Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Sifa kuu ya mke ni kumstiri mumewe kwenye kila hali na sio kumfedhesha.
Ni wazi huna mke hapo.
Asipoelewa hapa hana haja ya kuendelea kuwa member JF...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa kuu ya mke ni kumstiri mumewe kwenye kila hali na sio kumfedhesha.
Ni wazi huna mke hapo.
Sasa mtu miaka 29 hana kazi anakimbilia kuoa.. matatizo mengine ni ya kujitakiaMkuu hapo "Mens" sema tu "Men". Milenia hii mna changamoto sana yaani sijui tuko kwenye Ruhamo wa Ruwaza (Paradigm Shift)? Na hii ndiyo imekuwa new normal! Vijana mnakimbilia sana kuleta na kuanika matatizo yenu ya ndoa kwenye mitandao! Ina maana siku hamna washenga au Wazazi wa kuwaweka chini na kusuruhisha matatizo yenu? Mnajichoresha! Mwingine juzi kaja kuanika hapa eti amegongewa mke na mke amehama chumba! Karne hii vimama vinawapitisha kwenye tanuru la moto mpaka mseme!
Huyo mwanaume aliyepostiwa ana uhusiano gani na mke wako?Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..
Kwenye hii Dunia ukiwa na miaka 25 kupanda juu ukiwa huna hela hamna dharau utaacha kuona kutoka kwenye familia na ukooHivi hata kama mtu lets say kijana kamaliza chuo na hajapata kazi , hivi anaweza kudharaulika mpaka na wazazi wake na hata ndugu zake? Maana kuna kijana mwenzangu hapa anapitia hiyo changamoto hadi stage ya kunyimwa msosi home kwao!
Mkuu hapo kwenye "Mens" sema tu "Men". Milenia hii mna changamoto sana yaani sijui tuko kwenye Ruhamo wa Ruwaza (Paradigm Shift)? Na hii ndiyo imekuwa new normal! Vijana mnakimbilia sana kuleta na kuanika matatizo yenu ya ndoa kwenye mitandao! Ina maana siku hamna washenga au Wazazi wa kuwaweka chini na kusuruhisha matatizo yenu? Mnajichoresha! Mwingine juzi kaja kuanika hapa eti amegongewa mke na mke amehama chumba! Karne hii vimama vinawapitisha kwenye tanuru mpaka mseme!Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..
Mbona simpo Sana,..muandalie mtego anase kisha mtimue!,..Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..
Sawa kajunjumele mzee wa hapo ngyekyeMbona simpo Sana,..muandalie mtego anase kisha mtimue!,..
Sio ushamba uko sahihi sema tu akili za wanawake sijui wakati mwingine zikoje.Hivi ni mm na ushamba wangu au mwanamke akiolewa anatakiwa achunge anachopost hasa kinachohusu wanaume wengine ambao si ndugu zake!
Mungu atusaidie kwa kweli.Kwenye hii Dunia ukiwa na miaka 25 kupanda juu ukiwa huna hela hamna dharau utaacha kuona kutoka kwenye familia na ukoo
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Mimi wangu sikumwokota.we wako ulimwokota wap
mwelekeze huyu mwamba na yeye akaokote kama wako
Mpe nafasi akaungane na huyo mwanaumeMens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.
Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..
Dada'ke huwa nakukubali sana una misimamo thabiti.Mwenzangu! Sio tu kuolewa, hata katika mahusiano sithubutu kupost picha na video za wanaume wengine hata kwa zile za kuchekesha!
Hiyo nguvu ya kupost chats na mwanaume mwingine, tena nikiwa namsifia napata wapiiiiii?
Shukran kaka'ke.Dada'ke huwa nakukubali sana una misimamo thabiti.
Wewe ni role model wa wanawake wanaohitaji kuwa kwenye njia sahihi.
Mwanaume uliyenaye anafaidi sana just being with you maana umejitenga na mambo ya kijinga.
Ndo tatizo la kuoa kwenye familia masikini magari kwao wanaona ni big deal Hadi wanatweza utu wao.Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.
Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..