Anaomba ushauri: Akubali kuwa mke wa pili au asubiri atapata mume wake?

Ina maana hao cousin wako hawatongozwi? Kapeace
 
Washauri tu wawe kama wewe.
 
Kwanza tungetaka kujua ni dini gani?
 
Wadada wa Kiislamu unawaelewa vipi mkuu?

Kwenye mfungo huwa wanakupatia mambo au unawekwa bench mpaka mfungo uishe?
Wana utamu fulani wa asili yaani wanajua kumfanya mwanaume afurahi. Watajifukiza kujichora kudeka kurembua macho kuringisha wengine kua ana mwanaume , wanajua kupika e bana ee ni vingi Mimi ni mgalatia ndoa yangu ya kigalatia ila nikitaka kupiga pafu ni Kwa dada zetu wapo vizuri.... inshallah ipo siku nitaoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…