Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

So wewe kwenye sex inaonekana unapoteza yaani hufurahii kile kitendo inavyoonyesha yaani mwili wako hauoni Kama mwili wake ni chakula cha mwili wa kwako kwa kiufupi, hisia huna ivyo unataka ufaidike kwa kupewa matunzo.ila sex kwako ni hasara ama nakusoma vibaya
Ningekuwa sienjoy sidhani kama ningekuwa naenda akinihitaji
 
So wewe kwenye sex inaonekana unapoteza yaani hufurahii kile kitendo inavyoonyesha yaani mwili wako hauoni Kama mwili wake ni chakula cha mwili wa kwako kwa kiufupi, hisia huna ivyo unataka ufaidike kwa kupewa matunzo.ila sex kwako ni hasara ama nakusoma vibaya
Tena sio mpk aniambie kanimiss wakati mwingine huwa namwambia mimi nimemiss ana arrange time tunaonana
 
Kwa hiyo kumbe huwa unatumia mtaji kupata faida safi sana Sasa utaachaje kwenda na unajua ukiondoka uhakika,
Nikwambie tu anakuona kama unamuuzia kei! Akikupa hela kataa mwambie hujiuzi!
Faida gani ndugu.. siwezi kukataa hela maana najua sina hiyo hela kwaiyo nikikataa kwetu nitarudi vipi kwa miguu ama.. wakati
Mwinginee nakuwa sina hela ya nauli anataka tuonane then nakopa mahali ili nikaonane nae sasa yeye akinipa kuna ubaya gani… na sio mara zote hunipa wakati mwinginee hanipi
 
Muite sehemu mkae muongee. Naona hajawahi kuongea haya mambo. Siku akikuita kabla hamjakulana mjadili haya mambo yenu.
 
Muite sehemu mkae muongee. Naona hajawahi kuongea haya mambo. Siku akikuita kabla hamjakulana mjadili haya mambo yenu.
Nahisi katika kitu ambacho siwezi ni kuongea kwa kumface mtu nipo vizuri kwenye keyboards… na nikianza kuongea huwa ninalia so nimeshindwa hiyo,, nilishawahi kumuuliza kwa njia ya sms akasema ni ubize but Hakuna ubize wala nini ni labda hajanielewa tu na ana mahusiano yake seriously yupo kwangu kujipoza tu
 
Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…

Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex

Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda

Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah

Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…

Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia

Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…

Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia

Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa

Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
usijali, huyu nae atafariki
 
Naona wanaume hapa wanakuzingua tu kwenye majibu ila ukweli ni kwamba huyo sio mpenz ni player tu na atakua na mtu wake. Hana malengo yeyote na wewe ukibeba mimba inakula kwao. ACHANA NAE
 
Back
Top Bottom