Anaomba nimsaidie pesa, sitampa maana kipindi cha mahusiano yetu hakuwahi kunipa penzi

Anaomba nimsaidie pesa, sitampa maana kipindi cha mahusiano yetu hakuwahi kunipa penzi

Mtumie na kutolea...
Sasa bwana Jana ameniambia yupo Mwanza alienda kwenye kumuuguza mama yake, na bahati mbaya amekufa. Kwahiyo pamoja na mambo mengine anaomba nimsaidie elfu Themanini aongezee nauli, na mahitaji mengine.
 
Kuna boya mmoja we just met on IG tukawa marafiki kaanza vibomu vya hapa na pale......

Sometimes ananiomba nimwazime 200k akachukue mzigo k/koo atanirefund nikawa nampa ila sijawahi kurudishiwa[emoji847][emoji847][emoji847]

Maisha yakaendelea bhana, yule 'she' alikuwa amezalishwa na jamaa na katelekezwa na ktk kuchat niliona kabisa mwamba was right kumuacha maana demu Yuko too aggressive akitaka jambo lake.....

Story inaanza yule sikuwahi kuwaza ningeomba game despite of vibomu vyake na nilimwambia kabisa Mimi nina mke
Sasa kitu kilichonifanya nibadili uamuzi ni too much demands zake mara nimlipie kodi,hadi mwanae nikamkatia bima ya afya and at the end tukipanga meeting anachomoa

Mwisho wa siku nikaamua nimpotezee tu akipiga simu sipokei na text sijibu ikawa imeisha ivo
Dah, halafu nahisi wanakuwaga na dawa,maana akikuomba pesa unampa,lakini penzi unazungushwa, halafu unakuta unaechunwa ivyo ni bonge la mjanja,
Ila kingine ukiwa na pesa huwa unachukulia easy tu,unamuona ni mwanamke tu mwenye njaa
 
Pole sana, mwanaume kulalamika kwenye mambo hayo ni aibu sana...
mkuu yamenifika pabaya, ila Ni Bora anaelalamika, kuliko yule ambae anafikia kuchukua hatua mbaya dhidi ya Hawa wachunaji pesa😎😎
 
Niliwahi kumtongoza wakati huo binti mmoja yupo Muleba pale Kagera akaniletea nyodo nikaachana naye nikamla rafiki yake, ajabu yake yule aliyenitosa akanuna nikamkaushia na mawasiliano nikakata.

Miaka kadhaa mbeleni yule yule aliyenitosa akanitafuta kwa njia ya simu, baada ya salamu na maongezi marefu akaniomba nimtumie hela amepungukiwa katika maandalizi ya send off yake kama laki na sabini hivi anatarajia kufunga ndoa.

Nilicheka sana nikakata simu. Baada ya kunidadisi kulikoni nilimjibu kwa kifupi tu, mwambie huyo unayempa qumma akuchangie. Hakuwahi kunipigia wala kunitafuta tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hivi watu ambao hamjawapyambya mnapata ujasiri wapi wa kusema, ''tulipokuwa katika mahusiano'' kama katika title yako??

mi ambaye sijampyambya natumia maneno ''tulipokuwa katika maongezi'' tu. kwani kwangu mimi mahusiano hayakamiliki bila kupyambya!!!
F.uck mwandiko gani huu?
 
Amefiwa na still huna huruma? Eti kwa kuwa alikunyima Puna! Umaskini tu.
Mpe hela K yake acha awe nayo.
Leta namba tumrushie hela atoke kwenye shida.
 
We hapo ushalegea, na Sasa Hivi ukimwomba atakupa na Hutokataa na Utatoa pesa zaidi ya Hiyo na Utakuwa Danga Lake may be la kumi na Mbili ili Huduma Azipate Vizuri

Wanawake huwa wanajua Akili za Wanaume sana
 
Kuna mwanamke kwenye mwaka 2011 nilikuwa namtaka na nilimpenda sana, viela vyangu vidogo dogo alikula sana, wacha mahitaji mengine, kipindi hiko yeye ana umri wa 21yrs, nilimpenda aswaaaa, kala sana viela vyangu kipindi hiko.

