Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio anapuling huyomwanamke aliliwasana kipindihichoo ndomaana anapaswa kutumia nguvu nyingi kumrizishaMm nimekuelewa mleta Mada Iko hivi Kuna aina ya wanawake Wana pulingi kubwa yaani Ili atosheke lazima jamaa afanye Kazi Saana yaani utumike kwelikweli na wanawake wahivyo Huwa wanatoa ushilikiano mwanzo mwisho kifupi Huwa wanakususia ujimalize ila kesho utakiona chamoto huna nguvu unachoka mbaya kifupi hyo jamaa Yako uwezo mdogo yaani sio saizi yake !!! Suruhisho afanye kadili yauwezo wake
Sijakuelewa, unaweza kufafanua zaidi?Mm nimekuelewa mleta Mada Iko hivi Kuna aina ya wanawake Wana pulingi kubwa yaani Ili atosheke lazima jamaa afanye Kazi Saana yaani utumike kwelikweli na wanawake wahivyo Huwa wanatoa ushilikiano mwanzo mwisho kifupi Huwa wanakususia ujimalize ila kesho utakiona chamoto huna nguvu unachoka mbaya kifupi hyo jamaa Yako uwezo mdogo yaani sio saizi yake !!! Suruhisho afanye kadili yauwezo wake
Mfano mimi kwa wanawake wanene huwa najiona natumia nguvu nyingiMm nimekuelewa mleta Mada Iko hivi Kuna aina ya wanawake Wana pulingi kubwa yaani Ili atosheke lazima jamaa afanye Kazi Saana yaani utumike kwelikweli na wanawake wahivyo Huwa wanatoa ushilikiano mwanzo mwisho kifupi Huwa wanakususia ujimalize ila kesho utakiona chamoto huna nguvu unachoka mbaya kifupi hyo jamaa Yako uwezo mdogo yaani sio saizi yake !!! Suruhisho afanye kadili yauwezo wake
😁😁😁😁Hyo hali ni ya kawaida,wengi inatukuta cha muhimu huwa ni kuizuia isitokee
Mimi huwa nikichepuka nikakutana na mwanamke ambae ni machachari huwa naweza kupiga mpaka goli 4 kwa usiku mmoja na huu umri wangu
Ila nikiwa na mke wangu huwa najihis kuchoka,ila nikiamua kumpanda uchovu huwa unaisha napiga kimoja tu ila huwa nahakikisha kawe kamaana kama kadakika 10+,baada ya hapo huwa siwez rudia tena hata morning glory huwa inanishinda
Hakuna ushauri mwingine mbali na kuachana?Kiukwelii kunawanawake ukilala nao nilazma uchoke sanaa,na Hadi mwili saingine kuuma +uchovu.lakin kunawengne ukilala nao mwili unakua fresh sana achana na huyo mkewako huenda anakunyonyaa
Mwambie hata wewe, kuna mwingine eti alikuwa anamwambia mkewe nitakukomesha anamnunia mkewe daa!Mke akianza kutugea machizi boti uanze kulalamika tena
Morning glory atakuwa anaipata Kwa jirani wewe endelea kuchoka mkizani wanawake wao hawanaga hisia.Hyo hali ni ya kawaida,wengi inatukuta cha muhimu huwa ni kuizuia isitokee
Mimi huwa nikichepuka nikakutana na mwanamke ambae ni machachari huwa naweza kupiga mpaka goli 4 kwa usiku mmoja na huu umri wangu
Ila nikiwa na mke wangu huwa najihis kuchoka,ila nikiamua kumpanda uchovu huwa unaisha napiga kimoja tu ila huwa nahakikisha kawe kamaana kama kadakika 10+,baada ya hapo huwa siwez rudia tena hata morning glory huwa inanishinda
Kweli anamnyonya aoe mchepukoKiukwelii kunawanawake ukilala nao nilazma uchoke sanaa,na Hadi mwili saingine kuuma +uchovu.lakin kunawengne ukilala nao mwili unakua fresh sana achana na huyo mkewako huenda anakunyonyaa
Hujaelewa NN hyo jamaa mkewe sio size yake !! Yaani mkewe alizoea mtu wa masafa matefu wale jamaa wabao Moja masaa2 Sasa ukikutana na mwanamke pulingi kubwa hahahaaa kimbia utakufa !!! Wanawake wahivyo wapo ; Nakesi Kama hizi zipo Saana ; Unapiga usku ila asubhi uchovu wanguvu means umetumika mpaka kiwango chako Cha mwisho mwenzako Kama ndio anaanzazaidi
Jaman wale tulioolewa, tuwe wabunifu jaman, kila siku tuonekane wapya, waume zetu wanatuchoka hatujitumi tupo kama magogo mara tuwape ubavu ubavu, hatumassage zile goli zao, mauno hatutoi, yaan mfanye mme wako awe anakukumbuka kila anapokuwa mbali nawe. Huyu baba anachoka sababu yeye pekee ndiye anaeshughulika akichoka chukua nafasi umshuhurishe kweli hadi amtaje mama yake.Habari wana nzengo, natumaini wote mko vizuri.
Ninaye mwanangu mmoja anaomba ushauri kila akikutana na mkewe anachoka kupita kiasi kulinganisha na akikutana kimwili na mwanamke mwingine.
Anasema hii changamoto imekuwepo kwa miaka 10 sasa toka waoane. Mwanzoni alikuwa anafikiri labda changamoto itaisha baada ya muda mfupi, lakini cha ajabu inaongezeka kadri muda unavyoendelea.
Anaomba ushauri shida yaweza kuwa ni nini?
Je, inaweza kuwa nyota zao haziendani?
Naomba kuwasilisha..