Anapost wanaume walionunua magari na chattings zao status wakati mimi niko kwenye hali ngumu kiuchumi

Huyo ni mkeo au ni demu tu
 
Ila wanaume wa sikuhizi tunapoteza pambano kirahisi Sana mbele ya wanawake
 
Kaa kimya usiongee Chochote wala usifanye chochote. Chochote utakachofanya sasa kitakuwa ni zao la hasira na huzuni hakitakuwa na matokeo mazuri baadae.

Kaa kimya tazama mustakabali wako kama mwanaume asiye na gari halafu anaishi na mwanamke mwenye tamaa.


Ushauri kwa wanawake. Mnaona namna huyu jamaa analalamika hapa maumivu anayojiskia mwanamke wake kupost mwanaume mwingine mwenye gari ila akiishi na mwanaume asiye na gari (wenyewe mnaita kuvumilia). Huyu bwana MUNGU akimkunia nazi akanunua gari na kuwa na mafanikio zaidi ya huyo anaempost then utakuja sikia analalamika mwanaume amebadilika baada ya kupata mafanikio kumbe anasahau dharau na treatment za kudhalilisha alifanya siku za nyuma.
 
Hivi ni mm na ushamba wangu au mwanamke akiolewa anatakiwa achunge anachopost hasa kinachohusu wanaume wengine ambao si ndugu zake!
Yaani hata namna anawasiliana na baba yake na kaka zake huwa inakuwa sio kama alivyokuwa single sembuse kupost mwanaume mwingine ambaye hana udugu nae.
 
Mpaka anafikia kupost, shida ni kubwa sana mkuu. Na haijaanza hapo hayo ni matokeo tu. Kuna asilimia kubwa sana anakudharau au analiwa kabisa.

Kikubwa ulitakiwa kuwasha moto kuhusu hiyo ishu, sometime wanaume tunakwama kwa kupuuzia redflag kama hizo.

Wewe ni mwanaume na kiongozi wa hiyo nyumba, nafasi yako kwa mkeo haipimwi kwa hali yako ya uchumi, Mungu alikuumba uchi kabisa but still ulikua na mamlaka kama mwanaume.
 
Ongea naye kabisa ajue mapema isee faster mwambie asimame kwenye himaya yake na akumbuke wewe ni nani hayo yote yanapatikana mkiwa na umoja navision kubwa.
 
hizi ndoa siku hizi zimepoteza maana kabisa yaani. Pole sana kiongozi.
 
Acha uongo mzee huna hata guta
 
Hivi unaanzaje kupost status picha ya mwanaume na charting juu..huu ni uongoo..kama ni ukweli huna mke una kichenchede...
Haipo na haitakaa iwepo....
 
Hivi unaanzaje kupost status picha ya mwanaume na charting juu..huu ni uongoo..kama ni ukweli huna mke una kichenchede...
Haipo na haitakaa iwepo....
Ndugu huo ni ukweli mimi iliwahi nitokea kwa mpenzi wangu mimi sijawahi postiwa nina mwaka mzima ila katika huo mwaka kuna rafiki yake mwenye gari kapostiwa mara 3 ilikuwa inauma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…