Ila pamoja na kumjali kote hakuwai kunipa penzi kipindi hiko chote ,kila siku anasema subiri subiri, naogopa naogopa. Mwisho wa siku nikampotezea na nikaja kuoa , maisha yakasonga.

Sasa bwana mwezi uliopita nikagumiananae kwenye mtandao fulani, tukachat sana, akaniambia ameolewa na Sasa ana mtoto mmoja, anasema kipindi kile hata yeye alinipenda sana,ila utoto ulikuwa unamsumbua tu, nikamuambia usijali yashapita hayo bibie, hata mimi nna familia kwasasa,

Sasa bwana Jana ameniambia yupo Mwanza alienda kwenye kumuuguza mama yake, na bahati mbaya amekufa. Kwahiyo pamoja na mambo mengine anaomba nimsaidie elfu Themanini aongezee nauli, na mahitaji mengine.

Aisee sijapata jibu la kumjibu mpaka leo, zaidi yakumwambia subiri tuangalie namna zake. Kuna wanawake Ni wapuuzi Sana, Sasa mtu Kama huyu wakumsaidia kweli hiyo senti, siitakuwa ni "Ukoro
Mkuu! "What goes around comes around" Nawe mjibu vile vile kama alivyokua anakujibu wakati ule. Mwambie "subiri subiri! Naogopaa naogopa" mwisho wa siku mpotezee kama alivyokupotezea wewe. Malipo ni hapa hapa kwa hii dunia.
 
Kuna mwanamke kwenye mwaka 2011 nilikuwa namtaka na nilimpenda sana, viela vyangu vidogo dogo alikula sana, wacha mahitaji mengine, kipindi hiko yeye ana umri wa 21yrs, nilimpenda aswaaaa, kala sana viela vyangu kipindi hiko.

Ila pamoja na kumjali kote hakuwai kunipa penzi kipindi hiko chote ,kila siku anasema subiri subiri, naogopa naogopa. Mwisho wa siku nikampotezea na nikaja kuoa , maisha yakasonga.

Sasa bwana mwezi uliopita nikagumiananae kwenye mtandao fulani, tukachat sana, akaniambia ameolewa na Sasa ana mtoto mmoja, anasema kipindi kile hata yeye alinipenda sana,ila utoto ulikuwa unamsumbua tu, nikamuambia usijali yashapita hayo bibie, hata mimi nna familia kwasasa,

Sasa bwana Jana ameniambia yupo Mwanza alienda kwenye kumuuguza mama yake, na bahati mbaya amekufa. Kwahiyo pamoja na mambo mengine anaomba nimsaidie elfu Themanini aongezee nauli, na mahitaji mengine.

Aisee sijapata jibu la kumjibu mpaka leo, zaidi yakumwambia subiri tuangalie namna zake. Kuna wanawake Ni wapuuzi Sana, Sasa mtu Kama huyu wakumsaidia kweli hiyo senti, siitakuwa ni "Ukoro"
Ulivyosema katoka kumzika mama yake imenigusa sana..mkuu kama huwezi msaidia chochote nitumie namba yake DM nimpe japo kidogo.
 
Kuna boya mmoja we just met on IG tukawa marafiki kaanza vibomu vya hapa na pale......

Sometimes ananiomba nimwazime 200k akachukue mzigo k/koo atanirefund nikawa nampa ila sijawahi kurudishiwa[emoji847][emoji847][emoji847]

Maisha yakaendelea bhana, yule 'she' alikuwa amezalishwa na jamaa na katelekezwa na ktk kuchat niliona kabisa mwamba was right kumuacha maana demu Yuko too aggressive akitaka jambo lake.....

Story inaanza yule sikuwahi kuwaza ningeomba game despite of vibomu vyake na nilimwambia kabisa Mimi nina mke
Sasa kitu kilichonifanya nibadili uamuzi ni too much demands zake mara nimlipie kodi,hadi mwanae nikamkatia bima ya afya and at the end tukipanga meeting anachomoa

Mwisho wa siku nikaamua nimpotezee tu akipiga simu sipokei na text sijibu ikawa imeisha ivo
Kwahii stori mimi naona "boya" ni wewe.
 
Back
Top Bottom