Anaomba ushauri, tabia za mumewe zinamchanganya

Anaomba ushauri, tabia za mumewe zinamchanganya

Mdau (ke) yupo ndani ya ndoa kwa mwaka 1 Ila tabia ya mme wake inampa shida Sana
1) jamaa mkimya Sana akiamka asubuh Salam anaaga anaenda kazini akirudi Salam anakaa kimya anakula ataangalia mpira kimya badae kulala ata bidada akimsemesha anajibu tu short then kimya Ila akija mgeni anaongea tu vizuri na kucheka

2.ndani hakuna kukaa kupanga labda maendeleo tufanye hiki ...jamaa anakazi na bidada anakazi,,, jamaa akipanga kufanya lake anafanya bila kumshirikisha bidada
Inampa shida bidada sababu nayeye akipata mshahara anashindwa achangie vp mfano ujenzi au maendeleo ya ndani anaishi kununua vitu let say vya ndani anataman wapange pamoja washirikiane ujenzi na maendeleo kwa pamoja

3) sex inaweza pita wiki or wk 2 hawajapeana ...kwa Sasa bidada mjamzito miez 4 hajaguswa tangu ujauzito una mwezi mmoja

Bidada inamchanganya japo jamaa anahudumia vizuri familia, hawakukaa mda mrefu Sana kwenye uchumba so hakumsoma vizuri
Mdada atakiwa ajue yeye ni msaidizi, kwa hio mpaka hapo ameshidwa kutimiza jukumu lake anataka afanye majukumu ya kupanga badala ya kuuliza tufanye nini ili achangie kama msaidizi, lazima ajue vision ya Mume ni nini na je iko sawa? kama haiko sawa asaidie kuirekebisha na Kuwa sehemu ya vision hio, lazima ajue maisha yatakuwaje baada ya miaka 50,60,70, 100. kama asipobadilika ataanzisha ugomvi.
 
Ndio maana mnaambiwaga ndoa sio fasheni ili mradi tu uwaringishie watu kuwa umeolewa.

Jitahidi uolewe na rafiki yako. Huyo mwanaume wala hana tatizo, shida hapo ni kila mtu na hulka tofauti.

Suluhisho hapo; Kama mume haongei wewe muongeleshe, Kama hakugegedi wewe usilale na nguo kisha anzisha wewe miguso mbona kinaeleweka tu. Kama hapangi mikakati ya maendeleo anzisha wewe mada ya nini unapenda kifanyike.

Kumbukeni ndoa ni muunganiko wa watu wawili wa jinsia tofauti na wenye tabia za tofauti.
Haipendezi mkuu inatakiwa iwe automatically kufanya mambo na kupangilia pamoja kumbuka unavyomwambia ni kama kumlazimishia Fulani huyo Dada inakuwa kama kuforce mapenzi.....ndoa zina changamoto sana SAA nyingine Basi tu.
 
Mkiambiwa oleweni na marafiki zenu mnakaza shingo, marry your friend maana kwenye ndoa kunyanduana ni kasehem tu, lazma muwe na kitu zaidi kunyanduana kinachowakutanisha
Hii pia hua inaweza kusababishwa na wanandoa kupishana sana umri. Unakuta mume ana miaka 45 mke ana 21, saa nyingine mume anaona kama hana cha kuongea na mkewe.
 
Ndio maana mnaambiwaga ndoa sio fasheni ili mradi tu uwaringishie watu kuwa umeolewa.

Jitahidi uolewe na rafiki yako. Huyo mwanaume wala hana tatizo, shida hapo ni kila mtu na hulka tofauti.

Suluhisho hapo; Kama mume haongei wewe muongeleshe, Kama hakugegedi wewe usilale na nguo kisha anzisha wewe miguso mbona kinaeleweka tu. Kama hapangi mikakati ya maendeleo anzisha wewe mada ya nini unapenda kifanyike.

Kumbukeni ndoa ni muunganiko wa watu wawili wa jinsia tofauti na wenye tabia za tofauti.
Ushauri mzuri sana huu, mwambie afuate huu ushauri ni kiasi cha yeye kujiongeza tu.
 
