Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…

Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex

Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda

Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah

Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…

Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia

Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…

Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia

Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa

Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Mkisha kua akili zitawakaa saws....
 
Maybe help me to understand, kwani zaidi ya sex ulitaka muongee nini kingine mkuu?
 
Ukipona fangasi za yule muhaya nambie
Unaonekana cheap, unajidhalilisha hujui tu
Huwezi kuwa cheap kwa kila mtu ujue tu.. mwanamke unaemuona cheap kwako wengine wanamtaka hata kinguvu kuwa nae na hawampati kwasababu amekuheshimu wewe halafu wewe unamuona cheap

Halafu wanaume huwa wanaga umbea
 
Ushasema unasukia raha na unapenda na kumiss kuingiliwa naye. Unachotakiwa kufanya ni usisubiri kupigiwa, piga wewe mpaka akupe mimba uzae umuite mbwa.
Duh!...
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Eeh bwana nimetafakari kwa kina haya malalamiko yako, inaonesha jamaa ni highclass kuliko wewe mnawaitaga ma HB ndio maana anakufanya sex toy. Na wewe unajijua hulipi ukiachana nae utakaa single mda mrefu na upwiru hivyo badala ya kulalamika we endelea kufurahia huduma ya mkuyenge wa take-away.

Siri ni kwamba wewe ni mmbovu ama huna mvuto wa kike ila umejaliwa mbunye amazing hivyo mwamba anakuita kila akiukumbuka utamu wa K yako. Haya mambo yanatokeaga kwa mabaharia unakuta demu haeleweki ila ana mbususu mnato. Hilo ndo tatizo wala usitafute mganga.
😂😂 wewe jamaa kwaiyo mimi mbovu sina mvuto wa kike we jamaa daah Mungu anakuona
Sio hata high classic Msukuma mmoja mshamba tu… labda tu niseme ana ka mtu kake seriously halafu ni long distance.. kama kuna ka view once Jamii forum nitag nikutumie pic yangu ni kabaya ila sio kiivo
 
Hapo kwenye kukunwa vizuri ndo main point...wanawake huwa wanapata tabu sana kuacha mahusiano na mwanaume wa hivyo..
sasa si umwambie unauza akulipe kiliko kumpa bure? miezi minne ushavuliwa chupi zaidi ya mara mbili! mtu anakutafuta akiwa nanyege ashakuona we ni sex mashin wake, hujalogwa wala nn inaonekana anakukuna vizuri sana kiasi unarukwa na akili? ukiitambua thamani yako binti ndipo wengine watakuthamini.
 
Hapo kwenye kukunwa vizuri ndo main point...wanawake huwa wanapata tabu sana kuacha mahusiano na mwanaume wa hivyo..
Body count ndio hua tunazingatia maswala ya kunikuna vizuri mimi sijui naona normal tu
 
Muongee manini tena zaidi ya ngono zembe inayowaunganisha?

Mahawara mtakaa mtajadili maisha kivipi, mmekuwa ni wanandoa, au mmepanga kuoana lakini haujasema?

Halafu umezungusha mada, baadaye ukaja kujianika rangi yako halisi ya ngozi ulivyo mrahisi na mpenda pesa.

Jitafakari sana, kama unataka kuolewa jitulize utapata mchumba.

Wanaume wanapenda wanawake 'wagumu' na siyo 'maharage ya mbeya' na hicho ndicho kipimo cha 'kujituliza'.
Mbona hamueleweki.. mkizungushwa kupewa sex mnasema tukuwapa mnakula na kusepa tukiwapa mapema napo maharage ya mbeya….

Kwaiyo nilipaswa kumnyima sex ama
 
Kama

Una kazi pesa yake si yako.

Mahusiano yana miezi minne na mmekutana x2. Maana yake kwa mujibu wa uzi wako, amekupigia simu sio zaidi ya x4 (mbili kuomba sex, mbili kuongea blabla)
Haaha tunaongea bhn… sema ndio ile mnakaa siku 3 ndio mnawasiliana..
Ila sasa mimi kuna ile nimezoea mwanaume anitafute mimi sio mimi nimtafute so tunajikuta wote tupo kimya…
Namaanisha hakuna story za maana tunaongea zaidi ya ngono… sijui labda kwasababu bado penzi jipya

Hiyo kwangu haina shida nataka tu anijali kama hivyo tumetoka kuonana basi aniulize hata kama nimefika
 
Back
Top Bottom