Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mola aongeze upendo baina yenu na afanye kila upendo unaohisi kwake uwe mara elfu zaidi kwa atakavyohisi kwako.Nampenda sana na kumheshimu, kivyovyote siwezi kumuumiza kwa kumvunjia heshima.
Asante Mkuu.
Mkuu,Ukishakuwa useless kwa mwanamke hasa mke wa ndoa cha moto utakiona.
NAKAZIAMkuu,
Hata uchumi ukishuka kiasi gani, usikubali kupoteza uanaume wako, superiority inatakiwa ibaki pale pale.
Ameen Yaraby! Dua njema hii kuipokea!Mola aongeze upendo baina yenu na afanye kila upendo unaohisi kwake uwe mara elfu kwa atakavyohisi kwako.
Busara zako ziko na hekima nyingi ndani yako umenena ipasavyoMwenzangu! Sio tu kuolewa, hata katika mahusiano sithubutu kupost picha na video za wanaume wengine hata kwa zile za kuchekesha!
Hiyo nguvu ya kupost chats na mwanaume mwingine, tena nikiwa namsifia napata wapiiiiii?
Wewe si ulisema atakayenioa kapata hasara? Au unadhani nimesahau? LolBusara zako ziko na hekima nyingi ndani yako umenena ipasavyo
Ameen Yaraby! Dua njema hii kuipokea!
JazakAllah Khair
Bado kijana sana ,usijipe stress
Huishi na mwanamke ila unaishi na malaya embu lifukuze mara moja njoo bar tunywe bia hapo hakuna mwanamke bwana mdogo .
Sina namna ya kukupa lugha ya kukupamba kwa upumbavu wa hilo limalaya lako uliloliweka ndani .
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kuna mda akilia zako zinakuaga na bangi ndani yako Leo hujavuta 😄kwake mwlm kashashaWewe si ulisema atakayenioa kapata hasara? Au unadhani nimesahau? Lol
Anyways, asante Mkuu.
Hata mi nashangaa pia sio wanawake tu hata wanaume wanaonunua magari na kudharau wengine na kuona gari ni kitu cha maana sana au wanaume wanaoona kuwa mwanaume mwenzake akimiliki gari kama ana maisha mazuri. Mimi nina magari 2 (langu na la wife) ila sijawahi ona uthamani wake hadi ninyanyase au nidharau wengine kwa namna yoyote. Napakiza yoyote mtoto au mkubwa. Mgonjwa au mzima. Kukiwa na ugonjwa au msiba huku Kijijini ninapoishi huwa Natoa gari 1 hususani ninalolitumia mimi kwa ajili ya shughuli za kijamii..........Hao wanawake huwa mnawaokata wapi?
Shetani anapiga patrol hapo anataka achukue point 3 Mungu kashampa go ahead nenda kwa mtumishi wangu Ayubu mjaribu unavyoweza Ila tu usimuue, sasa kaanza kucheza na akili yako Mzee ukiileta mihemko utaharibu ndoa kwan shillings ngapi shemu haumgongi au napo pia anakubania?Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..
Wanajiseviabahatimbaya hajaolewa nayuko 30+wahuni siowatu wazuri
Pesa na magari ni vitu vya kupatikana lkn je tunavipataje tuanzie hapoHata mi nashangaa pia sio wanawake tu hata wanaume wanaonunua magari na kudharau wengine na kuona gari ni kitu cha maana sana au wanaume wanaoona kuwa mwanaume mwenzake akimiliki gari kama ana maisha mazuri. Mimi nina magari 2 (langu na la wife) ila sijawahi ona uthamani wake hadi ninyanyase au nidharau wengine kwa namna yoyote. Napakiza yoyote mtoto au mkubwa. Mgonjwa au mzima. Kukiwa na ugonjwa au msiba huku Kijijini ninapoishi huwa Natoa gari 1 hususani ninalolitumia mimi kwa ajili ya shughuli za kijamii.
Pole na Mungu akusaidie bro. Usijihukumu wala kujisikia vibaya. Gari sio kitu mkuu. Pambana kaka.
Naona siku za hivi karibuni nyuzi za Wanaume kulalamika kuhusu ndoa zao zimekuwa nyingi sana, why??? Au ni mbinu maalumu ya kufanya kampeni ya "kataa ndoa" huku ajenda zikiletwa hapa jukwaani kwa kupitia mlango wa nyuma?Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..