Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Sasa bwana Jana ameniambia yupo Mwanza alienda kwenye kumuuguza mama yake, na bahati mbaya amekufa. Kwahiyo pamoja na mambo mengine anaomba nimsaidie elfu Themanini aongezee nauli, na mahitaji mengine.
Dah, halafu nahisi wanakuwaga na dawa,maana akikuomba pesa unampa,lakini penzi unazungushwa, halafu unakuta unaechunwa ivyo ni bonge la mjanja,Kuna boya mmoja we just met on IG tukawa marafiki kaanza vibomu vya hapa na pale......
Sometimes ananiomba nimwazime 200k akachukue mzigo k/koo atanirefund nikawa nampa ila sijawahi kurudishiwa[emoji847][emoji847][emoji847]
Maisha yakaendelea bhana, yule 'she' alikuwa amezalishwa na jamaa na katelekezwa na ktk kuchat niliona kabisa mwamba was right kumuacha maana demu Yuko too aggressive akitaka jambo lake.....
Story inaanza yule sikuwahi kuwaza ningeomba game despite of vibomu vyake na nilimwambia kabisa Mimi nina mke
Sasa kitu kilichonifanya nibadili uamuzi ni too much demands zake mara nimlipie kodi,hadi mwanae nikamkatia bima ya afya and at the end tukipanga meeting anachomoa
Mwisho wa siku nikaamua nimpotezee tu akipiga simu sipokei na text sijibu ikawa imeisha ivo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atoe mume wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliwahi kumtongoza wakati huo binti mmoja yupo Muleba pale Kagera akaniletea nyodo nikaachana naye nikamla rafiki yake, ajabu yake yule aliyenitosa akanuna nikamkaushia na mawasiliano nikakata.
Miaka kadhaa mbeleni yule yule aliyenitosa akanitafuta kwa njia ya simu, baada ya salamu na maongezi marefu akaniomba nimtumie hela amepungukiwa katika maandalizi ya send off yake kama laki na sabini hivi anatarajia kufunga ndoa.
Nilicheka sana nikakata simu. Baada ya kunidadisi kulikoni nilimjibu kwa kifupi tu, mwambie huyo unayempa qumma akuchangie. Hakuwahi kunipigia wala kunitafuta tena
F.uck mwandiko gani huu?hivi watu ambao hamjawapyambya mnapata ujasiri wapi wa kusema, ''tulipokuwa katika mahusiano'' kama katika title yako??
mi ambaye sijampyambya natumia maneno ''tulipokuwa katika maongezi'' tu. kwani kwangu mimi mahusiano hayakamiliki bila kupyambya!!!
Avatar yakoKivip binti😎
Mkuu! "What goes around comes around" Nawe mjibu vile vile kama alivyokua anakujibu wakati ule. Mwambie "subiri subiri! Naogopaa naogopa" mwisho wa siku mpotezee kama alivyokupotezea wewe. Malipo ni hapa hapa kwa hii dunia.Kuna mwanamke kwenye mwaka 2011 nilikuwa namtaka na nilimpenda sana, viela vyangu vidogo dogo alikula sana, wacha mahitaji mengine, kipindi hiko yeye ana umri wa 21yrs, nilimpenda aswaaaa, kala sana viela vyangu kipindi hiko.
Ila pamoja na kumjali kote hakuwai kunipa penzi kipindi hiko chote ,kila siku anasema subiri subiri, naogopa naogopa. Mwisho wa siku nikampotezea na nikaja kuoa , maisha yakasonga.
Sasa bwana mwezi uliopita nikagumiananae kwenye mtandao fulani, tukachat sana, akaniambia ameolewa na Sasa ana mtoto mmoja, anasema kipindi kile hata yeye alinipenda sana,ila utoto ulikuwa unamsumbua tu, nikamuambia usijali yashapita hayo bibie, hata mimi nna familia kwasasa,
Sasa bwana Jana ameniambia yupo Mwanza alienda kwenye kumuuguza mama yake, na bahati mbaya amekufa. Kwahiyo pamoja na mambo mengine anaomba nimsaidie elfu Themanini aongezee nauli, na mahitaji mengine.
Aisee sijapata jibu la kumjibu mpaka leo, zaidi yakumwambia subiri tuangalie namna zake. Kuna wanawake Ni wapuuzi Sana, Sasa mtu Kama huyu wakumsaidia kweli hiyo senti, siitakuwa ni "Ukoro
Ulivyosema katoka kumzika mama yake imenigusa sana..mkuu kama huwezi msaidia chochote nitumie namba yake DM nimpe japo kidogo.Kuna mwanamke kwenye mwaka 2011 nilikuwa namtaka na nilimpenda sana, viela vyangu vidogo dogo alikula sana, wacha mahitaji mengine, kipindi hiko yeye ana umri wa 21yrs, nilimpenda aswaaaa, kala sana viela vyangu kipindi hiko.
Ila pamoja na kumjali kote hakuwai kunipa penzi kipindi hiko chote ,kila siku anasema subiri subiri, naogopa naogopa. Mwisho wa siku nikampotezea na nikaja kuoa , maisha yakasonga.
Sasa bwana mwezi uliopita nikagumiananae kwenye mtandao fulani, tukachat sana, akaniambia ameolewa na Sasa ana mtoto mmoja, anasema kipindi kile hata yeye alinipenda sana,ila utoto ulikuwa unamsumbua tu, nikamuambia usijali yashapita hayo bibie, hata mimi nna familia kwasasa,
Sasa bwana Jana ameniambia yupo Mwanza alienda kwenye kumuuguza mama yake, na bahati mbaya amekufa. Kwahiyo pamoja na mambo mengine anaomba nimsaidie elfu Themanini aongezee nauli, na mahitaji mengine.
Aisee sijapata jibu la kumjibu mpaka leo, zaidi yakumwambia subiri tuangalie namna zake. Kuna wanawake Ni wapuuzi Sana, Sasa mtu Kama huyu wakumsaidia kweli hiyo senti, siitakuwa ni "Ukoro"
Kwahii stori mimi naona "boya" ni wewe.Kuna boya mmoja we just met on IG tukawa marafiki kaanza vibomu vya hapa na pale......
Sometimes ananiomba nimwazime 200k akachukue mzigo k/koo atanirefund nikawa nampa ila sijawahi kurudishiwa[emoji847][emoji847][emoji847]
Maisha yakaendelea bhana, yule 'she' alikuwa amezalishwa na jamaa na katelekezwa na ktk kuchat niliona kabisa mwamba was right kumuacha maana demu Yuko too aggressive akitaka jambo lake.....
Story inaanza yule sikuwahi kuwaza ningeomba game despite of vibomu vyake na nilimwambia kabisa Mimi nina mke
Sasa kitu kilichonifanya nibadili uamuzi ni too much demands zake mara nimlipie kodi,hadi mwanae nikamkatia bima ya afya and at the end tukipanga meeting anachomoa
Mwisho wa siku nikaamua nimpotezee tu akipiga simu sipokei na text sijibu ikawa imeisha ivo
Bila shaka huyo ni Smart911Ujana maji ya moto mazee ujanani kuna niliimlia pesa zake na aliniamini kupita maelezo alinipenda mnooo ila ndoivo nikaolewa na mwingine kabisaaa,, ila nimemuangusha namrefundi pesa zake make aliniamini mno mnoo
Pesa unampa baada ya kulamkuu inaweza pesa ikaliwa na penzi nikaachwa solemba, msanii tu huyu binti