Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Wee ushindwe pepo wewe 😂 😂 😂 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee ushindwe pepo wewe 😂 😂 😂 😂
Nipo single, nakupenda dear 😍🥰Ni kweli kwasababu pia na mimi ninakuwa nina hamu ya kufanya nae.. but kila nikimaliza hapo huwa najisikia vibaya
Kudadaadadeki halafu unakuta kuna mwanaume mwingine mwenye nia ya kuoa na anahudumia pesa kabisa, ila akiomba sex ataambiwa sex hadi ipite miezi 4, we unachotaka ni sex tu, no sex till marriage, blah blah mara aliwe nauli mzabzab Xi Jinping Natafuta Ajira Zemanda Mzee wa kupambaniaNi kweli kwasababu pia na mimi ninakuwa nina hamu ya kufanya nae.. but kila nikimaliza hapo huwa najisikia vibaya
Ningekuwa sienjoy sidhani kama ningekuwa naenda akinihitajiSo wewe kwenye sex inaonekana unapoteza yaani hufurahii kile kitendo inavyoonyesha yaani mwili wako hauoni Kama mwili wake ni chakula cha mwili wa kwako kwa kiufupi, hisia huna ivyo unataka ufaidike kwa kupewa matunzo.ila sex kwako ni hasara ama nakusoma vibaya
Tena sio mpk aniambie kanimiss wakati mwingine huwa namwambia mimi nimemiss ana arrange time tunaonanaNingekuwa sienjoy sidhani kama ningekuwa naenda akinihitaji
Tena sio mpk aniambie kanimiss wakati mwingine huwa namwambia mimi nimemiss ana arrange time tunaonanaSo wewe kwenye sex inaonekana unapoteza yaani hufurahii kile kitendo inavyoonyesha yaani mwili wako hauoni Kama mwili wake ni chakula cha mwili wa kwako kwa kiufupi, hisia huna ivyo unataka ufaidike kwa kupewa matunzo.ila sex kwako ni hasara ama nakusoma vibaya
Sina mwanaume mwingine zaidi yakeKudadaadadeki halafu unakuta kuna mwanaume mwingine mwenye nia ya kuoa na anahudumia pesa kabisa, ila akiomba sex ataambiwa sex hadi ipite miezi 4, we unachotaka ni sex tu, no sex till marriage, blah blah mara aliwe nauli mzabzab Xi Jinping Natafuta Ajira Zemanda Mzee wa kupambania
Faida gani ndugu.. siwezi kukataa hela maana najua sina hiyo hela kwaiyo nikikataa kwetu nitarudi vipi kwa miguu ama.. wakatiKwa hiyo kumbe huwa unatumia mtaji kupata faida safi sana Sasa utaachaje kwenda na unajua ukiondoka uhakika,
Nikwambie tu anakuona kama unamuuzia kei! Akikupa hela kataa mwambie hujiuzi!
Nahisi katika kitu ambacho siwezi ni kuongea kwa kumface mtu nipo vizuri kwenye keyboards… na nikianza kuongea huwa ninalia so nimeshindwa hiyo,, nilishawahi kumuuliza kwa njia ya sms akasema ni ubize but Hakuna ubize wala nini ni labda hajanielewa tu na ana mahusiano yake seriously yupo kwangu kujipoza tuMuite sehemu mkae muongee. Naona hajawahi kuongea haya mambo. Siku akikuita kabla hamjakulana mjadili haya mambo yenu.
usijali, huyu nae atafarikiKuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…
Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex
Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda
Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah
Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…
Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia
Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…
Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia
Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa
Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
😹😹😹 Hapo kazi unayoYaani kwakweli mimi huyu ninamtaka sasa tatizo lake ni hilo hanipi attention
Mfyuuuu.!! Mwehu wewe 😹😹😹Ukute anako kadogo2 kama jina lake ndo maana hapewi ela 😅
Kirahisi rahisi tu 😹😹Mlipewa bure toeni bure, ndio maisha yalivyo
Hapo uko poa.Tena sio mpk aniambie kanimiss wakati mwingine huwa namwambia mimi nimemiss ana arrange time tunaonana
Una list ya majina ya watakaokufa mkuuusijali, huyu nae atafariki
Ngoja tu nitafute wa kunipa vyote taratibu😹😹😹 Hapo kazi unayo
What if ananitumia for his enjoyment halafu mimi nimempendaMvumilie tu.