Anaomba Sana Hela, sasa Leo nimemchana

Anaomba Sana Hela, sasa Leo nimemchana

Happy bana alishajipatia boya wake wa Kumpiga daa Mara ghafla Njiwa kapeperuka.
Bahati yako Mzee umesanuka mapema angekunyoosha
 
Sahihi kabisa mkuu,
Hii tabia ya kuandika magazeti nilikuwa nayo pia, badae nikagundua ninavyoandika sana, ananichukulia poa na ndezi sana.

Jamaa angeenda simple tu, naomba...Kwa leo sina, naomba 20k...unatuma 10k na kukaa kimya. Hivyo yani.
Shida ni kwamba inawezekana jamaa naye ndani ya muda huo mfupi tayari kaanza kumuomba Happy kitu yake..

Mdada naye akaona mambo yasiwe mengi...Utakula unapopeleka mboga😃
 
Duuh, sijui sijaelewa swali
Nimeuliza hivi;
Recently ukimfata msichana kumtomgoza atakwambia Nina mtu wangu au nimeolewa...(Ni wengi wa hivi)
Lakini wanaume wengi wanaofata hao wanawake kuwatongoza mara nyingi wanakua wako single
Sasa Hawa wanawake wenye watu wao , hao watu ni akina nani ikiwa wanaume wengi wako singo ?
 
😁😁😁 yote hayo ya nini ,ungemwambia tu sina, mkuu.
Hapana ingekuwa ni message half sent, alivompa makavu itamfanya dada ajifikirie kutwa nzimaa na pengine ikasababisha aabadilishe approach ya mizinga
 
Screenshot_20241205_161309_WhatsApp.jpg
 
Back
Top Bottom