Siri kubwa imejificha hapa

Anyway, kwa kuwa hilo lilisharukwa basi tukubali limepita na tuliache, kwa sasa bidada ajue mumewe ni mtu wa aina gani na ajiandae kuishi nae kwa miaka 100 ijayo katika hali hiyo. Aji adjust fikra zake towards ndoa na asim compare jamaa na ma boiyfrendi wa zamani. Ajue mume ndio huyo na ndio alivyo. Kwa kuwa jamaa hajalalamika kuomba kuchangiwa matumizi na maendeleo basi bidada atunze hela zake tu. Au kama ni lazima kuchangia maendeleo achangie tu ila asije akafanya siri. Kama ni kiwanja nae anunue tu kisha amwambie mumewe au gari anunue tu alafu amwambie mumewe asimfiche kitu na mume akilalamika kwa nini hakushirikishwa basi ndio solution itapatikana kuanzia hapo maana watayaongea

Upande wa kukosa mkuyenge nashindwa cha kushauri aisee.

Acha kuzusha, hawawezi kuishi wote miaka 100 sema kama ni mingi 70 tu.

Nadhani huifahamu hata ile methali inayosema siku za mwizi ni arobaini.
 
Nadhani huifahamu hata ile methali inayosema siku za mwizi ni arobaini.
Hukuelewa somo hususan ni mahesabu. Sasa ana miaka 30. Ukiongeza 100 anayosema atakuwa na miaka 130. Si rahisi kwa mwanaume kuishi miaka 130. Nasema kuwa kama ni mingi ni 70+30=100.

Alisema '.....ajiandae kuishi nae kwa miaka 100 ijayo ....'
 
Duh! Ongea naye kwa kituo ikishindikana washirikishe wazazi wa pande zote mbili ili wawasaidie.
Wazazi wanahusikaje Hapo.... Yaani awe na mimba awe msumbufu halafu aweke masharti ya kugegedwa halafu awe mchafu hamu itatoka wapi..

Wanawake siyo Kila ya tamthilia Ni practical...
 
Mdau (ke) yupo ndani ya ndoa kwa mwaka 1 Ila tabia ya mme wake inampa shida Sana
1) jamaa mkimya Sana akiamka asubuh Salam anaaga anaenda kazini akirudi Salam anakaa kimya anakula ataangalia mpira kimya badae kulala ata bidada akimsemesha anajibu tu short then kimya Ila akija mgeni anaongea tu vizuri na kucheka

2.ndani hakuna kukaa kupanga labda maendeleo tufanye hiki ...jamaa anakazi na bidada anakazi,,, jamaa akipanga kufanya lake anafanya bila kumshirikisha bidada
Inampa shida bidada sababu nayeye akipata mshahara anashindwa achangie vp mfano ujenzi au maendeleo ya ndani anaishi kununua vitu let say vya ndani anataman wapange pamoja washirikiane ujenzi na maendeleo kwa pamoja

3) sex inaweza pita wiki or wk 2 hawajapeana ...kwa Sasa bidada mjamzito miez 4 hajaguswa tangu ujauzito una mwezi mmoja

Bidada inamchanganya japo jamaa anahudumia vizuri familia, hawakukaa mda mrefu Sana kwenye uchumba so hakumsoma vizuri
Dada yangu na shemeji yangu najua hii story inakuhusu Wewe na naomba unijibu kwa staha siyo Kama ulivyomjibu Mdau mmoja hapo juuu....

Kabla ya Ndoa mlikaa kwenye urafiki kwa Muda Gani?

Nani Kati yenu aliyelazimisha kuoanana? Je Ni baada ya kumtegesha mimba au ulikuwa Ni mpango wenu wa Muda mrefu?

Je, Mahusiano yenu Ni ya Kwenu wenyewe au kuna mahala unayaiga yafanane na ya mahala fulani?

Kipi unachokipenda Kwako kwenye Ndoa yako kufanya mapenzi, au kuongelea maendeleo, au kuongelea ya kazini?

