Anaomba ushauri kila akifanya tendo la ndoa na mke wake, anachoka sana tofauti na "akichepuka"

Anaomba ushauri kila akifanya tendo la ndoa na mke wake, anachoka sana tofauti na "akichepuka"

Burkinabe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2023
Posts
2,354
Reaction score
4,024
Habari wana nzengo, natumaini wote mko vizuri.
Ninaye mwanangu mmoja anaomba ushauri kila akikutana na mkewe anachoka kupita kiasi kulinganisha na akikutana kimwili na mwanamke mwingine.
Anasema hii changamoto imekuwepo kwa miaka 10 sasa toka waoane. Mwanzoni alikuwa anafikiri labda changamoto itaisha baada ya muda mfupi, lakini cha ajabu inaongezeka kadri muda unavyoendelea.
Anaomba ushauri shida yaweza kuwa ni nini?
Je, inaweza kuwa nyota zao haziendani?
Naomba kuwasilisha..
 
Habari wana nzengo, natumaini wote mko vizuri.
Ninaye mwanangu mmoja anaomba ushauri kila akikutana na mkewe anachoka kupita kiasi kulinganisha na akikutana kimwili na mwanamke mwingine.
Anasema hii changamoto imekuwepo kwa miaka 10 sasa toka waoane. Mwanzoni alikuwa anafikiri labda changamoto itaisha baada ya muda mfupi, lakini cha ajabu inaongezeka kadri muda unavyoendelea.
Anaomba ushauri shida yaweza kuwa ni nini?
Je, inaweza kuwa nyota zao haziendani?
Naomba kuwasilisha..
Huyo "mwanao" ni wewe mwenyewe
 
Habari wana nzengo, natumaini wote mko vizuri.
Ninaye mwanangu mmoja anaomba ushauri kila akikutana na mkewe anachoka kupita kiasi kulinganisha na akikutana kimwili na mwanamke mwingine.
Anasema hii changamoto imekuwepo kwa miaka 10 sasa toka waoane. Mwanzoni alikuwa anafikiri labda changamoto itaisha baada ya muda mfupi, lakini cha ajabu inaongezeka kadri muda unavyoendelea.
Anaomba ushauri shida yaweza kuwa ni nini?
Je, inaweza kuwa nyota zao haziendani?
Naomba kuwasilisha..
Jibu sahihi: kamkinai mkewe ni hali ya kawaida katika ndoa nyingi zenye zaidi ya mika mi 5+ ingawa kuna wakati inaweza kuwa chini ya hapo kutegemeana na aina ya wanandoa
 
Wee sema umemchoka huyo mwanamke hakuna cha nini wala nini. Hiyo ni hali ya kawaida ukishaishi na mwanamke miaka mingi hata kusimamisha tu inakua kazi sembuse kuchoka?

Swali ni je, huwa unakutana na mke wako mara baada ya kutoka kwa mchepuko au? Kama ni ndiyo, jitahidi siku zingine uanzie kwa mkeo then umalizie na mchepuko.
 
Wee sema umemchoka huyo mwanamke hakuna cha nini wala nini. Hiyo ni hali ya kawaida ukishaishi na mwanamke miaka mingi hata kusimamisha tu inakua kazi sembuse kuchoka?

Swali ni je, huwa unakutana na mke wako mara baada ya kutoka kwa mchepuko au? Kama ni ndiyo, jitahidi siku zingine uanzie kwa mkeo then umalizie na mchepuko.
True
 
Ye atulie na familia yake na mkewe mambo mengine ni kujiletea mikosi TU!
Haya mwambie amuache maana ndio ushauri atapenda
 
Mechi imeanza 3-0 magoli mengi chapili hapa hata GG haijatoa...
Huyo mke kwamba sio mtam ama nini ebu dondosha namba yake apa tutest kama unayosema ni kweli
 
Ameshawahi kujaribu

D81B8BD2-508A-4876-9B89-212FCE6E1725.jpeg
 
Habari wana nzengo, natumaini wote mko vizuri.
Ninaye mwanangu mmoja anaomba ushauri kila akikutana na mkewe anachoka kupita kiasi kulinganisha na akikutana kimwili na mwanamke mwingine.
Anasema hii changamoto imekuwepo kwa miaka 10 sasa toka waoane. Mwanzoni alikuwa anafikiri labda changamoto itaisha baada ya muda mfupi, lakini cha ajabu inaongezeka kadri muda unavyoendelea.
Anaomba ushauri shida yaweza kuwa ni nini?
Je, inaweza kuwa nyota zao haziendani?
Naomba kuwasilisha..
Hapo ni hali ya kuzoeana kati yako na mkeo…. Kila mtu kwenye ndoa inamkuta hiyo hali.
 
Mm nimekuelewa mleta Mada Iko hivi Kuna aina ya wanawake Wana pulingi kubwa yaani Ili atosheke lazima jamaa afanye Kazi Saana yaani utumike kwelikweli na wanawake wahivyo Huwa wanatoa ushilikiano mwanzo mwisho kifupi Huwa wanakususia ujimalize ila kesho utakiona chamoto huna nguvu unachoka mbaya kifupi hyo jamaa Yako uwezo mdogo yaani sio saizi yake !!! Suruhisho afanye kadili yauwezo wake
 
Habari wana nzengo, natumaini wote mko vizuri.
Ninaye mwanangu mmoja anaomba ushauri kila akikutana na mkewe anachoka kupita kiasi kulinganisha na akikutana kimwili na mwanamke mwingine.
Anasema hii changamoto imekuwepo kwa miaka 10 sasa toka waoane. Mwanzoni alikuwa anafikiri labda changamoto itaisha baada ya muda mfupi, lakini cha ajabu inaongezeka kadri muda unavyoendelea.
Anaomba ushauri shida yaweza kuwa ni nini?
Je, inaweza kuwa nyota zao haziendani?
Naomba kuwasilisha..
Its a normal thing..relax
 
Back
Top Bottom