Sawa anawaza kuwa na mwanamke wa aina gani nijue itanisaidia mbeleniLadies!(sio wewe peke yako una mtu wa hivyo) Unless kama umeathirika kwahiyo unataka kumuambukiza kijana makusudi, lakini vinginevyo Wake up. Mimba hamtapeana ila utapewa wewe.
Kingine huyo mwanaume hata kwenye akili yake hawazi kabisa kuoa au kuwa siriaz na mwanamke kama wewe. Hiyo ni very clear. Hata usijipe moyo.
Utapoteza muda sasa na utakosa utulivu kabisa hata ukija kupata mwanaume serious.
Note: Kama una enjoy sex then, enjoy at your own risk and expect no more than that. Thats very very clear.
Hhhhhh, Kama mkiwa wote Mnapiga story vizuri tu basi huyo Hana shida. Tambua kwamba watu hatuwezi kufanana, kwahiyo nyie nendeni taratibu usiwe na haraka Sana kila kitu kitakaa sawaa. Kila la kheri wadogo zangu.H
hiyo Wiki ndugu hatuendi kazini?? Mimi naishi kwetu siwezi kwenda kushinda kwake…
Tukiwa wote tunaiga story na yuko vizuri ila huwezi amini anaweza kutoka anaenda dukani ukamtumia sms hakujibu na upo kwake….
Kingine tunachart tu ukiona kanipigia simu ujue tunaenda kuonana ndio atapiga ila ni kuchart tu no calls (wasukuma tatizo nini shenzii 🤣🤣)
Unanitia moyo sio anyway ngoja nichoropoke hapoHhhhhh, Kama mkiwa wote Mnapiga story vizuri tu basi huyo Hana shida. Tambua kwamba watu hatuwezi kufanana, kwahiyo nyie nendeni taratibu usiwe na haraka Sana kila kitu kitakaa sawaa. Kila la kheri wadogo zangu.
Njooo P.M mamaaa 24 tunaweza fanya jambo la maanaHujaelewa my dear.. mimi pia sio mtu wa masimusimu hivyo niko normal issues ni unakaa hujawasiliana na mwenzio then ukija kumtafuta Hakuna la maana zaidi ya kumwambia lini umuone umemmiss.. lazima mtu ujisikie vibaya ,, mfano wewe mtu wako akae kimya wiki halafu akutafute akueleze shida zake anashida na hela sijui vikoba vipi wewe utajisikiaje
Mimi ukweli usiponitafuta siwezi kukutafuta hata iweje,, kama huyu nikitoka kwake asiponiuliza umefika simpi taarifa, sipigi simu mpk anitafute na akinitafuta siwezi muuliza why alikuwa kimya ninaongea nae kama hakuna kilichotokea… but wakati mwingine ninajisikia vibaya
Mume wa mtuKuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…
Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex
Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda
Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah
Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…
Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia
Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…
Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia
Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa
Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Hogo la mzabzab BRAZA CHOGOSema hogo nalo tamu, halafu ukute ndio yule TALL, DARK and HANDSOME uwiiiih mbona utakuwa chiziii akikushika tu unalegeaa unashangaa IMOOOOOOOOOOO.... mara paaap.... MIKITO.
Cc: Mwachiluwi Kijana masikini Dogoli kinyamkela Lamomy Extrovert Lloyd Munroe secretarybird
Tangazo limekaa utamu😂Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…
Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex
Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda
Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah
Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…
Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia
Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…
Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia
Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa
Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Kama vipi jitahidi umbadilishe,yaani jichangamshe kwake,piga Naye stori,mwambie mtoke out bila ya kudu,utamuona Kama anapenda kuambatana na wewe ,yaani mfanyie Kama mwezi ivi. Smt unamwambia usiku unataka kupiga Naye stori umsikie ,Ila Kama hajisikii siye yeye ni asili yake tu imekukataa. Mie ninaye nayempenda sema kumpata k yake inabidi natumia gharama kubwa najiona.kama hapa sipendwi Mana yeye hata kunicheki akumbushie kulana ni mie tu.Yeah Ngoja aendelee kuwepo akipatikana anaeleweka vizuri nitamuacha
Kama vipi jitahidi umbadilishe,yaani jichangamshe kwake,piga Naye stori,mwambie mtoke out bila ya kudu,utamuona Kama anapenda kuambatana na wewe ,yaani mfanyie Kama mwezi ivi. Smt unamwambia usiku unataka kupiga Naye stori umsikie ,Ila Kama hajisikii siye yeye ni asili yake tu imekukataa. Mie ninaye nayempenda sema kumpata k yake inabidi natumia gharama kubwa najiona.kama hapa sipendwi Mana yeye hata kunicheki akumbushie kulana ni mie tu.
Maisha haya yaache to
Mume wa mtu wapi.. siwezi date na mtu nisiemfahamu.. hajaoa labda kama ana mwanamke wake serious but hajaoaMume wa mtu
Sawa ngoja niende nae anavyotaka huku nikitafuta mwingineWanaume siku hizi hawana so called emotional intimacy ila wana physical intimacy......... Usipate taabu sana jifunze formula inaitwa No strings attached,huyo mwamba ndio anataka iwe hivyo,sema tu wewe umekua mgumu kuelewa
AloooNjooo P.M mamaaa 24 tunaweza fanya jambo la maana