Ukitafuta wewe ndio utapotea kabisa....... Kaa kwa kutulia kwanza,make inaonekana unaongozwa na hisia zaidi kuliko utashi,but RememberSawa ngoja niende nae anavyotaka huku nikitafuta mwingine
Huwa mnajipa stress za Bure nyie mabinti!!Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…
Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex
Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda
Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah
Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…
Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia
Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…
Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia
Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa
Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Haitakusaidia chochote maana, Huwezi kuwa huyo mwanamke kwake, ameshakuchulia tofauti kabisa na haiwezekani kubadilisha.Sawa anawaza kuwa na mwanamke wa aina gani nijue itanisaidia mbeleni
Mpaka unaandika huu uzi ina maana umeishajitambua. Hakupendi shauri zako.Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…
Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex
Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda
Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah
Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…
Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia
Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…
Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia
Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa
Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Dah! Umemuumbua! Ndio maana nikamshauri aje inbox tu...anadanganya danganya tu huyuHapa umesema huyu ni mwanaume wako wa pili wakwanza alifariki . Hapa nimeona malalamiko yako kwenye uzi mwingine je huyu ulimuhesabu?
Wengine tuliumbiwa kuachwa kwenye mahusiano
Hakuna ugomvi hakunaa shida yoyote… niliona mabadiliko yake Kama siku 2 hivi nyuma.. Leo from no where ananitumia hii sms “Mama angu samahani sanaa si kwa ubayaa ila me naona haya mahusiano yaishie hapa mimi binafsi na mambo mengi sina muda na wewe kabisaa sasa kwahyo hatuwezi kujengaa...www.jamiiforums.com
Pia october 26 ulikuwa unatafuta kazi ambapo ulisema mlikutana kazini na mahusiani yako ni ya miezi minne. Kwahiyo nayo ni uongo pia
Mwenye connection
Natafuta kazi… ninapofanya kazi mkataba unaisha mwezi huu … ajira zimekuwa ngumu kila ukiomba una temwa Nina elimu ngazi ya degree maendeleo ya jamii Kama kuna mtu ana connection hata kuwa muhudumu wa tren SGR ama ukonda wa mabasi mimi niko tayari Au kama kuna kazi yoyote halali nisaidiwe...www.jamiiforums.com
Hapa ulikuwa unalalamika hakupi nauli wakati hapa umesema anakupa nauli tu
Kama unamtoa mwanamke out umpe na nauli ya kurudia hali ngumu
Aisee Hii wakaka wabahili iwafikie habari za kulazimisha kuonana na mdada halafu mnaagana unashindwa kumpa hata elfu 2 ya nauli haipendezi tuna haribiana bajeti. Hiko hivi kuna huyo Kijana tumefahamiana ni kama mwezi wa 3 sasa mcheshi yuko Normal tu.. kitu kinachonikera kwake yaani anapenda...www.jamiiforums.com
Je huyu unayesema alikuambukiza fungus ambaye humataki tena ni mwingine?
Post in thread 'Haijalishi umepania namna gani, waza mara mbili. Hakuna kitu kinauma kama kumeza dawa za ARV kila siku maisha yako yote' Haijalishi umepania namna gani, waza mara mbili. Hakuna kitu kinauma kama kumeza dawa za ARV kila siku maisha yako yote
Mmh balaa zitoUkitafuta wewe ndio utapotea kabisa....... Kaa kwa kutulia kwanza,make inaonekana unaongozwa na hisia zaidi kuliko utashi,but Remember
Woman are like Milk and Mens are like wine,ukishindwa kuelewa maana ake utanambia.......... Unajua buana mie hushindwa kuwaelewa wanawake,ushajua kua wewe ni fvckmate tu nawe unahitaji mapenzi,Why are you still there na kuja huku kutafutq ushauri? Hebu grow up and stop this infantism
Hiii naenda nayo ni ghafula tuHuwa mnajipa stress za Bure nyie mabinti!!
Fanya mapenzi Kwa kupata Raha na sio attention plus kutaka uwekezaji was muda mrefu!!
Ukipata anaetaka kukuoa ndio unakata wire ghafula kama bado we furahia like unachopata!!
Unataka akupe Hela za Nini kama unazo!!?mboo pekee ndio huna kwanini usipokee !!?
Unataka attention ya nini kama Jamaal Huwa anaimis tam yako that means ameshindwa ku move on kwako na hajapata mbadala!!
Uwe unaringa mara Moja moja kama vipi kama unahisi hupendwi!
Halafu thamani yako haifanani na fedha Wala chochote kile kwanini Huwa mnajiona wenye thamani Hadi pale mnapo pewa pesa kwani nyie ni bidhaa !!?
Furahia mapenzi,akiona unafaa atakuaoa utakaempata anataka kukuoa ndio utakatisha mahusiano ghafula!!
Sawa nitazuga nae tuHaitakusaidia chochote maana, Huwezi kuwa huyo mwanamke kwake, ameshakuchulia tofauti kabisa na haiwezekani kubadilisha.
Hata akibadili gia angani, mahusiano yenu yatakuwa machungu kwako kuliko sasahivi, maana hatajali hisia zako. Kama huamini we endelea kujitahidi
AsanteMpaka unaandika huu uzi ina maana umeishajitambua. Hakupendi shauri zako.
Toa ushauri kulingana na hii post mambo yakufukuafukua yatawachanganya sana..Dah! Umemuumbua! Ndio maana nikamshauri aje inbox tu...anadanganya danganya tu huyu
upendo ni matendo na sio maneno, zingatia sana hilo.Ni kweli…. Kabisaa na sasa ameanza kuning’aniza tuishi pamoja nimemwambia haiwezekani mpk tuoane anasema tutapanga mbeleni lakini kwa namna alivyo sioni muoaji kabisa
Nimeshatoa ushauri wangu, kwamba uje inbox tujadiliane. Nakupa hii offer hadi kesho saa kumi na mbili jioni.Toa ushauri kulingana na hii post mambo yakufukuafukua yatawachanganya sana..
Sex until marriage halafu sio bikira piga chiniKudadaadadeki halafu unakuta kuna mwanaume mwingine mwenye nia ya kuoa na anahudumia pesa kabisa, ila akiomba sex ataambiwa sex hadi ipite miezi 4, we unachotaka ni sex tu, no sex till marriage, blah blah mara aliwe nauli mzabzab Xi Jinping Natafuta Ajira Zemanda Mzee wa kupambania
Angekupenda ungekuwa hata hio K unampa kwa mgaoSasa bora mtu akuvuruge akili ila awe anakupenda kweli shida inakuja unamvuruga akili halafu kumbe humpendi sio vizuri
Muongee manini tena zaidi ya ngono zembe inayowaunganisha?Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…
Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex
Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda
Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah
Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…
Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia
Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…
Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia
Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa
Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Una kazi pesa yake si yako.Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…
Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex
Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda
Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah
Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…
Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia
Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…
Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia
Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa
Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake