Anapika chakula hanipi, hanifulii nguo halafu anataka ndoa

Anapika chakula hanipi, hanifulii nguo halafu anataka ndoa

Unazingua..wewe ndio unampenda zaid uyo mwanamke kuliko yy anavyokupenda ndio maana unalialia...ulimbahatisha wap?..
 
Hii situation nilishawahi kuiona. Kuna sampuli ya chuo ilikuwa ikija weekend kuchill from Friday to Monday. But nikanotice tabia kama hizo.

Ilikuwa kwanza ina ulafi wa kijinga sana. Imagine sampuli inapiga ile chupa ya coca-cola ya lita 2 yote bila mimi kunipa collaboration yoyote.

Yaani anakata chupa nzima ile kuanzia asubuhi hadi jioni chupa inakuwa tupu. Ukiweka vitu vidogo vidogo kama bites akiwa anaondoka anapakia kwenye pochi chupa mbili za takeaway soda, mara abebe sijui nini. Nikahisi pengine ni kukosa pocket money nikawa nampatia ila wapi.

Sasa nikaja kujifunza kuna watu wako poor na empty in home training. Hawakufunzwa ukarimu na kujali wengine. Pia hawakufunzwa au kuelewa manners ili kubehave vizuri.
Kakubeba vitu kalikuwa katabia kangu somewhere nkajishtukia nkaacha
 
Nilipozaliwa nilitamani siku moja niwe na familia yenye Amani furaha na upendo lakini vyote hakuna badala yake, Mwanamke hanifulii anapika Chakula hanipi, Anaenda mbali na tulipo haniambii.

Halafu ananiambia anataka tufunge ndoa. Kweli?

Nimfanye nini huyu mwanamke?
Unatoa matumizi? au unata kula tu
 
Nilipozaliwa nilitamani siku moja niwe na familia yenye Amani furaha na upendo lakini vyote hakuna badala yake, Mwanamke hanifulii anapika Chakula hanipi, Anaenda mbali na tulipo haniambii.

Halafu ananiambia anataka tufunge ndoa. Kweli?

Nimfanye nini huyu mwanamke?
[emoji2]
 
Mwanamke yuko sahihi hawezi kukufanyia hayo maana haujamuoa
 
Ukiona hivyo kishaona jua limeanza kuzama upande wake na akifanya masihala anamwendea kwa babu.Yaani type hizo ukitaka kuwaacha unaenda nao mdogo mdogo baadae anashtuka kishaachwa.
Ukiona hivyo kishaona jua limeanza kuzama upande wake na akifanya masihala anamwendea kwa babu.Yaani type hizo ukitaka kuwaacha unaenda nao mdogo mdogo baadae anashtuka kishaachwa.
Hasa kama umefanikiwa kujenga nyumba hata kama ni chumba na sebule. Wanaume wengine wanaondoka na nguo tu nyumba anakuachia kuepuka vita.
 
Kuna anachotafuta, akipata hicho cheti utakoma! Inaashiria sio ubavu wako uliopangiwa na Mungu, ushukuru ameonyesha makucha mapema.
 
Nilichokigundua mimi ni kuwa watu wengi wanafanyia makosa hapa,anagundua kuwa mpenzi wake ana mapungufu kabla hata hawajafunga ndoa ,lakini anajipa moyo kuwa atakuja kubadilika mbele ya safari wakati kiuhalisia ni kuwa tabia haina dawa,na ukijidanganya kufunga naye ndoa juwa kabisa kuwa utakuja kulia mbele ya safari...
True. Mfano kama binti ana jeuri ya kukutukana sasa hivi wakati hujamuweka ndani, je siku ukijichanganya na kumuweka ndani itakuwaje? Ndiyo atabadilika? Kama anakuonyesha kiburi na kutojali sasa hivi vipi huko ndani? Halafu unakuta jitu limeng'ang'ania tu utafikiri huyo mwanamke yuko peke yake hapa duniani. Trash [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Back
Top Bottom