Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

H
Fanya hivi Tenga wiki moja ukae nae kuanzia j3 had jumapili tafuteni siku mtakazo kua free,then muangalie kuhusu utumiaji wake wa simu, maana Mimi pia ni mvivu wa kupiga au kutuma maseji.
Pia hapo utapata kipimo Cha namna anavyo jiskia yeye ukiwepo wewe maana inawezekanaa kweny simu hafurahii Sanaa tofauti na mkiwa wote.
hiyo Wiki ndugu hatuendi kazini?? Mimi naishi kwetu siwezi kwenda kushinda kwake…
Tukiwa wote tunaiga story na yuko vizuri ila huwezi amini anaweza kutoka anaenda dukani ukamtumia sms hakujibu na upo kwake….
Kingine tunachart tu ukiona kanipigia simu ujue tunaenda kuonana ndio atapiga ila ni kuchart tu no calls (wasukuma tatizo nini shenzii 🤣🤣)
 
Kunaepukika vizuri tu. Inategemea na wewe unavyoruhusu moyo wako uchakate mambo. Nimelizwa sana hapo mwanzo we acha tu. Kipindi hicho moyo ndo ulikuwa unanidirect.
Mimi bado moyo kuwa mgumu hivyo
 
Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…

Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex

Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda

Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah

Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…

Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia

Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…

Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia

Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa

Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Pole mrembo, mapenzi hayana formula ila inapofika sehem unakopesha mbususu my love sio sehemu salama kimbia, au mashine yake ndo imekudatisha coz kuna venue mnasema kuna men Moja mnampea buree sab ya misosomolo japo bado unafel. Polee
 
Pole mrembo, mapenzi hayana formula ila inapofika sehem unakopesha mbususu my love sio sehemu salama kimbia, au mashine yake ndo imekudatisha coz kuna venue mnasema kuna men Moja mnampea buree sab ya misosomolo japo bado unafel. Polee
Sio kwamba naenjoy sana ni vile naogopa body count kuongezeka
 
H

hiyo Wiki ndugu hatuendi kazini?? Mimi naishi kwetu siwezi kwenda kushinda kwake…
Tukiwa wote tunaiga story na yuko vizuri ila huwezi amini anaweza kutoka anaenda dukani ukamtumia sms hakujibu na upo kwake….
Kingine tunachart tu ukiona kanipigia simu ujue tunaenda kuonana ndio atapiga ila ni kuchart tu no calls (wasukuma tatizo nini shenzii 🤣🤣)

Mimi bado moyo kuwa mgumu hivyo
Mimi kuna kipindi nilikuwa naona dunia haina maana. Nilikuwa sili kabisa. Nashukuru alibadilika soon baada ya mimi kumaliza chuo, haki ningefeli. Sio huyo tu, hapo nyuma nimechekwa sana na rafiki zangu. Na nilikuwa bonge la nice man. Nilikuwa napenda kweli. Nishawahi uguza mdada watu wiki mbili, nalisha, ogesha, valisha gharama zote juu yangu. Ila sasa nilichoambulia ni hatari.
Baada ya yote hayo, nikaamua kuufundisha moyo na kuuongoza moyo. Mpaka ninapozungumza sina tena kitu kinaitwa kufall. Akitokea mrembo tunamalizana ila moyo wangu haupo uko. Now napenda zangu juisi ya miwa. Na niko na amani. Hata wadada wakijilengesha doesn't matter.
Jitrain ndugu yangu inawezekana
Mimi bado moyo kuwa mgumu hivyo
 
Mimi kuna kipindi nilikuwa naona dunia haina maana. Nilikuwa sili kabisa. Nashukuru alibadilika soon baada ya mimi kumaliza chuo, haki ningefeli. Sio huyo tu, hapo nyuma nimechekwa sana na rafiki zangu. Na nilikuwa bonge la nice man. Nilikuwa napenda kweli. Nishawahi uguza mdada watu wiki mbili, nalisha, ogesha, valisha gharama zote juu yangu. Ila sasa nilichoambulia ni hatari.
Baada ya yote hayo, nikaamua kuufundisha moyo na kuuongoza moyo. Mpaka ninapozungumza sina tena kitu kinaitwa kufall. Akitokea mrembo tunamalizana ila moyo wangu haupo uko. Now napenda zangu juisi ya miwa. Na niko na amani. Hata wadada wakijilengesha doesn't matter.
Jitrain ndugu yangu inawezekana
Ndugu kuna muda utaitaji mtu wa kukuamsha usiku uombe
 
Kirahisi rahisi tu 😹😹

Na mimi nakwambia hivi, “Tumia ulichonacho upate ukitakacho” kila mtu alinde urithi wake km Mbowe na kikoba chake 🤣
😁😁😁😁😁😁
 
Kirahisi rahisi tu 😹😹

Na mimi nakwambia hivi, “Tumia ulichonacho upate ukitakacho” kila mtu alinde urithi wake km Mbowe na kikoba chake 🤣
Hio ndio Mixx by Yas sasa
 
Nyuzi za hivi zinakimbia kweli kweli ona uzi wa leo lakini una page 12🤣🤣
Anyway ngoja na mimi nichangie hivi kwani mahusiano yanatakiwa mkionana muongee nini? Hapo mkikutana ni mizagamuano tu story utapiga na kaka zako.
 
Ladies!(sio wewe peke yako una mtu wa hivyo) Unless kama umeathirika kwahiyo unataka kumuambukiza kijana makusudi, lakini vinginevyo Wake up. Mimba hamtapeana ila utapewa wewe.
Kingine huyo mwanaume hata kwenye akili yake hawazi kabisa kuoa au kuwa siriaz na mwanamke kama wewe. Hiyo ni very clear. Hata usijipe moyo.
Utapoteza muda sasa na utakosa utulivu kabisa hata ukija kupata mwanaume serious.
Note: Kama una enjoy sex then, enjoy at your own risk and expect no more than that. Thats very very clear.
 
Nyuzi za hivi zinakimbia kweli kweli ona uzi wa leo lakini una page 12🤣🤣
Anyway ngoja na mimi nichangie hivi kwani mahusiano yanatakiwa mkionana muongee nini? Hapo mkikutana ni mizagamuano tu story utapiga na kaka zako.
😂😂🙌🏻 sijakataa ndio hata tukiwasiliana mazungumzo ni hayohayo daah tutafika hoi
 
Back
Top Bottom