Je, mnafanya kazi sehemu Moja Njia Moja au mnatumia usafiri mmoja? Ni Nani Kati yenu anawahi kufika nyumbani? Je Kuna Mahala brother alishawahi kulalamikia badiriko lolote baada ya Ndoa yenu?

Nani ni Rafiki yako Mkubwa baada ya Ndoa mama yako?mashost wako ambao hawajaolewa?au Mume wako?Mara Ngapi mnaongea?

Hii Hali imeanza muda gani baada ya kufunga Ndoa au Wewe kuwa mjamzito..?

Ungekuja kwenye dawati langu la ushauri jibu langu lingekuwa Moja tu...

Ukishakuwa na Ndoa yako achana na Ndugu zako,marafiki zako wafanyakazi wako na acha Maisha mapya Rafiki yako awe Mtu mmoja tu na ni Huyo unayelala naye kwa kipindi hicho...

Kubali kuachilia Kila kitu kwa Muda na ikiwezekana badilisheni namba za simu muanze Maisha Mapya ya Kwenu tu.
 
Jamaa alikuwa na tabia hiyo hiyo wakati wanaanza mahusiano yao au tabia imekuja kubadilika sasa .
Inawezekana jamaa amekuja kugundua vitu kadhaa wa kadhaa cha bidada hivyo , hiyo ni hatua ambazo jamaa kachukua kuonyesha kama mambo hayako sawa au kama yalivyokuwa kuwa hapo awali

Expectation beyond reality [emoji28][emoji28]

Ndo inatesa apo ulitegemea harufu ya chungwa unakutana na shombo ya samaki, unategemea tundu la sindano kitu tundu la muwa af usijione una mkosi [emoji28]
 
Mdau (ke) yupo ndani ya ndoa kwa mwaka 1 Ila tabia ya mme wake inampa shida sana.

1). Jamaa mkimya sana akiamka asubuhi salamu anaaga anaenda kazini akirudi salamu anakaa kimya anakula ataangalia mpira kimya badae kulala ata bidada akimsemesha anajibu tu short then kimya Ila akija mgeni anaongea tu vizuri na kucheka.

2). Ndani hakuna kukaa kupanga labda maendeleo tufanye hiki ...jamaa anakazi na bidada anakazi,,, jamaa akipanga kufanya lake anafanya bila kumshirikisha bidada. Inampa shida bidada sababu nayeye akipata mshahara anashindwa achangie vp mfano ujenzi au maendeleo ya ndani anaishi kununua vitu let say vya ndani anataman wapange pamoja washirikiane ujenzi na maendeleo kwa pamoja.

3). Sex inaweza pita wiki or wk 2 hawajapeana kwa Sasa bidada mjamzito miez 4 hajaguswa tangu ujauzito una mwezi mmoja.

Bidada inamchanganya japo jamaa anahudumia vizuri familia, hawakukaa mda mrefu sana kwenye uchumba so hakumsoma vizuri.
Pole sana bibie
 
Expectation beyond reality [emoji28][emoji28]

Ndo inatesa apo ulitegemea harufu ya chungwa unakutana na shombo ya samaki, unategemea tundu la sindano kitu tundu la muwa af usijione una mkosi [emoji28]
 
Siri kubwa imejificha hapa

Anyway, kwa kuwa hilo lilisharukwa basi tukubali limepita na tuliache, kwa sasa bidada ajue mumewe ni mtu wa aina gani na ajiandae kuishi nae kwa miaka 100 ijayo katika hali hiyo. Aji adjust fikra zake towards ndoa na asim compare jamaa na ma boiyfrendi wa zamani.

Ajue mume ndio huyo na ndio alivyo. Kwa kuwa jamaa hajalalamika kuomba kuchangiwa matumizi na maendeleo basi bidada atunze hela zake tu. Au kama ni lazima kuchangia maendeleo achangie tu ila asije akafanya siri.

Kama ni kiwanja nae anunue tu kisha amwambie mumewe au gari anunue tu alafu amwambie mumewe asimfiche kitu na mume akilalamika kwa nini hakushirikishwa basi ndio solution itapatikana kuanzia hapo maana watayaongea

Upande wa kukosa mkuyenge nashindwa cha kushauri aisee.
 
Back
Top Bottom