. mtu anakaa siku 3 akikutafuta ni I miss you so much sijui nikuone lini nyenyenyenye.. and after sex nikiondoka kwake haniulizi chochote kama nimefika salama anakaa tena hata wiki anajishtukia ndio ananitafutaWewe sez unaona sio kitu cha maana?
Kwenye maisha ya mwanaume sex ni namba moja, ndio kitu cha maana kuliko kitu chochote. Sasa wewe kama unaona sio cha maana utapata shida sana na wanaume.
Mwanaume yoyote aliekamilika huwaza sex kwa siku kila baada ya dakika kadhaa. Vitu vingine vyote hufuata baada ya sex.
Wewe unataka mkikutana muongelee matofali tu, sio?
iDada Njoo Inbox tuyajenge. Mimi ninatafuta binti wa miaka 24 - 30. Niwe na mahusiano serious naye.
Tuko huru huku kuliko mitandao mingine…Stories za JF bana
Tuko huru huku kuliko mitandao mingine…
Yeah hapa ukimuelezea rafiki yako anayazagaza bora humu Hakuna anaenijua na uzuri matukio kama haya yanafanana na sijatoa code yote sio rahisi mtu kunijua ama kumjua anaezungumziwaKabisa na kuwa anonymous raha sana
mpe Mixx by YassKuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…
Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex
Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda
Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah
Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…
Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia
Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…
Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia
Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa
Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Mbona kama ume ji embalansi jamani
Kivipi mkuuMbona kama ume ji embalansi jamani
ninimpe Mixx by Yass
Naona umejiachia sana humu jukwaani kuwa huwa unaenda anakufanya akijisikia..au mimi ndo nimezeeka..Kivipi mkuu
na sijatoa code yote sio rahisi mtu kunijua ama kumjua anaezungumziwa