atug
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,786
- 3,522
Mahusiano wiki 2 umemla mara 17 😀😀😀 means kila siku siku 14 na nyongeza 3NdIo mara 17
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahusiano wiki 2 umemla mara 17 😀😀😀 means kila siku siku 14 na nyongeza 3NdIo mara 17
Mwanangu pamoja na sura ngumu lakini unakula mali safi kabisavijana tafuteni hela acheni kulialiaa ...mwenzenu nipo naenjoyyy holiday apaa na totoz za mjinii
View attachment 3183872
Mwongo.....kumbe umetupa stpri za kutunga. Wiki ina siku 14 weqe umemchapa mara 17 na bado akikuomba hela unadata?Ndio
Happy to you bro💪Easy ❌
Essay ✔
Merry Christmas bro
mkuu kwanini umeni- mention na sioni uliponimensheni ila notification nimepata kuna nini kinaendelea..?Hana tofauti na wewe🤣🤣
Wanawake wengi ukiwafata kuwatongoza wanasema Wana watu wao ....Wala siwezi kumroga kijana wa watu,. Ni vile tu kila mmoja anacheza nafasi yake vizuri
Wewe umeshachelewa😑
Nimependa alivyokujibu...Huyu demu nimemtongoza hata wiki mbili hakuna tayari matatizo Yake yote ya kifedha amenipa Mimi Leo hili Kesho kile Sasa nimechoka nimeona nimuambie ukweli
View attachment 3183864
Duuh, sijui sijaelewa swaliWanawake wengi ukiwafata kuwatongoza wanasema Wana watu wao ....
Wanaume wengi Cha ajabu wako single
Hao watu wa wanawake ni akina nani ?
Apunguze kulia, nyapu haitolewi machozi.Ume jitetea sana .kwenye mapenzi anae andika essay sana ndo mnyonge
Happy hacheki na Wowote😅Happy kanyooka hana kona kona🤣🤣🤣
Mkuu acha uchoyo, mpe hela bwana.
Happy Kimaro ataua mtu.Nimependa alivyokujibu...
Mwambie Sisterhood is proud of Her...
Shida ni kwamba inawezekana jamaa naye ndani ya muda huo mfupi tayari kaanza kumuomba Happy kitu yake..Sahihi kabisa mkuu,
Hii tabia ya kuandika magazeti nilikuwa nayo pia, badae nikagundua ninavyoandika sana, ananichukulia poa na ndezi sana.
Jamaa angeenda simple tu, naomba...Kwa leo sina, naomba 20k...unatuma 10k na kukaa kimya. Hivyo yani.
Nimeuliza hivi;Duuh, sijui sijaelewa swali
Kimaro imetokea wapi hapo🤣Happy Kimaro ataua mtu.
Hapana ingekuwa ni message half sent, alivompa makavu itamfanya dada ajifikirie kutwa nzimaa na pengine ikasababisha aabadilishe approach ya mizinga😁😁😁 yote hayo ya nini ,ungemwambia tu sina, mkuu.
anavyopenda hela kama sio kimaro ni mlay🤣Kimaro imetokea wapi hapo🤣