Anapika chakula hanipi, hanifulii nguo halafu anataka ndoa

Anapika chakula hanipi, hanifulii nguo halafu anataka ndoa

Kwanza tuanzie uchunguzi 'investigation' katika kujuana kwenu na aina gani ya penzi mnalopitia.. inaonesha hujamtongoza wewe au yeye ndo alikufata.. au ndo 'single relation.. aka blind love' Kiufupi pole ila rejea swali langu hapo nyuma. aina gani ya penzi mnalopitia.?
Nilikutana nae kupitia kwa simu ya jirani yake huko kwao, Kwangu alikuja mwenyewe baada ya jaribio la kumtorosha kwao kushindikana, ikawa yeye afunge safari aje mahali nilipo...alifika town ikawa mimi nilishatoka mapema asubuhi kuenda sokoni- Akaniambia tayari amefika mahali ninakoishi basi nikamwelekeza mahali zilipo funguo, Niliporudi jioni nikampata yupo ndani ya nyumba.
 
Nilikutana nae kupitia kwa simu ya jirani yake huko kwao, Kwangu alikuja mwenyewe baada ya jaribio la kumtorosha kwao kushindikana, ikawa yeye afunge safari aje mahali nilipo...alifika town ikawa mimi nilishatoka mapema asubuhi kuenda sokoni- Akaniambia tayari amefika mahali ninakoishi basi nikamwelekeza mahali zilipo funguo, Niliporudi jioni nikampata yupo ndani ya nyumba.
Alaf ikaweje?
 
Nilipozaliwa nilitamani siku moja niwe na familia yenye Amani furaha na upendo lakini vyote hakuna badala yake, Mwanamke hanifulii anapika Chakula hanipi, Anaenda mbali na tulipo haniambii.

Halafu ananiambia anataka tufunge ndoa. Kweli?

Nimfanye nini huyu mwanamke?
Umfanye nini tena? Mfanyie ndoa
 
Nilipozaliwa nilitamani siku moja niwe na familia yenye Amani furaha na upendo lakini vyote hakuna badala yake, Mwanamke hanifulii anapika Chakula hanipi, Anaenda mbali na tulipo haniambii.

Halafu ananiambia anataka tufunge ndoa. Kweli?

Nimfanye nini huyu mwanamke?
Mambo Una yotaka kufanyiwa yapo ndani ya ndoa wewe unaona ana fanya makosa na yeye ana ona Una fanya makosa kumwambia akifulie akufanyie usafi, akupikie
 
Hili nalo linahitaji ushauri kweli. Piga chiniiii. Au oa kabisa ndo atayafanya hayo ulotaja
 
Nilichokigundua mimi ni kuwa watu wengi wanafanyia makosa hapa,anagundua kuwa mpenzi wake ana mapungufu kabla hata hawajafunga ndoa ,lakini anajipa moyo kuwa atakuja kubadilika mbele ya safari wakati kiuhalisia ni kuwa tabia haina dawa,na ukijidanganya kufunga naye ndoa juwa kabisa kuwa utakuja kulia mbele ya safari...
Unachosema ni sahihi. Na mm yalinikuta kwa kujidanganya kuwa atabadilika, lkn mwisho wa siku ndoa ilivunjika
 
Nilipozaliwa nilitamani siku moja niwe na familia yenye Amani furaha na upendo lakini vyote hakuna badala yake, Mwanamke hanifulii anapika Chakula hanipi, Anaenda mbali na tulipo haniambii.

Halafu ananiambia anataka tufunge ndoa. Kweli?

Nimfanye nini huyu mwanamke?
Hapo hujamuoa amekuwa hivyo. Utakapomuoa atakuwa ngiri au nguruwe pori.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aiseee..

Yaani kweli bado unatafuta binadamu mwenzako aishi na wewe ili awe anakupikia na kukufulia nguo...
Kweli umasikini unaongeza umaskini...

Tafuta hela......hayo yatakuwa yanampa binadamu mwingine ajira ya kukufanyia hivyo kama huna hela, ishi kisela au tafuta binadamu wa kukusadia kupata hizo hela sio wa kukupikia na kukufulia...

Nyie ndio baadae mnajaza idadi ya watu duniani kwa kuzaa kwenye umasikini, halafu na watoto pia wanakuwa masikini ambao hawakukuomba uwalete duniani kwenye umasikini wako
%~#^&"@>!.......
 
Hadi hapa tushapoteza mwanaume mmoja...[emoji56]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kwa kweli, mwamba anasound kama mtu flan aliekuja ghafla ata mazingira hayajui..
 
Back
Top Bottom