West standard
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 441
- 649
- Thread starter
- #21
Chakula natoa hela mimi ila akipika ndiyo hivyo.Anapika vyakula umenunua wewe??
Au kanunua mwenyewe unakuja kuanzisha thread?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chakula natoa hela mimi ila akipika ndiyo hivyo.Anapika vyakula umenunua wewe??
Au kanunua mwenyewe unakuja kuanzisha thread?
Shukrani.Wewe ni mtu huru, usilazimishwe kufanya maamuzi usiyoridhia nayo. Utumwa ulikomeshwa miaka 100 iliyopita.
Nilipozaliwa nilitamani siku moja niwe na familia yenye Amani furaha na upendo lakini vyote hakuna badala yake, Mwanamke hanifulii anapika Chakula hanipi, Anaenda mbali na tulipo haniambii.
Halafu ananimbia anataka tufunge ndoa. kweli?
Nimfanye nini huyu mwanamke?
Umeoa ama bado? Unataka akufulie kama mchumba ama kama mume? Fafanua plsNilipozaliwa nilitamani siku moja niwe na familia yenye Amani furaha na upendo lakini vyote hakuna badala yake, Mwanamke hanifulii anapika Chakula hanipi, Anaenda mbali na tulipo haniambii.
Halafu ananimbia anataka tufunge ndoa. kweli?
Nimfanye nini huyu mwanamke?
Waeleze....tumia options ulizopewa vizuri.Duuuh wanaume wengi inaonyesha hamjui logic ya Mungu kuumba wanawake wengi kuliko wanaume
Tunaishi kienyeji hatuna ndoa ya kanisani wala bomani.Umeoa ama bado? Unataka akufulie kama mchumba ama kama mume? Fafanua pls
Ok, hapo nimekuelewa kamanda. Kama kaanza vituko mapema namna hiyo na hamjaingia ndani rasmi, usidhani atabadilika akishakua na ndoa rasmi. JIONGEZE.Tunaishi kienyeji hatuna ndoa ya kanisani wala bomani.
Analazimisha????????? Mwanamke anakulazimisha wewe mwanaume?? Kiaje??Analazimisha kwa kuniambia mimi ni halali yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah we jamaa nahisi utakuwa na udugu waa damu na ukoo wa Albert Einstein sio kwa smart comment kiasi hiki.Duuuh wanaume wengi inaonyesha hamjui logic ya Mungu kuumba wanawake wengi kuliko wanaume
Hii situation nilishawahi kuiona. Kuna sampuli ya chuo ilikuwa ikija weekend kuchill from Friday to Monday. But nikanotice tabia kama hizo.Chakula natoa hela mimi ila akipika ndiyo hivyo.
Mbona tozo ulilazishwa kusemewa?! Au ulikubali kwa hiar yako??Wewe ni mtu huru, usilazimishwe kufanya maamuzi usiyoridhia nayo. Utumwa ulikomeshwa miaka 100 iliyopita.
Yaan mimi sitaki tena maana naona moyo kwa ndani umeinama sababu ya kuchoka.acha mawazo ya kuoa,
tafta pesa we kijana mdogo acha kukimbilia mambo yakijinga, utakufa mapema
Acha ufala wewe halali yako kwani alikuzaa huyoAnalazimisha kwa kuniambia mimi ni halali yake.
Samahani mkuu una kibamia?Sina tatizo lolote, tatizo ni huyu mwanadada. Yan natamani kuhamia somalia.